LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Narudia Tena narudia
Afrika ni bara la watu weusi hao waarabu walivamia maeneo ya kaskazini na kuteka, kunyanyasa na kuua kuanzia Misri ya kale mpaka moroko usisahau pia Sudan.

Hata berber one time walicross bahari na kuingia afrika.

Ndio maana kulikuwa
na migration kwenda south kutokana na uvamizi wa Waarabu.

Hata DNA zetu zipo tofautina the rest hapa duniani
Hizi ni porojo.
 
Sasa unadhani wa wapi wale?njaa zinawauma Sana wacha wakachomechome wapunguze njaa mwenzao aliyewaamrisha anakunywa sharubati ya tender na biriani Wenyewe wako busy kuiba kuku za watu
Lete ushahidi kwamba wale walikuwa askari wa kirusi
 
Haihitaji degree kuona hofu aliyonayo juu ya vikwazo alivyowekewa.Anabaki kurudia yale yale ambayo tayari tunayajua,lakini kumbuka Warusi hawana walijualo kwa sasa yanayoendelea Duniani,wamebaki kumsikiliza Rais wao ndiyo anawaambia kile anachotaka wakisikie.
Vikwazo alitishiwa kabla hajavamia.
Na akavamia na kuwapiga
Na hii sio mara ya kwanza kuwekewa vikwazo Urusi.
Urusi sio Zimbabwe
 
We bibi acha kuharibu uzi kwa mambo yako ya makobazi na pedo pusha
Ukweli huwa unawauma sana. Muulize Mrusi mbabe wake nani kama si Taliban? Muuliza US mbabe wake nani kama si Taliban?

Unakukasirisha ukweli?
 
Russia will nationalize assets of foreign firms that leave

Russia’s ruling party, United Russia, said on Wednesday that a government commission had approved the first step towards nationalizing assets of foreign firms that leave the country in the wake of economic sanctions over Ukraine.

United Russia added in a statement on the Telegram messaging app that the commission on lawmaking activity had supported a bill allowing for firms more than 25% owned by foreigners from “unfriendly states” to be put into external administration.

“This will prevent bankruptcy and save jobs,” it said.

Corporate actions to censure Russia over its invasion of Ukraine vary widely, with some firms like US carmaker Ford temporarily shutting down factories but others like British energy company BP promising to exit the country.

United Russia said according to the proposed bill companies who had announced they were leaving Russia could refuse to go into administration if within five days they resumed activities or sold shares, providing that the business and employees remained.

Otherwise, a court would appoint a temporary administration for three months, after which the shares of the new organization would be put up for auction and the old one would be liquidated, it added.

Russia will nationalize assets of foreign firms that leave – ruling party
Putin anamwaga ugali 😀
 
Ukweli huwa unawauma sana. Muulize Mrusi mbabe wake nani kama si Taliban? Muuliza US mbabe wake nani kama si Taliban?

Unakukasirisha ukweli?
Faiza foxy unatuzalilisha Waislamu wenzio.

Hivi unafikiri alianza kupigwa nani Afghanistan?
Kati ya Mataifa yafuatayo;
Great Britain
USSR
USA
Na sababu za kushindwa kwao zilikuwa nini?

Kafatilie kitu kinaitwa Great game
 
Vikwazo alitishiwa kabla hajavamia.
Na akavamia na kuwapiga
Na hii sio mara ya kwanza kuwekewa vikwazo Urusi.
Urusi sio Zimbabwe
Mwambie hivi, Russia kawekewa vikwazo alipompiga Georgia, alipoivamia Crimea na Chechnya. Huyo Zelencky ni version ya Saakashvili aliyekuwa rais wa Georgia. Putin anavyosema alijua watapewa vikwazo ni vile atambaua walishapewa sana tu, mtu anashangaa ruble kushuka hadi 120 kwa dola, kipindi cha Georgia ilishuka toka 19 hadi 55, they still survived, Russia sio Zimbabwe eti.
 
Mwambie hivi, Russia kawekewa vikwazo alipompiga Georgia, alipoivamia Crimea na Chechnya. Huyo Zelencky ni version ya Saakashvili aliyekuwa rais wa Georgia. Putin anavyosema alijua watapewa vikwazo ni vile atambaua walishapewa sana tu, mtu anashangaa ruble kushuka hadi 120 kwa dola, kipindi cha Georgia ilishuka toka 19 hadi 55, they still survived, Russia sio Zimbabwe eti.
Shukrani mkuu
 
Fuvu la mwanadamu wa kale limepatikana Arusha
Yawezekana kabisa kizazi cha Adam waliishi Ngorongoro
 
Back
Top Bottom