LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mko hapo hapo toka kitambo,hakuna kusalimu Amri

Screenshot_20220311-122438.png


Screenshot_20220311-122619.png
 
Inashangaza Vladimir Putin kulalamika vikwazo vya uchumi dhidi ya Urusi siyo halali. Je kuvamia nchi ndio halali? Mzee mzima amelikoroga ,hamna namna zaidi ya kumeza na kushusha na vodka.
 
Mimi ndio Nina upande ila linapokuja swala la Taarifa zote zinakuja nazipokea na kuzipa muda
Eti zinakuja na kuzipa muda haaa uoni hata aibu.
Kwa mujibu wa taarifa zako ambazo umekuwa ukiziketa humu ni kwenye hivi vita hakuna mwana jeshi wa Ukraine aliye uawa bali wote ni raia.
Vifaa vinavyo haribiwa ni vya Urusi tu.
Urusi imeshwindwa vibaya .

Sasa hivi upo una tuambia eti ule msafara wa Urusi umesambaratishwa wakati umesambaa na kuizingira kiev.

Mta kalia propaganda tu rakini walioko vitani wana hisi makali ya Urusi sasa hivi Urusi imeizingira karibu miji yote .

Kitendo cha kukubali kuzingirwa ni dalili moja wapo ya kizidiwa.
Screenshot_20220311-102012.jpg


Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Askari hata mmoja wa Ukraine hajauwawa katika mgogoro kwa mujibu wa media za West, Isipokuwa askari wa Russia zaidi 12,000 wameuwa....
WTF!
Kaka hii si kweli. Nimeshasema juu kwamba Ukraine hawatangazi vifo vyao bali vya Warusi tu. Kama ungesoma media, ungeona kwamba mara kwa mara wanaongeza "we could not confirm the numbers".
Warusi bado wanajaribu kuficha kuna vita, wanaiita "special military operation". Hawatangazi vifo vya Waukraine (maana kama wangetangaza maelfu, ingeonyesha ni vita kabisa!). Wamekubali vifo vya Warusi wachache, kwa sababu kuna familia nyingi ambao wameshapata taarifa za vifo lakini hawataki kukubali idadi halisi.
 
Sasa kwani wewe ukiwa investor mkoa X unafaidisha kwenu au huko ulikowekeza?

Kiufupi unawafaidisha Nchi mwenyeji ndio maana Trump alikuwa kwenye kampeni ya kuwarudisha Americans wakawekeze home.

So ukila bans wewe kama investor utaendelea kubaki Ili ufaidi nini?
Nikupe taarifa tu.

USA mfumo wao wa kodi sio Residency based pekee bali Citizenship Based....

Maana ake ni popote atakapokuwa duniani as long as anaitwa "Citizen of United state of America" lazima alipe Kodi USA kwa earning yoyote worldwide.

So ikitokea nchi anayoishi tuchukulie mfano kaajiliwa Tanzania analipia kodi mara 2.... Analipa hapa na analipa nchini kwake....
 
The unfriendly actions of the United States and its allies have sent the rules of international trade to the scrap, said Russian Prime Minister Mikhail Mishustin. Galip SV Liwagu
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Vladimir Volfovich Zhirinovsky is a Russian politician and leader of the Liberal Democratic Party of Russia.
Zhirinovsky is preparing to come to the next meeting of the State Duma - Volodin. Galip SV Liwagu
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg


1646997274840.jpeg
 
Canada imposes sanctions on five Russians, including Abramovich. Restrictions are also being introduced against 32 "Russian military organizations" - the prime minister.
Galip SV Liwagu
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom