green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Hujaelewa nini? Uliza tu. Au itafsiri umeelewaje!Mbna hueleweki apa
Warusi wamefanya Mambo ya aibu!jinsi Nyie warusi wa kigamboni mlivyokuwa mnawasifia na kutuelezea aina mbalimbali za silaha zao nzitonzito Leo wao sio wa kukimbilia Syria,,,wamewaangusha sanaWao ndio walianza kuleta Jihadist Ulaya....
Warusi wameona isiwe tabu sababu watu wa middle East wanauzoefu na hizi vita za mjini.
Basi waje tu.
Acha kulia lia vita sio Kipa imaraMaskini kijana mdogo mhendsome kaponzwa na akili za Putin.. Apumzike kwa amani Kuna aina Fulani ya viongozi kuwafuata unajiweka kwenye hatari sana
Msibadilishe maneno"Vita Ni Vita"wacha zinyukwe sio kukimbiakimbiaAcha kulia lia vita sio Kipa imara
Hahaha vitisho wakati usiku huu Kiev hawalali vitu vinashuka toka Black SeaIla Nyie kwa matisho hamjambo!vitendo Sasa! ZERO
Sawa mfia dini hiyo ndio dini sahihi wengine wote tutachomwa moto ninyi mtaenda peponi kuishi milele, nasikia huko kila mwanaume atapewa lundo la wanawake sio kwa idadi kama hii ya duniani, mbarikiwe ninyi wenye uraia pacha duniani na mbinguni kwa uhakika.Hakuna dini iliyokuja Afrika na majahazi isipokuwa imani potofu iliokuja na Wazungu kutokea Ulaya. Dini ya Kiislaam ni dini pekee ya Mitume Ibrahim, Mussa, Issa, Yaakoub, Nuh, Sulaiman, Muhammad, salama na amani iwe juu yao wote hao.
Wengi wa hao au walikuwepo Afrika au walikuja Afrika au Walikuwa na uhusiano wa karibu na Afrika.
Fikiri, kabla hujakurupuka.
Majibu mtayapata ngoja magaidi 16000 watue Ulaya kumbuka jana Sudan imeipa Russia Air Base kwa ajili Russia kutumia kusafirisha Magaidi yaende UlayaWarusi wamefanya Mambo ya aibu!jinsi Nyie warusi wa kigamboni mlivyokuwa mnawasifia na kutuelezea aina mbalimbali za silaha zao nzitonzito Leo wao sio wa kukimbilia Syria,,,wamewaangusha sana
warusi wamesanda sasa mnategemea magaidi? πππππMajibu mtayapata ngoja magaidi 16000 watue Ulaya
mkuu kwa hivi vikwazo amini baada ya vita jamaa kazi anayo. Vikwazo hivi asilimia kubwa vinagusa maisha ya RAIA wake .Kiasi naeza kukubali kwasababu ata ukianglia namna wanavyo-react kila sunctions zinapowaendea unaona kabisa "No Punic"....
Ingekuwa ya kukurupuka sa hv nadhan tungeshuhudia mtifuano wa mwaga mboga nimwage ugali... Like Cut Off Gas and Oil Supply at once na mengineyo ya kijinga kijinga....
Mwenyewe huwa naona hizi sanction mbona zinaleta hasara kwa hao wenye makampuni pia,imagine MacDonald anafunga migahawa zaidi ya 800 si hasara hiyo!anyway sijajua labda Ni njia za ku sympathize na wahangaIla kwa mtzamo wangu bora Meta Platforms Inc. wasingejihusisha na hizi siasa... Mwezi ulopita walireport kwa mara ya kwanza kupungua kwa Active users kwe platform y FB tangu ianzishwe...
Ikapelekea kushuka kwa speed thaman ya kipande cha hisa cha kampuni hiyo ka unakumbuka si geni kwako hili. Kiasi kilichopelelea Zuckerberg kutoka kwe list ya mabilionea kumi duniani.
Sasa ikifungiwa tena kwa sabab ya kijinga ka hyo si ndo itazidi kupoteza watumiaji?
Siasa na biashara wapi na wapi ndo maana Elon Musk huwa anaizodoa sana FB.