Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Kazi inafanyika kwa ufanisi mkubwa, picha za setiliti zaongea zaidi (picha zilizochukuliwa kabla ya mashambulizi June 2021, na za baada ya mashambulizi March 9, 2022)Vila vifaru na ndege vita zilipoingia niliamini kesho yake Urusi anateka nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana nakwambia we bado sana jomba kwe uchumi... au ka waujua vyema basi mahaba yamekuzidia uwezo wa kufikiri... na sorry ka ntakua nakukwaza kama nimetumia lugha kavu...
USA katika trading zake na Russia anazofanya iko valued to 28Billions dollars according kw data za 2019...
Katika hyo 28Billions Dollars kuna 5.8Billions USD za Exportation na 22.3Billions USD za Importation... Yaaaani ni deficit ya takriban 16.5Billions USD kwa USA.
So mpk apo ushaelewa nani anayemtegemea mwenzake... Haya umempiga marufuku kuleta au kufanya nae biashara ilhali we ndo unaechukua kingi kutoka kwake tofauti na yeye anavochukua kutoka kwako....
Kama hujafanya Alternative ya sehem nyingine ya kuchukulia hicho unachokizuia maana ake inapelekea kufinya Supply, ambayo inaenda kuzaa inflation kwa mtumiaji wa mwisho sio Biden Ofisin...
Je hyo move inamuumiza Mrusi au mpk Marekan mwenyewe? Mrusi atabaki na vitu na vitu vyake alivokuw anavipeleka... Je ye yule aliyekuuwa anapelekewa???
Asante me ni kajinga... We mwerevu endelea kubwabwaja... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usibishane na mie mjinga utakuwa mjinga... Sawa Mr Mwerevu [emoji3577]Wewe ni kajinga,kwa hiyo importation anayofanya US kutoka Russia itakula kwa nani?
Tunarudi pale pale Tyson na matumla nani ataumia?
Basi tarifa nzuri zipo bbc, japokuwa kuna muda wanakuwa hawana namna.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndo maana nikamuuliza kaisoma mpk mwisho...???
Mwingine kasema na umefikisha kama alivosema weather n Propaganda au sio kinatumika kigezo kipi kuchuja?
Shida bado iko pale pale hum tuna mahaba kiasi kwamba tuko selective na taarifa tunazotaka kusikia...
Kila team inataka taarifa nzuri nzuri za kuwakonga mioyo zao...
Bado sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
✔Mtu hajui economics analeta mahaba kwenye vitu siriaz yaani wanaamin Russia ataumia wakt mpaka wao vitawahusu. Kwa kinachoendelea EPL kama Chelsea atashindwa sababu ya UKATA wachezaji kuna uwezekano wasilipwe mishahara yao tim imefungiwa account.
Chelsea akishindwa itapelekea tim zingine zigome kucheza kumbuka wenzetu wanaumoja sana. Tim zikigoma kucheza sponsors watasitisha mikataba itaathiri mapato ya tim, itaathir mapato ya EPL Zile Tv zinazirusha matangazo zitakosa wateja mfano DSTV kama hurushi EPL nan atanunua packages?? Itaathiri uchumi worldwide. West wasilete ubabe kwenye vitu kama hv shida wanashinikizwa na biden, unaona kabisa vikwazo vya kupaniki.
Huko italy viwanda vinafungwa, huko ujeruman viwanda vya magari vinategemea sana nishati kama production iko juu unafikir nini? Hawa wasipokaa mezani na Russia uchumi duniani utaanguka sana hapa namwona china atakavokuja juu sana.
Biden ajue anampa nafasi china acha walale wakishtuka muda umekwenda dunia ya sasa imechoka na utawala wa kidhalimu wa marakani mataifa mengi yanalia ndani kwa ndani. Siku ya kuanguka kwa US tutaskia mengi sana. Je ni kweli yale yaliyotabiliwa kwenye bible yanakwenda timia??????
Hata kama ningekuwa mimi, haiozi hiyo, Mtakuja tu.Russia yasema ina wanunuzi kibao wa mafuta na gesi yake, haitombembeleza yeyote yuReee
Russia: We have enough oil and gas buyers even with sanctions
‘We will not persuade anyone to buy our oil and gas,’ says Russian Foreign Minister Sergey Lavrov on Thursday.www.aljazeera.com
Kwenye pita pita zako huko Ukraine, hao NATO umekutana nao wapi?Shida ya pro NATO wanaamini US ndo kila kitu afu hawajui kama Russia anapambana na NATO pia mle ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana kila mda nasema wanasiasa ni watu wa hovyo sana [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]Mtu hajui economics analeta mahaba kwenye vitu siriaz yaani wanaamin Russia ataumia wakt mpaka wao vitawahusu. Kwa kinachoendelea EPL kama Chelsea atashindwa sababu ya UKATA wachezaji kuna uwezekano wasilipwe mishahara yao tim imefungiwa account.
Chelsea akishindwa itapelekea tim zingine zigome kucheza kumbuka wenzetu wanaumoja sana. Tim zikigoma kucheza sponsors watasitisha mikataba itaathiri mapato ya tim, itaathir mapato ya EPL Zile Tv zinazirusha matangazo zitakosa wateja mfano DSTV kama hurushi EPL nan atanunua packages?? Itaathiri uchumi worldwide. West wasilete ubabe kwenye vitu kama hv shida wanashinikizwa na biden, unaona kabisa vikwazo vya kupaniki.
Huko italy viwanda vinafungwa, huko ujeruman viwanda vya magari vinategemea sana nishati kama production iko juu unafikir nini? Hawa wasipokaa mezani na Russia uchumi duniani utaanguka sana hapa namwona china atakavokuja juu sana.
Biden ajue anampa nafasi china acha walale wakishtuka muda umekwenda dunia ya sasa imechoka na utawala wa kidhalimu wa marakani mataifa mengi yanalia ndani kwa ndani. Siku ya kuanguka kwa US tutaskia mengi sana. Je ni kweli yale yaliyotabiliwa kwenye bible yanakwenda timia??????
Waende CNN, Fox, The Gurdian USNews BBC na kwingineko zipo watazikuta....Basi tarifa nzuri zipo bbc, japokuwa kuna muda wanakuwa hawana namna.
Meya naye fala tu ww unaona kabisa mji wako umetekwa bado unaendelea kukaa tu? Ila watamuachia.Nimeshangaa ukrain wamezembea hadi meya wa maliupolo ametekwa na urusi
Nimeshangaa ukrain wamezembea hadi meya wa maliupolo ametekwa na urusi
Ha haaa haaaHii hadithi yako ni baada ya yule dogo kutumwa na kaka zake waliopo chuo kikuu na kuja kumsaidia dogo, kumbe kaka na yeye kaita washikaji zake wa masters level
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dadeki.
Vitani kuna mambo ya ajabu sana.
Madogo ujeda unanoga ile tu umevaa combat unaingia mlimani City kununua TV.
Hoja zako nyingine sina nazo shida, ila hii ya Club nyingine kugoma kisa Chelsea kuuzwa sahau. Tena kuna mtu kuna warusi walio na share kwenye vilabu vya Arsenal na Everton nao wanapaswa kujumuishwa kwenye huu msako wa pligarchs. Kimsingi hii ni vita iliyogambasha maslahi ya Urisi na nchi za Magharibi, hivyo nchi zinatumia namna mbalimbali za kukubiliana na "common enemy ".Mtu hajui economics analeta mahaba kwenye vitu siriaz yaani wanaamin Russia ataumia wakt mpaka wao vitawahusu. Kwa kinachoendelea EPL kama Chelsea atashindwa sababu ya UKATA wachezaji kuna uwezekano wasilipwe mishahara yao tim imefungiwa account.
Chelsea akishindwa itapelekea tim zingine zigome kucheza kumbuka wenzetu wanaumoja sana. Tim zikigoma kucheza sponsors watasitisha mikataba itaathiri mapato ya tim, itaathir mapato ya EPL Zile Tv zinazirusha matangazo zitakosa wateja mfano DSTV kama hurushi EPL nan atanunua packages?? Itaathiri uchumi worldwide. West wasilete ubabe kwenye vitu kama hv shida wanashinikizwa na biden, unaona kabisa vikwazo vya kupaniki.
Huko italy viwanda vinafungwa, huko ujeruman viwanda vya magari vinategemea sana nishati kama production iko juu unafikir nini? Hawa wasipokaa mezani na Russia uchumi duniani utaanguka sana hapa namwona china atakavokuja juu sana.
Biden ajue anampa nafasi china acha walale wakishtuka muda umekwenda dunia ya sasa imechoka na utawala wa kidhalimu wa marakani mataifa mengi yanalia ndani kwa ndani. Siku ya kuanguka kwa US tutaskia mengi sana. Je ni kweli yale yaliyotabiliwa kwenye bible yanakwenda timia??????