Mkuu umeongea jambo la point ambalo hata waziri mkuu wa Pakistan aliliongea siku chache zilizo pita.
Ali sema tabia za kuchagua makundi zime igharimu sana Pakistan kwa muda mrefu kwa sababu saa nyingine unajizolea maadui ambo siyo wa lazima.
Mfano angalia ikitokea Marekani akaishambulia Iran nchi pekee itakayo baki salama dhidi ya makombora ya Iran hapo mashariki ya kati ni Oman tu,kitacho ifanya ibaki salama ni siasa zake ambazo zime jitenga na makundi ya kuhamasisha uhasama dhidi ya Iran .
lakini hao hakina Qtaar,UAE,saudia,na wangine hiyo miji yao walio ijenga kwa gharama kubwa itageuka magofu kwa sababu ya kuendekeza makundi.
Ila huu mgogoro umevivua nguo vyombo vya habari vya kimagharibi vinavyo jiita huru kumbe ni takataka.
Kumbe hata TBC tuache kuilaumu maana kila mtu ana tumikia maslahi ya bwana wake.
Sent from my TECNO BB4 using
JamiiForums mobile app