LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Huu ndio uhalisia wa ligi ya UK mnayoishangilia bila kujua ushenzi wake, na mgogoro huu haunihusu, ukweli ni kwamba serikali walikuwa wanampa Abromovich nafasi ya kuondoka kiistaraabu, ila hiyo mishabiki imemvurugia...sasa ni kutembeza bakuli kama miaka ya nyuma...
Labda atokee mwarabu awavalishe gauni...
Wanasema mwenzako akinyolewa zako tia maji... Sizan ka wataanza kuingia uko kwa speed.

Kama ndo mitifuano ya kike ya aina hii...

Kwa mbaaali naiona Rise of Singapore kua best Hub for Invenstors kwa kila kitu...

Kwa sasa ndo home kwa "Start-Ups" na Wajasiriamali ya 21st Century...

Kwanza wapo kimya japo si kiivyo af wana sera nzuri pia ya Kodi ya "Territorial tax System" na mengineyo....
 
Umeniwah nilichotaka kumuuliza... Ani apa kwasababu sie ni Watanzania yatupasa tubaki na Utanzania kisha tuwajadili wao kama walivo as if tumeletewa kesi mahakamani...

Ani ni kupiga maswali kote kote ili tuupate ukweli. Judge akishrikiana na mtuhumiwa au mtoa tuhuma kesi haita'balance na huenda maamuzi ya mwisho yakawa sio sahihi kwa kias kikubwa.

Ko tuwe huru kuzinyumbua pande zote hakuna malaika apo...
Udikteta wa kiuchumi....
 
Kwanza ni nani aliyekudanganya Uafrika ni weusi? Kuna Waafrika ambao si weusi na kuna Waafrika ambao maji ya kunde.

Kumbuka kiuwa Afrika ni kontinenti kubwa duniani linaloishi watu kwa asilimia kubwa kila sehemu, limebeba kila rangi ya watu.

Mama'ke Yesu, Bi Mariam ni mtu mweusi, Yesu unadhani ni wa rangi ipi?

Kama huna jibu, lipate hapa kwa ushahidi kamili wa Qur'an. Kma Kingereza kinakupiga chenga usijisumbuwe...

🖒🖒🖒

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikuulize swali la kizushi... Ila ulifikirie kwa utashi wako sio kwa mawazo ya mtu au mtizamk wa mtu.

Pale nyumbani mpo familia ya watu 15... Katika familia Baba akamkabidhi mwanae mmoja kati yenu hao 15 "mali zote za familia" aziendeshe.

So nyie watoto wake wengine mkawa "waajiriwa" na hamna maamuzi yoyote kwenye hizo "mali za familia"...

Mjomba akaona hyo hali sio sawa. Akarudisha usimamizi na uendeshaji wa mali za familia kwa familia nzima. Ili kila mtu anufaike na mali za familia na so mtoto mmoja tu katika wote...

Je kwa utashi wako Baba na Mjomba nani ni Dictator kwa mfano huu wa kwanza...?

Mfano mwingine ni kama huu...

Mpo nyumbani familia ya watu 15... Katika nyie watoto 15 akajitokeza mmoja akaenda mashariki ya mbali kutafuta... Akati huo anaondoka nyie mlibaki nyumbani mnachekelea tu.

Karudi na mali zakutosha alizozitafuta kwa jasho lako peke yake. Alivofika nyumbani Baba akamwambia mali zako ulizozitafuta kwa jasho lako zitumie mwenyewe ila ukipenda kuwapa nduguzo no hiari yako.

Baada ya Mda akaja Mjomba akazichukua mali zote za kaka yule na kuwagawia ndugu zake bila uhiari wake kisa tu ni Mjomba ni mkubwa aheshimiwe...

Hapa nakuuliza kwa mfano wa huu wa pili kati ya Baba na Mjomba nani Dictator?

T14 Armata na we njoo apa tusaidizane... Tuweke mahaba kando tuuzungumze ukweli.

Mfano ule ulioleta T14 Armata upo apo kwe mfano wa kwanza... Na kwa mie binafs naamini huo mfano wa kwanza sio udictator... Ni katika kugawana na kufurahiia kwa pa1 rasilimali za taifa...

Sasa em nioneshe mfano wa hali iliyotokea ka kwenye mfano wa pili ambao binafs ndo naamini huo udictator... Yani jasho langu na hustle zangu kuninyanganya kuwapelekea wengine bila ridhaa yangu.

Uniletee mfano wa design huo niamini umefanyika udictator eneo husika...
Kwamba mjomba ndio US?
 
Huo sio Udikteta wa kiuchumi T4....
Hizo ni figisu za kisiasa za kawaida.
Mfano Ilivyotokea saiv kwa Ibramovich wa chelsea tutauita udikteta wa kiuchumi?
Kwamba Uingereza hapana uhakika na Uwekezaji wako?
Huyo jamaa ana mahaba na nchi za magharibi hatokuelewa
 
Kwamba mjomba ndio US?
Kuna msemo mmoja wanasema kuzungumza sio tatizo bali tafsiri y kile kilichozungumzwa ndo kinaeza kua tatizo kwa aliyepewa taarifa.

Apo sijataj US wala mdudu wa taifa lolote...

Mezungumza Mjomba na Baba katika mifano ya Uongozi.

So take hivi... Baba na Mjomba wawe ni viongozi wenye kufatana... Aanze wa kwanza afanye kile kisha afatie mwingine afanye hiki.
 
Warusi mme fika wapi vileee
2084028558.jpg
 
Today's Urkrainian defense reports

Verified by actual Urkrainians, in Ukraine. The source os clearly listed in the graphic, feel free to find your own sources.

These are the indicative estimates of Russia's losses as of March 10, according to the Armed Forces of Ukraine.

Any questions? Ask the source
The Kyiv IndependentView attachment 2146436
Huu ni uongo mkuu
 

Putin says Russia must welcome volunteer fighters​

Russian President Vladimir Putin has said Russia must allow volunteers who are willing to fight in Ukraine to take part in Moscow’s offensive.

😂😂

Baada ya kuona Askari wake Wanaiba Kuku.

Russia hawana experience ya Vita kama ya Ukraine
 
Russia unaemsemea kwamba anafanya biashara na Western ni baada yakuvunjika kwa USSR ndipo sera za kufungua uchumi zilianza miaka ya 90.

Sera za udikteta kwenye uchumi ni kama hizo ulizosikia wanasema eti wata nationalise,mambo kama hayo huwa wawekezaji hawataki lakini jambo kingine na security in large.

Kwa.huu mgogoro ni wazi Russia sio sehemu salama ya kuwekeza kama China nk kwa sababu sera zake za usalama zinalenga kutumia nguvu zaidi mwisho wa siku ni uharibifu na vikwazo.

Kwa mazingira kama haha Russia itasalia Nchi ya hovyo tuu,Nchi kama South Afrika, Nigeria na Egypt zitaifika na kuipita.

Swala la China kuwa neutral ni suala la kupiga hesabu za Uchumi zaidi,China alikuwa na uhusiano mzuri na Nchi zote mbili na juzi tuu hapo katoa msaada wa kibinadamu na infact China inapenda suluhisho la majadiliano zaidi kuliko vita.
Mkuu vitu vingine muwe mnakaa kimya, mtajidhalilisha bure. Nigeria itaipiku Russia uchumi?
Alafu muwe mnafanya research kidogo, je ukiachana na US aliyeban oil ya urusi kuna nchi nyingine ime ban? Uingereza wenyewe wamesema mpaka mwishoni mwa 22, napo hatuna uhakika.
Sasa niambie Germany na wenzie watapata wapi mbadala wa nishati ya urusi? USA bado anaendeleza ukoloni pale Ulaya, lakin wameanza kushtuka ndio maana wanakaza.

Poland kagoma kupeleka ndege vita kawaambia wapeleke wenyewe US, hakuna nchi ulaya ime ban uingizaji wa mafuta na gesi, achalia mbali Asia na Africa

Tukusaidie tu, uchumi hatuupimi kwa GDP peke yake pia tunaangalia factors zingine kama HDI (human development index) ambayo inaangalia vitu kama life expectancy, education systems, healthcare systems nk. Ndio maana US wana uchumi mkubwa lakini nchi kama Norway watu wanaishi kama peponi.
Vita ya uchumi haina mshindi, leo hii mafuta yanauzwa kwa bei juu zaid pale US anayeumia ni putin?

Balance of power is inevitable in our world, hakuna taifa askari la kuwasimamia wengine.
 
Mkuu vitu vingine muwe mnakaa kimya, mtajidhalilisha bure. Nigeria itaipiku Russia uchumi?
Alafu muwe mnafanya research kidogo, je ukiachana na US aliyeban oil ya urusi kuna nchi nyingine ime ban? Uingereza wenyewe wamesema mpaka mwishoni mwa 22, napo hatuna uhakika.
Sasa niambie Germany na wenzie watapata wapi mbadala wa nishati ya urusi? USA bado anaendeleza ukoloni pale Ulaya, lakin wameanza kushtuka ndio maana wanakaza.

Poland kagoma kupeleka ndege vita kawaambia wapeleke wenyewe US, hakuna nchi ulaya ime ban uingizaji wa mafuta na gesi, achalia mbali Asia na Africa

Tukusaidie tu, uchumi hatuupimi kwa GDP peke yake pia tunaangalia factors zingine kama HDI (human development index) ambayo inaangalia vitu kama life expectancy, education systems, healthcare systems nk. Ndio maana US wana uchumi mkubwa lakini nchi kama Norway watu wanaishi kama peponi.
Vita ya uchumi haina mshindi, leo hii mafuta yanauzwa kwa bei juu zaid pale US anayeumia ni putin?

Balance of power is inevitable in our world, hakuna taifa askari la kuwasimamia wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mahabba yakizidi yanafinya uwezo wa kufikiri... Ila hil hatutaki kukiri.
 
Nikuulize swali la kizushi... Ila ulifikirie kwa utashi wako sio kwa mawazo ya mtu au mtizamk wa mtu.

Pale nyumbani mpo familia ya watu 15... Katika familia Baba akamkabidhi mwanae mmoja kati yenu hao 15 "mali zote za familia" aziendeshe.

So nyie watoto wake wengine mkawa "waajiriwa" na hamna maamuzi yoyote kwenye hizo "mali za familia"...

Mjomba akaona hyo hali sio sawa. Akarudisha usimamizi na uendeshaji wa mali za familia kwa familia nzima. Ili kila mtu anufaike na mali za familia na so mtoto mmoja tu katika wote...

Je kwa utashi wako Baba na Mjomba nani ni Dictator kwa mfano huu wa kwanza...?

Mfano mwingine ni kama huu...

Mpo nyumbani familia ya watu 15... Katika nyie watoto 15 akajitokeza mmoja akaenda mashariki ya mbali kutafuta... Akati huo anaondoka nyie mlibaki nyumbani mnachekelea tu.

Karudi na mali zakutosha alizozitafuta kwa jasho lako peke yake. Alivofika nyumbani Baba akamwambia mali zako ulizozitafuta kwa jasho lako zitumie mwenyewe ila ukipenda kuwapa nduguzo no hiari yako.

Baada ya Mda akaja Mjomba akazichukua mali zote za kaka yule na kuwagawia ndugu zake bila uhiari wake kisa tu ni Mjomba ni mkubwa aheshimiwe...

Hapa nakuuliza kwa mfano wa huu wa pili kati ya Baba na Mjomba nani Dictator?

T14 Armata na we njoo apa tusaidizane... Tuweke mahaba kando tuuzungumze ukweli.

Mfano ule ulioleta T14 Armata upo apo kwe mfano wa kwanza... Na kwa mie binafs naamini huo mfano wa kwanza sio udictator... Ni katika kugawana na kufurahiia kwa pa1 rasilimali za taifa...

Sasa em nioneshe mfano wa hali iliyotokea ka kwenye mfano wa pili ambao binafs ndo naamini huo udictator... Yani jasho langu na hustle zangu kuninyanganya kuwapelekea wengine bila ridhaa yangu.

Uniletee mfano wa design huo niamini umefanyika udictator eneo husika...
Wote waapuuzi tu, fateni Qur'an, ina mfumo wote wa Maisha. Hakuna situation ambayo haina sharia yake.

Baba akiwa hai, mali yake haikuhusu wewe mtoto, si yako. Ana haki ya kumpa yeyote amtazamie awe mwanawe asiwe mwanawe.
 
Back
Top Bottom