LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Tupo,tulikuwa nje ya mji tumerudi,,,naskia boss wenu kakimbilia Syria kufuata mamluki na anakaribisha watu wengine wakamsaidie?Si alisema Yuko gado ana jeshi imara,tambo zake zimeishia wapi??
Pole sana leo siku nzima umeishia kusoma comment tu.. Msijali tunawaletea magaidi mzae nao
 
MENGI ya andiko hili nimeyapenda ila hilo la vyombo vya habari vya magharibi kuwa ni takataka limeifanya siku yangu kuwa nzuri sana. Kama unavyosema TBC ni afadhali mara elfu kuliko hao wapumbavu na washenzi wa Al jezeera, Sky News, BBC, CNN na kadhalika....ni washenzi tu ...hakuna habari pale....Yaani vita hivi vimetufundisha mengi ukiacha vyombo vya habari lakini unafiki wa wazungu ni wa kiwango cha juu sana...Watu wamekufa Afghanistani, Libya, Irak, Serbia lakin i hatujawahi kuona muungano wa wazungu kama huu...duh...Vita hii imewaumbua mno hawa washenzi...
 
Kwa hali isiyokuwa ya kawaida baada ya vikwazo vingi na mikakati yote Marekani wamekiri hawatoshiriki vita vya Ukraine na Urusi.

Kwa kuwa itakua vita rasmi ya 3, www3.


Hivyo Marekani imedai itazidi kuweka vikwazo na kuharibu uchumi wake.

Mpaka sasa inadai kuwa ruble imeshuka thamani kwa asilimia 50.

 
Mkuu atatulizwa na vitu vyenye ncha kali Ukraine mtoto mdogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…