LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Af zipo nyingi hizo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Duh Hallelujah
 
It will be difficult for the EU to abandon Russian gas and oil, European Commission President Ursula von der Leyen admitted.

It will take five years, she added. As reported by The Telegraph, Ukraine called for an immediate boycott of Russia's energy resources against the backdrop of the Russian military operation, but the EU did not agree. Galip SV Liwagu

Instead, they decided to abandon Russian raw materials not by 2030, as previously planned, but by 2027.
 
Unadhani Ukraine asingepata msaada wa silaha na pesa toka UK, US na NATO angekuwa wapi leo? Kumbuka just 25km from the capital Kyiv.. Ukraine is being dismantled, kumbuka hilo pia
Acha papara unataka waue raia. Wamepaki nje ya mji wa Kiev kuruhusu Wanawake na Askari waoga waondoke kabla wanaume hawajaukamata mji maana kuna watu watapigika vibaya..sana ndio itakuwa mwisho Serikali ya Zelensk
 
Au unaskia et wauza pempas wafunga maduka yao Moscow sasa hasara SI kwao
 
China voices opposition to development of biological, chemical weapons

China firmly opposes the development, possession and use of biological and chemical weapons by any country under any circumstances, Zhang Jun, China's permanent representative to the United Nations, said at a briefing session on biological security in Ukraine at the UN Security Council on Friday.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…