Kwamba unajua kuliko waoUS wants to destabilise Russia by allowing Ukraine to fight for nothing!
US and NATO have no plans to invade or fight Russia, but rather pushing Ukraine to fight.
Ubinafsi mkubwa huu! Leo anatoa vikwazo kwa Venezuela ili apate mafuta, ameona stock na production aliyonayo haitoshi, ataishia kupandisha bei za bidhaa. Biden's miscalculation.
Ukraine atasaidiwa kama anavyosaidiwa sasaUkraine atagundua amekula hasara baadae sana. Urusi atapata shida kiuchumi na Marekani atapata faida ila European countries za kawaida watateseka. Mengineyo nasubiri ila sitarajii Russia ahimili vikwazo kirahisi
Maoni Binafsi sio?Russia unaemsemea kwamba anafanya biashara na Western ni baada yakuvunjika kwa USSR ndipo sera za kufungua uchumi zilianza miaka ya 90.
Sera za udikteta kwenye uchumi ni kama hizo ulizosikia wanasema eti wata nationalise,mambo kama hayo huwa wawekezaji hawataki lakini jambo kingine na security in large.
Kwa.huu mgogoro ni wazi Russia sio sehemu salama ya kuwekeza kama China nk kwa sababu sera zake za usalama zinalenga kutumia nguvu zaidi mwisho wa siku ni uharibifu na vikwazo.
Kwa mazingira kama haha Russia itasalia Nchi ya hovyo tuu,Nchi kama South Afrika, Nigeria na Egypt zitaifika na kuipita.
Swala la China kuwa neutral ni suala la kupiga hesabu za Uchumi zaidi,China alikuwa na uhusiano mzuri na Nchi zote mbili na juzi tuu hapo katoa msaada wa kibinadamu na infact China inapenda suluhisho la majadiliano zaidi kuliko vita.
Mwandishi wa habari kamchota akili hapo!Na ndivo No Fly Zone ilivo....
Sasa apo si ndo itakua kuingia kwe hyo vita mazima au me ndo sijaelewa [emoji848]
Nakupa mfano mmoja. Kuna oligarch mmoja aliitwa Mikhail Khodorkovsky na alinunua kampuni ya mafuta ya Yukos miaka ile ya 1990s walipofanya ubinafsishaji wa makampuni ya serikali na kuwapa oligarchies kwa mauzo ya chini sana. Baadae mwanzoni mwa miaka ya 2000 huyo bwana akawa mpinzani wa sera za Putin na akajihusisha na siasa, kampuni yake ikatungiwa kesi ya madai ya mabilioni ya kodi. At the time ndio ilikuwa kampuni kubwa ya mafuta Urusi, ikataifishwa yote na yule jamaa akafungwa miaka 10 kisha akaachiwa mwaka 2013 akaenda kuishi uhamishoni Uingereza. Mali za kampuni yake zikataifishwa na kumilikiwa na Rosneft kampuni ya mafuta ya serikali. Ile Yukos ilikuwa na shareholders makampuni tofauti duniani wote wakala hasara. Ni mfano mmojawapo wa sera na sheria za Urusi zisizoeleweka kwa wawekezaji, wanakaa na hofu serikali na viongozi wako juu ya sheria hakuna uhakika wa haki. Mwekezaji hapendi sehemu kama hii.Duh ni atari, sasa najiuliza tena apa kama ni kweli Russia ana Sera za kidikteta kwenye uchumi tfauti na Mchina.
Hayo makampuni yanayojitangaza kila kukicha kujitoa kwenye soko la urusi yalienda kutafuta nini.
Kama Urusi wana sera ya kidikteta kwenye uchumi ilikuaje mmarekani na mataifa ya ulaya yakafanya nae biashara (ambao ndo uchumi wenyewe) tena kwa kui'mports zaidi kutoka Urusi kuliko ya yeye Mrusi anavo'import kutoka kwao...
Na ukiitizama hyo screen shot uliyoiambatanisha apo nazan ni kipengele kiasi katika maelezo yalotolewa na upande wa China.
Hadi sasa taarifa niliyonayo hakuna Rafiki wa Urusi aliye'declare wazi kumuunga mkono kumpiga Ukraine zaidi ya kukaa "Neutral"...
Ni china walogomea Unilateral Sunctions za Mrusi uku wakisema "kua vikwazo sio suluhisho mgogoro" akati huo huo wakikutana na Chancellor wa Germany Rais wa France huyi Malcon kujadili namna gani watalisolve hyo Issue kidiplomasia....
Sasa nirejee tena kwako kwasababu nataka kuelewa zaidi. Udikteta wa kiuchumi ukoje labda au me ndo siujui.
Wewe mwanajeshi? Sio kwa kujua hukuZile ni thermobaric weapons kwenye system ya TOS-1 Buratino. Zinakuzwa uwezo wake kwa kutiwa chumvi kiasi na media, kuna mabomu kama cluster bombs na incendiary explosives kama napalm bombs na white phosphorus hizo ni hatari kupindukia. Ukiona silaha haijapigwa marufuku na mikataba ya kimataifa wakati imetumika muda ujue haina madhara sana, thermobaric weapons hazizuiwi popote.
Huwa TOS-1 inatumika kwenye enemy fortifications kama bunker, tunnels na majengo ambayo adui wamejificha.
Nakufatilia vyema... Kuna point unazitoa af kuna mahaba pia unayaingiza.Russia unaemsemea kwamba anafanya biashara na Western ni baada yakuvunjika kwa USSR ndipo sera za kufungua uchumi zilianza miaka ya 90.
Sera za udikteta kwenye uchumi ni kama hizo ulizosikia wanasema eti wata nationalise,mambo kama hayo huwa wawekezaji hawataki lakini jambo kingine na security in large.
Kwa.huu mgogoro ni wazi Russia sio sehemu salama ya kuwekeza kama China nk kwa sababu sera zake za usalama zinalenga kutumia nguvu zaidi mwisho wa siku ni uharibifu na vikwazo.
Kwa mazingira kama haha Russia itasalia Nchi ya hovyo tuu,Nchi kama South Afrika, Nigeria na Egypt zitaifika na kuipita.
Swala la China kuwa neutral ni suala la kupiga hesabu za Uchumi zaidi,China alikuwa na uhusiano mzuri na Nchi zote mbili na juzi tuu hapo katoa msaada wa kibinadamu na infact China inapenda suluhisho la majadiliano zaidi kuliko vita.
Ila media zina Power ase [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kesho nikiwa maarufu nitaziepuka kwa nguvu zote [emoji706]Propaganda zao ni zaidi ya bongo movie.
Sasa unajua Russia kuna kampuni ngapi za wawekezaji kutoka west? Nchi zote zilizomwekea Russia vikwazo: Yaani ukijijua umemuwekea Russia vikwazo halafu katika nchi yao una makampuni yako, panga lililopita linalojadiliwa sasa hivi ni kuzi- nationalizing.
Huo sio Udikteta wa kiuchumi T4....Nakupa mfano mmoja. Kuna oligarch mmoja aliitwa Mikhail Khodorkovsky na alinunua kampuni ya mafuta ya Yukos miaka ile ya 1990s walipofanya ubinafsishaji wa makampuni ya serikali na kuwapa oligarchies kwa mauzo ya chini sana. Baadae mwanzoni mwa miaka ya 2000 huyo bwana akawa mpinzani wa sera za Putin na akajihusisha na siasa, kampuni yake ikatungiwa kesi ya madai ya mabilioni ya kodi. At the time ndio ilikuwa kampuni kubwa ya mafuta Urusi, ikataifishwa yote na yule jamaa akafungwa miaka 10 kisha akaachiwa mwaka 2013 akaenda kuishi uhamishoni Uingereza. Mali za kampuni yake zikataifishwa na kumilikiwa na Rosneft kampuni ya mafuta ya serikali. Ile Yukos ilikuwa na shareholders makampuni tofauti duniani wote wakala hasara. Ni mfano mmojawapo wa sera na sheria za Urusi zisizoeleweka kwa wawekezaji, wanakaa na hofu serikali na viongozi wako juu ya sheria hakuna uhakika wa haki. Mwekezaji hapendi sehemu kama hii.
Huo ndio udikteta wa kiuchumi. Marekani watu kama Trump wametoka kwenye biashara wakagombea siasa na hutokaa usikie mamlaka za mapato nchini kwao zinawatungia kesi za uongo
Hakika,na Mimi huyo ndio namfuatilia,hayuko biased na Hana mahabaNYUNDO YA MOTO ukianza kuzileta taarifa zako mfululizo nishtue kwani kunitag tu.
At least kwako naona napata taarifa za pande mbili bila mahaba na ushabiki.
Kabisa... Yani ukiwa na mahabba unaeza shusha IQ yako nje ukaonekana Ndezi ila ndani ukijiamini uko sawa...Maoni Binafsi sio?
Kwahiyo ulitarajia nini? Kampuni ambazo zimeshiriki kuiwekea vikwazo Nchi, ziendelee kuwepo?
Umeweka mahaba mbele, kiasi kwamba huoni hata Vitu vidogo vilivyo wazi.
Na ajabu sio yeye anayeenda kulipua... Kuna vijana anatuma. Wakifa yeye yupo ofisini ametulia.Mwandishi wa habari kamchota akili hapo!
Alimuuliza nini maana ya no fly zone? Jawabu akabaki kimya hajui!
Akamuuliza unataka kulipua ndege za Urusi nchini Ukraine? Akajibu ndiyo! Putin amevuka mipaka.
Mwandishi kamchota akili. Inaonekana hajui anachokizungumzia huyo mwanasiasa.
Educate him bro, educate him[emoji123]Af kingine nikusihi uzungumze bila kutukana. No matter who he was... Ni marehem kwa sasa kumuita alikuwa "Fala" kwenye vitu ambavyo mawazo yako na yake hayakufanana si jambo la maana....
Just talk like Adult, matured and well desciplined.
Huu ndio uhalisia wa ligi ya UK mnayoishangilia bila kujua ushenzi wake, na mgogoro huu haunihusu, ukweli ni kwamba serikali walikuwa wanampa Abromovich nafasi ya kuondoka kiistaraabu, ila hiyo mishabiki imemvurugia...sasa ni kutembeza bakuli kama miaka ya nyuma...umeongea meengi ila sidhanii kama yana maana kabla ya huu mgogo haeakuyajua haya uyasemayo
pia unawapangiaje watu chakupenda c wana demoghasia wao
VIVA ROMAN
Umeniwah nilichotaka kumuuliza... Ani apa kwasababu sie ni Watanzania yatupasa tubaki na Utanzania kisha tuwajadili wao kama walivo as if tumeletewa kesi mahakamani...Huo sio Udikteta wa kiuchumi T4....
Hizo ni figisu za kisiasa za kawaida.
Mfano Ilivyotokea saiv kwa Ibramovich wa chelsea tutauita udikteta wa kiuchumi?
Kwamba Uingereza hapana uhakika na Uwekezaji wako?