LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hivi hii mbinu inaitwaje?
Mkuu hiyo mbinu yajulikana kwa jina la 'medieval siege tactics' au 'siege tactics'.

Ktk mbinu hiyo, mji unaolindwa sana na majeshi yake (mfano miji ya Ukraine) inzingirwa na majeshi mageni (ya Russia), mawasiliano yake na njia za kuingiza silaha, wapiganaji wengine (toka miji jirani) na vyakula vyazuiwa, kisha moto mkali (mvua za makombora na mabomu) wapelekwa ndani ya mji huo hadi wanaoulinda wanalegea, kisha unajichukulia mji.

Russia huipendelea sana mbinu hiyo ktk oparesheni zake za kijeshi. Amewahi kutumia mbinu hizo huko Chechnya na Syria, na sasa Ukraine

=======

SmartSelect_20220312-231918_Chrome.jpg


 
Mimi natamani akimaliza ukraine amgeukie us unajua hawa wazungu wa europe wnajiona wao ni kila kitu wanyooshwe tuu
 
Raisi wa ukraine muda wote matamko hii ni tafsiri kuwa tayari mambo yameharibika anaongea aonekane alikufa kishujaa putin haongei sana anatoa dawa tuu ukraine itakua gofu la makumbusho sio nchi tena naona saudi wahuni wanaharibu mifumo ya mafuta mwaka huu EU na marekan kazi wanayo wataondoa vikwazo vyoote ufaransa,ujerumani na italy wameufyata naona hawaongelei sana hii issue wameshaona russia yupo serious
 


The video shows the combat work of the helicopters Ka-52 Alligator and Mi-28 Night hunter of the army aviation of the Ministry of Defense of the Russian Federation on military equipment and fortified facilities of the Armed Forces of Ukraine during a special military operation
 
unaboreka na maisha ya mtu? unashida kichwani halafu hizo gwanda na rangi mbona sehemu yoyote inapatikana tu
au umesahau kuna convoy ya wanajeshi wa kirusi ilishikwa ikiwa na gwanda za jeshi la ukraine mbona kawaida acha kutoa matango pori
Braza naomba tenda ya kutoa propaganda hasi kwa warusi. Naelewa mpaka sasa tumeua wanajeshi 12000 wa urusi, sisi hajafa hata mmoja, hakuna mji warusi wameukamata, ila sisi tunaelekea moscow kumaliza kazi.

Nisaidieni vocha nijiunge bando ili tuwakomoe team Russia , maana team Putin wamezidi.
 
unaboreka na maisha ya mtu? unashida kichwani halafu hizo gwanda na rangi mbona sehemu yoyote inapatikana tu
au umesahau kuna convoy ya wanajeshi wa kirusi ilishikwa ikiwa na gwanda za jeshi la ukraine mbona kawaida acha kutoa matango pori
Braza naomba tenda ya kutoa propaganda hasi kwa warusi. Naelewa mpaka sasa tumeua wanajeshi 12000 wa urusi, sisi hajafa hata mmoja, hakuna mji warusi wameukamata, ila sisi tunaelekea moscow kumaliza kazi.

Nisaidieni vocha nijiunge bando ili tuwakomoe team Russia , maana team Putin wamezidi.
 
unaboreka na maisha ya mtu? unashida kichwani halafu hizo gwanda na rangi mbona sehemu yoyote inapatikana tu
au umesahau kuna convoy ya wanajeshi wa kirusi ilishikwa ikiwa na gwanda za jeshi la ukraine mbona kawaida acha kutoa matango pori
Braza naomba tenda ya kutoa propaganda hasi kwa warusi. Naelewa mpaka sasa tumeua wanajeshi 12000 wa urusi, sisi hajafa hata mmoja, hakuna mji warusi wameukamata, ila sisi tunaelekea moscow kumaliza kazi.

Nisaidieni vocha nijiunge bando ili tuwakomoe team Russia , maana team Putin wamezidi.
 
Mkuu hiyo mbinu yajulikana kwa jina la 'medieval siege tactics' au 'siege tactics'.

Ktk mbinu hiyo, mji unaolindwa sana na majeshi yake (mfano miji ya Ukraine) inzingirwa na majeshi mageni (ya Russia), mawasiliano yake na njia za kuingiza silaha, wapiganaji wengine (toka miji jirani) na vyakula vyazuiwa, kisha moto mkali (mvua za makombora na mabomu) wapelekwa ndani ya mji huo hadi wanaoulinda wanalegea, kisha unajichukulia mji.

Russia huipendelea sana mbinu hiyo ktk oparesheni zake za kijeshi. Amewahi kutumia mbinu hizo huko Chechnya na Syria, na sasa Ukraine

=======

View attachment 2148395

Shukrani mkuu kwa elimu
 
Naomba kazi ya kusambaza propaganda, angalia mfano huu

Mpaka sasa wanajeshi 12,000 wa urusi wamekufa huku wanajeshi wa Ukraine wakiwa hawajauawa hata mmoja. Urusi inaenda kufulisika ndani ya mwez mmoja, hakika shetani Putin atajutia maamuzi yake.

Nchi za mungu, USA na umoja wa ulaya wanamchora tu Putin, mda si mrefu watamfuta kwenye ulimwengu.
Wewe ni taahira kama unaamini hii kitu! Dah....[emoji2297]
 
“We have nothing to do with it” - Biden writes off the failures of the internal policy of the Democrats on Putin.

The midterm elections are less than eight months away, and the US president wants to find a scapegoat to remove the blame for economic problems, writes The Washington Times.

The publication notes that the rise in inflation and fuel prices in the United States "annoyed" his administration long before the start of the special operation in Ukraine. Despite this, Biden blames Putin for two crises.

Meanwhile, according to the country's Ministry of Labor, last year consumer prices rose by 7.9%. And the cost of gasoline, according to the American Automobile Association, reached an average of $ 4.33 per gallon (the highest figure on record).
Galip SV Liwagu
SmartSelect_20220312-172326_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom