LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ila na Iran wako vizuri kwenye drone na pia ni wazuri kwenye mifumo ya ulinzi ya kuharibu hizo drone na kuzidukua kwa hiyo usiwachukulie poa mkuu.


kwenye mgogoro wa Ukraine nime gundua umetawaliwa na propaganda nyingi mno kuliko uhalisia na vyombo vya habari vinazitia nguvu hizo propaganda na kuonekana ni kweli.

Kwa sababu jana wizara ya Ulinzi ya Marekani ilisema inakadiliwa wanajeshi wa Urusi kati ya 2000 au 4000 wameuawa lakini Ukraine inasema ni zaidi 12,000.

Ukraine inasema imeangusha zaidi ya ndege 88 na herkopita 48, wakati jana wizara ya Ulinzi ya marekani imesema ndege na herkopita za Urusi zilizo angushwa kwa ujumla hazifiki 20.



Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
@T14 Armata
 
Tutawavumilia tu!!hamjielewi tena...wafuasi wake silaha mliyobaki nayo Ni matusi mmeacha zile mbwembwe....nasemaje tunaelewa situation yenu mzee baba kawaangusha sana
Samahani Joannah naomba nikuulize swali?
 
West wanafiki wanataka kuitumia Ukraine kama chambo kuitangaza Urusi kama nchi isiyostaarabika. Ukraine nao kama wanaendeshwa na EU badala wacheze kama Francisco Franco aliyesaidiwa na Hitler na Mussolin kuingia madarakani ila WW2 ilivyoanza akala kona kama hawajui. Mwishowe Spain haikurusha hata risasi moja alafu washirika wake wakafia vitani. Inabidi uishi kijanja ukiwa kati ya mafahari wawili. Uturuki inazihitaji Ukraine na Russia nawaamini kwenye kutatua huu mgogoro.
huu mgogoro unautabiria utaishaje MKUU
 
Naangalia Al jeezera naona kuna msafara mrefu wa vifaru vya Russia yaani vinalipuliwa sana. Hivi hawa Russia kabla ya kuingia Ukraine haikufanya Planning!!!! Yaani utafikiri walijisemea tu twende Ukraine. Pia ninahisi Kivita na Intelligence ilikuwa kipindi cha USSR tu(KGB) . Russia hii inabebwa tu na Kivuli cha USSR lakini kiuhalisia ni wakawaida tu na walikuwa OVERRATED. Hii vita imewavua nguo.

Hizi silaha zinazolipua vifaru inaweza zikawa zile ATGM alizosema USA na UK wamewapa Ukraine.
Na mimi nimeona ila kiukweli vifaru haviwezi kusafiri kihivyo kama siafu...fake news....definitely fake news....Wewe fikira uandishi wa ajabu kabisa...issue inayochukuliwa na vyombo vya habari vya magharibi ni kile kinachoitwa kubomoa maeneo ya raia tu...kamwe huwezi kuwaona waandishi wa habari hao wakiwahoji watu wa Donbas na maeneo mengine ya Ukraine yanayokaliwa na warusi na ambao walikuwa wanauawa kama panya na neo-nazis wa Ukraine...mipicha inayooneshwa kwenye TV ni ile ile inajirudia rudia kwa siku tatu....Zelensky mwenyewe alitangaza raia wapewe silaha sasa kwanini wasitwangwe???
 
Russia ilitangaza imepeleka wanajeshi 120,000 Ukraine sasa kuuliwa 3,600 ndani ya siku 4 unashangaa?

Mlipuko wa kombora moja waweza kuuwa zaidi ya wanajeshi hata 500 kama wakiwa eneo moja.
hatujakataa kuhusiana na kuweza ila unahisi hao askari 500 wote watakaa sehem moja?
nawakati wanajua wapo vitani hapo kwaharaka haraka tu unajua kama kunajambo halipo sawa
ila acha tuone
 
hili halina ubishi
kwamba zelensky ataondoshwa je kwamba RUSSIA wataweza kuitawala UKRAINE baada ya kuivamia ama ndio itakua failled state
maana nahisi western wanapeleka silaha kwawingi kwamalengo yao
Kwani lengo la Urusi ni kuitawala Ukraine kisiasa na kiutawala?

Au Wana lengo jingine
 
Back
Top Bottom