NYUNDO YA MOTO
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 5,360
- 17,002
Kuhusu biashara?Nikupe taarifa tu.
USA mfumo wao wa kodi sio Residency based pekee bali Citizenship Based....
Maana ake ni popote atakapokuwa duniani as long as anaitwa "Citizen of United state of America" lazima alipe Kodi USA kwa earning yoyote worldwide.
So ikitokea nchi anayoishi tuchukulie mfano kaajiliwa Tanzania analipia kodi mara 2.... Analipa hapa na analipa nchini kwake....
Wamejiharibia sana pasipo kujua. Wao wanadhani wanamkomoa Russia lakini wanatengeneza mlango wa kuwakimbiza wawekezaji.Wanasema mwenzako akinyolewa zako tia maji... Sizan ka wataanza kuingia uko kwa speed.
Kama ndo mitifuano ya kike ya aina hii...
Kwa mbaaali naiona Rise of Singapore kua best Hub for Invenstors kwa kila kitu...
Kwa sasa ndo home kwa "Start-Ups" na Wajasiriamali ya 21st Century...
Kwanza wapo kimya japo si kiivyo af wana sera nzuri pia ya Kodi ya "Territorial tax System" na mengineyo....
Tutaikamata Kiev kibabe vita sio Send-off au Kitchen part mauaji lazima yatokee
Unajua Usawa katika Dunia haupo, USA ndio Baba wa dunia kwahiyo wengine ni mama, Baba akikosa anajiadhibu mwenyewe, Mama akikosa Baba anampiga mama na watoto wanampiga mama.Unaambiwa zaid ya wapiganaji 16000 kutoka seheme mbali mbali za dunian wameandika barua za kujiunga na jeshi la urusi
Kuna watu wanahasira sana na inchi za magharibi wameona huu ni muda wa kumaliza hasira zao
Mkuu watu wameisha ingia hadi chumba cha kulala cha ukrein wanavuruga vitanda we unasema wamejipanga?Hawa madogo wamejipanga kumuaibisha Putin ila soon atatumia chemical weapons kuwapiga usingizi
Ww mleta mada hivyo vifaru tayari vipo chumbani/ Kyiv.....kwa hivyo tujamaa twa Ukraine ndio tunamalizia malizia mapambano wakimbie