LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Warusi wanapiga mabomu kiustadi sana utafkiri Aliens yaani bomu linachakata nyumba mpaka ibaki gofu na hainguki ili wenyewe wakiiona wafe kwa presha
 
Profit repatriation inategemea na sheria zenu kama zinaruhisu,pia acha ushamba, investment haiwi included kwenye GDP bali kwenye GNP.

Huna cha kuniambia kwenye economics,ndio fani yangu hiyo.

Hasira za kibano [emoji116]

View attachment 2147943
Nahakika kwa komenti zako zile wewe si mchumi.

Sio tu uchumi, wewe pia huwezi kuwa Mwanasheria, Accountant, Engineer of all forms, Huwezi kuwa expert wa Biashara hata Agribusiness ya pale SUA.

Kwa sababu tunatumia majina feki humu lakini mtazamo, uwezo , ufahamu, utaalamu, uzoefu unaonyesha kila kitu Cha mtu.
 
Ndio maana wasyria wameitwa ambao ni mabingwa wa urban warfare.

Putin hajawahi kuwa mjinga.
Kwa hiyo "Super Power" amenyweya pamoja na tambo na promo zote zile. Usicheze na vita bwana.

Nyerere alisema vita sio lelemama, ona sasa Russia alivyoaibika kwenye hivi vita hadi mkuu wa intelijensia amewekwa kwenye kizuizi cha ndani kwa kupotosha kuhusu nguvu za Ukraine na majenerali nao ndio hivyo wametemeshwa mzigo.
 

Umeitoa DW kiswahili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unasambaza tena propaganda. Hakuna anayezuliwa kuangalia vituo vya kirusi, vyote vinapatikana online. (analialia kwa sababu satelaiti zilifuta runinga ya kirusi - ambayo ilikuwa na watazamaji wachache, maana muda wote ilionekana kama propaganda)
Kama zilikuwa na watazamaji wachache, kwa nini wazifungie?

Watakwambia zinatangaza propaganda, je Wanachokifanya BBC, CNN, AL JAZEERA, FRENCH 24 ni nini?

Oohh ni state sponsored sawa ni kweli zinafadhiliwa na Serikari ya Urusi.
Je BBC haifadhiliwi na serikari ya Uingereza, je wale wengine?
 
Russia jeshi lake Ni mdebwedo....Ni wakuwasamehe tu
 
Ni vigumu kuangalia channel za Urusi sababu West wamezizuia usizione na Urusi hawana la kufanya kusaidia wapenzi watazamaji wa chaneli zake nje ya Urusi kuzitazama kwa uhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…