LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Unaweza kuweka evidence ni wapi amesema Ukraine siyo nchi!? Hivi unatuchukulia humu tunauelewa sawa na vijana unaowadanganya mtaani kwako!?
 
He here mrussi wa Naliendele naona umetubalishia na la Avatar umeweka ka ZERO kenu eeeh?Zero Ni failure....mtafeli njooni kambi la ushindi
[emoji1787][emoji1787] mu Ukraine wa Lupingo-Ludewa yaani bado unamatumaini ya kuepuka kipigo cha Wasoviet sitaki nikuongopee Serikali ya Zelensk ipo Mashakani jahazi linazama wataanza kugawa mbao mda si mrefu[emoji1787]
 
Sidhani kama unaelewa mambo haya zaidi ya west! Wewe ni Mfuasi tu wa kuona yanayotokea, hakuna unachofikiri wewe ambacho wao hawajiki-anticipate
 
Ila wadau kuna jambo natafakari sipati jibu. Ni nini hasa Russia anachokitaka maana hii yakutaka wananchi waondoke kwenye Miji/ nchi yao ndio nashuhudia kwa Mara ya kwanza kwenye hii Dunia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Russia ni fair wanataka kugeuza magofu hiyo miji, sasa hawataki kuua raia labda wawe wabishi kuondoka ndio watakipata wakitakacho.
 
Russia says it could target West’s arms convoys for Ukraine

Supplying Ukraine with Western arms only serves to worsen the ongoing conflict between Moscow and Kiev, Russian Deputy Foreign Minister Sergey Ryabkov said on Saturday, warning that Russian forces could potentially target such deliveries.

“We have warned the US that pumping up Ukraine with arms from several nations orchestrated by [Washington] is not just a dangerous move but something that makes these [arms] convoys legitimate targets,” Ryabkov told Russia’s Channel One. He did not elaborate on where and when Russia might target the convoys.


Subscribe to RT t.me/rtnews

 
......Katika ubora wako.
 
Unaweza kuweka evidence ni wapi amesema Ukraine siyo nchi!? Hivi unatuchukulia humu tunauelewa sawa na vijana unaowadanganya mtaani kwako!?
Mpendwa, tafadhali: FUATA HABARI! Kabla ya uvamizi Putin alitoa hotuba ndefu ambako alirudia kwamba Ukraine si nchi kweli. Si mara ya kwanza, nimekuta hapa gazeti la kirusi Komersant ya 07.04.2008 https://www.kommersant.ru/doc/877224 ambako ananukuliwa "Когда же речь зашла об Украине, Путин вспылил. Обращаясь к Бушу, он сказал: "Ты же понимаешь, Джордж, что Украина — это даже не государство! Что такое Украина? Часть ее территорий — это Восточная Европа, а часть, и значительная, подарена нами!" Tafsiri yangu: “When it came to Ukraine, Putin flared up. Addressing Bush, he said: , George, that Ukraine is not even a state! What is Ukraine? Part of its territory is Eastern Europe, and part, and a significant one, was donated by us!"
Alirudia yaleyale, sasa sina nukuu ya Kirusi ya hotuba yake ya Februari- ona Business Insider 22.02.2022: "Putin said in a Monday speech: "Ukraine has never had its own authentic statehood. There has never been a sustainable statehood in Ukraine."


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…