LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Vila vifaru na ndege vita zilipoingia niliamini kesho yake Urusi anateka nchi.
Kazi inafanyika kwa ufanisi mkubwa, picha za setiliti zaongea zaidi (picha zilizochukuliwa kabla ya mashambulizi June 2021, na za baada ya mashambulizi March 9, 2022)

A1/ Kabla ya shambulizi mji wavutia
SmartSelect_20220312-165544_Chrome.jpg


A2/ Baada ya shambulizi.

SmartSelect_20220312-165558_Chrome.jpg



B1/ Kabla ya shambulizi mji wavutia

SmartSelect_20220312-165520_Chrome.jpg



B2/ Baada ya mashambulizi


SmartSelect_20220312-165530_Chrome.jpg



C1/ Kabla ya mashambulizi

SmartSelect_20220312-165446_Chrome.jpg



C2/ Baada ya mashambulizi
SmartSelect_20220312-165504_Chrome.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana nakwambia we bado sana jomba kwe uchumi... au ka waujua vyema basi mahaba yamekuzidia uwezo wa kufikiri... na sorry ka ntakua nakukwaza kama nimetumia lugha kavu...

USA katika trading zake na Russia anazofanya iko valued to 28Billions dollars according kw data za 2019...

Katika hyo 28Billions Dollars kuna 5.8Billions USD za Exportation na 22.3Billions USD za Importation... Yaaaani ni deficit ya takriban 16.5Billions USD kwa USA.

So mpk apo ushaelewa nani anayemtegemea mwenzake... Haya umempiga marufuku kuleta au kufanya nae biashara ilhali we ndo unaechukua kingi kutoka kwake tofauti na yeye anavochukua kutoka kwako....

Kama hujafanya Alternative ya sehem nyingine ya kuchukulia hicho unachokizuia maana ake inapelekea kufinya Supply, ambayo inaenda kuzaa inflation kwa mtumiaji wa mwisho sio Biden Ofisin...

Je hyo move inamuumiza Mrusi au mpk Marekan mwenyewe? Mrusi atabaki na vitu na vitu vyake alivokuw anavipeleka... Je ye yule aliyekuuwa anapelekewa???

Mtu hajui economics analeta mahaba kwenye vitu siriaz yaani wanaamin Russia ataumia wakt mpaka wao vitawahusu. Kwa kinachoendelea EPL kama Chelsea atashindwa sababu ya UKATA wachezaji kuna uwezekano wasilipwe mishahara yao tim imefungiwa account.

Chelsea akishindwa itapelekea tim zingine zigome kucheza kumbuka wenzetu wanaumoja sana. Tim zikigoma kucheza sponsors watasitisha mikataba itaathiri mapato ya tim, itaathir mapato ya EPL Zile Tv zinazirusha matangazo zitakosa wateja mfano DSTV kama hurushi EPL nan atanunua packages?? Itaathiri uchumi worldwide. West wasilete ubabe kwenye vitu kama hv shida wanashinikizwa na biden, unaona kabisa vikwazo vya kupaniki.

Huko italy viwanda vinafungwa, huko ujeruman viwanda vya magari vinategemea sana nishati kama production iko juu unafikir nini? Hawa wasipokaa mezani na Russia uchumi duniani utaanguka sana hapa namwona china atakavokuja juu sana.

Biden ajue anampa nafasi china acha walale wakishtuka muda umekwenda dunia ya sasa imechoka na utawala wa kidhalimu wa marakani mataifa mengi yanalia ndani kwa ndani. Siku ya kuanguka kwa US tutaskia mengi sana. Je ni kweli yale yaliyotabiliwa kwenye bible yanakwenda timia??????
 
Wewe ni kajinga,kwa hiyo importation anayofanya US kutoka Russia itakula kwa nani?

Tunarudi pale pale Tyson na matumla nani ataumia?
Asante me ni kajinga... We mwerevu endelea kubwabwaja... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usibishane na mie mjinga utakuwa mjinga... Sawa Mr Mwerevu [emoji3577]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndo maana nikamuuliza kaisoma mpk mwisho...???

Mwingine kasema na umefikisha kama alivosema weather n Propaganda au sio kinatumika kigezo kipi kuchuja?

Shida bado iko pale pale hum tuna mahaba kiasi kwamba tuko selective na taarifa tunazotaka kusikia...

Kila team inataka taarifa nzuri nzuri za kuwakonga mioyo zao...

Bado sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi tarifa nzuri zipo bbc, japokuwa kuna muda wanakuwa hawana namna.
 
Mtu hajui economics analeta mahaba kwenye vitu siriaz yaani wanaamin Russia ataumia wakt mpaka wao vitawahusu. Kwa kinachoendelea EPL kama Chelsea atashindwa sababu ya UKATA wachezaji kuna uwezekano wasilipwe mishahara yao tim imefungiwa account.

Chelsea akishindwa itapelekea tim zingine zigome kucheza kumbuka wenzetu wanaumoja sana. Tim zikigoma kucheza sponsors watasitisha mikataba itaathiri mapato ya tim, itaathir mapato ya EPL Zile Tv zinazirusha matangazo zitakosa wateja mfano DSTV kama hurushi EPL nan atanunua packages?? Itaathiri uchumi worldwide. West wasilete ubabe kwenye vitu kama hv shida wanashinikizwa na biden, unaona kabisa vikwazo vya kupaniki.

Huko italy viwanda vinafungwa, huko ujeruman viwanda vya magari vinategemea sana nishati kama production iko juu unafikir nini? Hawa wasipokaa mezani na Russia uchumi duniani utaanguka sana hapa namwona china atakavokuja juu sana.

Biden ajue anampa nafasi china acha walale wakishtuka muda umekwenda dunia ya sasa imechoka na utawala wa kidhalimu wa marakani mataifa mengi yanalia ndani kwa ndani. Siku ya kuanguka kwa US tutaskia mengi sana. Je ni kweli yale yaliyotabiliwa kwenye bible yanakwenda timia??????
 
Mtu hajui economics analeta mahaba kwenye vitu siriaz yaani wanaamin Russia ataumia wakt mpaka wao vitawahusu. Kwa kinachoendelea EPL kama Chelsea atashindwa sababu ya UKATA wachezaji kuna uwezekano wasilipwe mishahara yao tim imefungiwa account.

Chelsea akishindwa itapelekea tim zingine zigome kucheza kumbuka wenzetu wanaumoja sana. Tim zikigoma kucheza sponsors watasitisha mikataba itaathiri mapato ya tim, itaathir mapato ya EPL Zile Tv zinazirusha matangazo zitakosa wateja mfano DSTV kama hurushi EPL nan atanunua packages?? Itaathiri uchumi worldwide. West wasilete ubabe kwenye vitu kama hv shida wanashinikizwa na biden, unaona kabisa vikwazo vya kupaniki.

Huko italy viwanda vinafungwa, huko ujeruman viwanda vya magari vinategemea sana nishati kama production iko juu unafikir nini? Hawa wasipokaa mezani na Russia uchumi duniani utaanguka sana hapa namwona china atakavokuja juu sana.

Biden ajue anampa nafasi china acha walale wakishtuka muda umekwenda dunia ya sasa imechoka na utawala wa kidhalimu wa marakani mataifa mengi yanalia ndani kwa ndani. Siku ya kuanguka kwa US tutaskia mengi sana. Je ni kweli yale yaliyotabiliwa kwenye bible yanakwenda timia??????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana kila mda nasema wanasiasa ni watu wa hovyo sana [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]

Ogopa kufanyiwa maamuzi na 70+yrs Old [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijamaa vinajua vinakaribia kufa haviwazi kabisa maisha y baadae....

Uchanganuzi ka huo uloweka ni kwa watu walokomaa akili tu big Up kwa kuliona hilo nimeongeza kitu apo...

Hivi vitoto vina mahaba sana ngoja tuvikaushie tu viendelee kujifurahisha....
 
The main thing from the President's telephone conversation with Olaf Scholz and Emmanuel Macron:

— Putin told Macron and Scholz about the recent talks between Russian and Ukrainian representatives;

- Putin cited numerous facts of gross violation of the norms of international humanitarian law by the Ukrainian military;

- Putin called on the heads of the two republics to influence the Kiev authorities so that the crimes of the national battalions of Ukraine were stopped;

Putin, Makaron and Scholz agreed to continue contacts on Ukrainian issues. Galip SV Liwagu
SmartSelect_20220312-172326_Gallery.jpg
 
Mtu hajui economics analeta mahaba kwenye vitu siriaz yaani wanaamin Russia ataumia wakt mpaka wao vitawahusu. Kwa kinachoendelea EPL kama Chelsea atashindwa sababu ya UKATA wachezaji kuna uwezekano wasilipwe mishahara yao tim imefungiwa account.

Chelsea akishindwa itapelekea tim zingine zigome kucheza kumbuka wenzetu wanaumoja sana. Tim zikigoma kucheza sponsors watasitisha mikataba itaathiri mapato ya tim, itaathir mapato ya EPL Zile Tv zinazirusha matangazo zitakosa wateja mfano DSTV kama hurushi EPL nan atanunua packages?? Itaathiri uchumi worldwide. West wasilete ubabe kwenye vitu kama hv shida wanashinikizwa na biden, unaona kabisa vikwazo vya kupaniki.

Huko italy viwanda vinafungwa, huko ujeruman viwanda vya magari vinategemea sana nishati kama production iko juu unafikir nini? Hawa wasipokaa mezani na Russia uchumi duniani utaanguka sana hapa namwona china atakavokuja juu sana.

Biden ajue anampa nafasi china acha walale wakishtuka muda umekwenda dunia ya sasa imechoka na utawala wa kidhalimu wa marakani mataifa mengi yanalia ndani kwa ndani. Siku ya kuanguka kwa US tutaskia mengi sana. Je ni kweli yale yaliyotabiliwa kwenye bible yanakwenda timia??????
Hoja zako nyingine sina nazo shida, ila hii ya Club nyingine kugoma kisa Chelsea kuuzwa sahau. Tena kuna mtu kuna warusi walio na share kwenye vilabu vya Arsenal na Everton nao wanapaswa kujumuishwa kwenye huu msako wa pligarchs. Kimsingi hii ni vita iliyogambasha maslahi ya Urisi na nchi za Magharibi, hivyo nchi zinatumia namna mbalimbali za kukubiliana na "common enemy ".
 
Back
Top Bottom