Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Kama ulivyosema, asamehewe.Hawa pro Putin wengi wanaweka maarifa yao pembeni na kujivika mahaba kuntu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ulivyosema, asamehewe.Hawa pro Putin wengi wanaweka maarifa yao pembeni na kujivika mahaba kuntu!!
hilo jimbo tangu siku ya kwanza ya mwezi 3 mnashambulia mpaka sasa hamjalichukua?Nyie pigeni tu umbea ila sisi tunafanya kweli.bado wilaya 4 tutangaze umilii wa jimbo la MariupolView attachment 2147641
Kwani majeshi ya ukraine yanatumia mishale?.hakuna vita ya ivyo dunianihilo jimbo tangu siku ya kwanza ya mwezi 3 mnashambulia mpaka sasa hamjalichukua?
Sasa ata aibu huoni kama mpaka leo baada ya wiki tatu za kuanzisha vita ya uvamizi na masilaha mengi na askari zaidi ya 120,000 hamjaweza kuuteka mji mdogo kama Maurpol ambao ni.mji mdogo sana na haulindwi kama miji mingine apo unaona kuwa mna jeshi kweli yaani sijui nikueleze vipNyie pigeni tu umbea ila sisi tunafanya kweli.bado wilaya 4 tutangaze umilii wa jimbo la MariupolView attachment 2147641
Upo uwanja wa vita? Maana umejuaje kama haulindwiSasa ata aibu huoni kama mpaka leo baada ya wiki tatu za kuanzisha vita ya uvamizi na masilaha mengi na askari zaidi ya 120,000 hamjaweza kuuteka mji mdogo kama Maurpol ambao ni.mji mdogo sana na haulindwi kama miji mingine apo unaona kuwa mna jeshi kweli yaani sijui nikueleze vip
Maana ulichokiongea hadi mimi mwenyewe nimeona aibu yaani baada ya wiki tatu za vita bado hamjafaulu kuuteka mji mdogo kama maurpol aisee Russian tuliwaover rate sana kifupi jeshi lenu ni dhaifu mno dhaifu kupindukia ikumbukwe maurpol ni mji ambao wal serikali ya Ukrain haijaweka nguvu nyingi kuulinda am kuukomboa ameweka nguvu kidogo sana pale!!
Sisi hatuangalii muda, hata iwe miaka 20 kikubwa lengo litimie.nyie muda chukueni sisi tuachieni ukraineSasa ata aibu huoni kama mpaka leo baada ya wiki tatu za kuanzisha vita ya uvamizi na masilaha mengi na askari zaidi ya 120,000 hamjaweza kuuteka mji mdogo kama Maurpol ambao ni.mji mdogo sana na haulindwi kama miji mingine apo unaona kuwa mna jeshi kweli yaani sijui nikueleze vip
Maana ulichokiongea hadi mimi mwenyewe nimeona aibu yaani baada ya wiki tatu za vita bado hamjafaulu kuuteka mji mdogo kama maurpol aisee Russian tuliwaover rate sana kifupi jeshi lenu ni dhaifu mno dhaifu kupindukia ikumbukwe maurpol ni mji ambao wal serikali ya Ukrain haijaweka nguvu nyingi kuulinda am kuukomboa ameweka nguvu kidogo sana pale!!
Yaaani ndo hadi mimi kanchekesha kweli nilidhani ataona aibu ata kuliongelea ilo swala kumbe yeye ni hamnazo anajitoa ufahamu ningekuwa mimi ndo pro Russia wala nisingeliongelea kabisa ilo jimbo maana majeshi ya Russia yameonyesha udhaifu mkubwa mno kwenye mapigano ya hilo jimbo yaani baada ya vita ya wiki tatu bado majeshi ya Russia hayajaweza kuuteka huo mji na ikumbukwe huo ni mji mdogo sana na mji ambao wala serikali ya Ukraime haijaweka nguvu kubwa kuulinda huo mjihilo jimbo tangu siku ya kwanza ya mwezi 3 mnashambulia mpaka sasa hamjalichukua?
Kwaiyo wewe upo uwanja wa vita maana umejuaje kama mmebakiza wilaya nne kuuteka mji wa Maurpol!!Upo uwanja wa vita? Maana umejuaje kama haulindwi
Sasa umejuaje kama hamna ulinzi kama sio kutuongopea.mikoa yote iliyokuwa karibu na Urusi ina ulinzi mkubwa sana kuliko mikoa yoyote ileKwaiyo wewe upo uwanja wa vita maana umejuaje kama mmebakiza wilaya nne kuuteka mji wa Maurpol!!
Mkuu huyo jamaa HANA AKILIHizi habari unapata wapi, generals 9 wameuliwa? General mwenye 4 stars anaenda kufanya nini Ukraine. Hata Lt. General na Major General si rahisi aende
Sasa ndo mmeamia kwenye hoja hii ama kweli warusi mmeshikwa pabaya ile ya kuvimaliz vita ndani ya masaa 24 hamuitaki tena sasa ivi mmeamia kwenye hii ya kutojali muda ata ikiwa ni miaka 20 sawa tu duuh majanga aya aisee sio mchezo mmevishwa shanga sasa!!Sisi hatuangalii muda, hata iwe miaka 20 kikubwa lengo litimie.nyie muda chukueni sisi tuachieni ukraine
Jibu lako ni kwamba wewe umejuaje kama mmebakiza wilaya nne kuuteka mji wa Maurpol , uko uwanja wa vita ama kama sio kutudanganya ni nini??Sasa umejuaje kama hamna ulinzi kama sio kutuongopea.mikoa yote iliyokuwa karibu na Urusi ina ulinzi mkubwa sana kuliko mikoa yoyote ile
Masaa 24 kwani unaenda kukomboa mateka?.kuchukua nchi kubwa sio jambo dogo kama unavyofikili.niambie ni wapi marekani alienda mwezi 1 akachukua nchiSasa ndo mmeamia kwenye hoja hii ama kweli warusi mmeshikwa pabaya ile ya kuvimaliz vita ndani ya masaa 24 hamuitaki tena sasa ivi mmeamia kwenye hii ya kutojali muda ata ikiwa ni miaka 20 sawa tu duuh majanga aya aisee sio mchezo mmevishwa shanga sasa!!