LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ukraine Reporters reported that a Ukrainian farmer was able to hijack a Russian military aircraft and even shared a photo on his Twitter.

The news turned out to be fake.

The photo with a tractor driven by a MiG-21 was taken back in 2011 in Zagreb. Then the military aircraft had to be transported to the exhibition in honor of the 20th anniversary of the formation of the Croatian Armed Forces.

The same investigation was conducted by Reuters. The publication also recognized the tweet as a fake. Galip SV Liwagu
 
Walipaswa wamsaidie kivita Kama mwanzo walivyoahidi wkt bado Russia Yuko mpakani.

Sahv mwenzo anapigika wao wanaweka vikwazo tu, huu Ni unafiki uliopitiliza.
Urusi ilijipanga kufanya hiki anaachokifanya muda mrefu, Putin anajua kabisa hawawezi kutia pua zao pale wataishia kwenye sanctions tu.

Wangekuwa smart enough wange mshaauri Rais wa Ukraine kuondoka nchini mapema kabla ya uharibifu mkubwa.

Shida nyingine huyu Comedian hatumii akili yake vizuri, Anakua wazi kabisa hii vita hata shinda hata Yesu arudi na nchi itaharibika, huko mbele tunakuja kuiona Ukraine ikiwa nchi iliyopoteza mvuto kwasababu ya ujinga wa mtu mmoja asiye na akili nzuri ya kufikiri.
 
Wewe umeshawahi kupigana vita ipi??.Waafrika sisi MUNGU atuhurumie tu.Tunavyojadili ishu za wenzetu ni kana kwamba tunajua sana au tuna uzoefu sana na mambo hayo, Kumbe dah!!!,La haula.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati USA na washirika wake wakizitandika Iraq, Afghanistan,Libya, palestina na kugeuzs mini Yao magofu

Sikuwai kabisa kuona comment yako Kama hii?

Au umeokoka juz tu mkuu baada ya Vita hii ya Ukraine[emoji4]
View attachment 2148691
Hapo nilipiga kelele tu kipindi kile yule Mpuuzi Marekani na wehu wenzake walivyomvamia Libya, kwasababu tu Libya ni Waafrika wenzangu.Lkn hayo ma nchi mengine sikuwa na time nayo.
 
We wajua maana ya neno 'appeal' kama lilivyotumika ktk source niliyoiweka? (tazama screenshot ya kwanza hapo chini)

Maana ya appeal ni kuomba angalia tafsiri yake kwa mujibu wa kamusi (screenshot ya 2)

Halafu lete tafsiri yako unayoipenda ya maneno niliyoyapigia mstari



 
Vikwazo vina backfire😅 unamuwekea kikwazo Urusi nae anamuwekea kikwazo mshirika wako😂😂😂
 
Kwahio uendelee kuburuzwa kama mbwa kwa sababu gani yani! Putin ni mwanaume wa shoka halina ubishi!
Ubabe wa US ufikie mwisho
 
Rais wa Ukraine aikubali Russia kuwa kuwa ni hatari zaidi kuliko hata North Korea.

Anasema makombora wanayoshusha Russia nchini Ukraine ni balaa tupu

Mwambieni amalizane kwanza na Putin (Russia), asitafute kuanzisha ugomvi mwingine mpya na Kim wa North Korea

 
Safi sana....maslahi ya nchi kwanza
Uzuri , Venezuela atapanga bei bila kutumia kipimo cha dola. Na hiyo hela atampa Russia kumalizia deni.

Tena yawezekana, Russia ndiyo kamuagiza US apeleke hela huko Venezuela kulipa faini ya kumsababishia usumbufu wa kudemilitarise na ku denazify Ukraine.

Hivi vikwazo, vinawatafuna kweli. Kutoka Oslo kwenda Hanoi bei ya tiketi ya ndege imepanda zaidi ya 150%. Hii ni baada ya Ulaya kuzuia airspace yao kwa Russia na Russia kujibu mapigo.
Halafu mtu anarukaruka kama kitenisi kikuu eti nimeweka vikwazo Russia vya kumtoa kwenye reli
===
Povu ruksa kwa watakao ghadhabika na bandiko hili.
 
Ile story ya mkulima kuiba kifaru inachekesha sana
 
Kaka naona huelewi maana ya soko. Kama Urusi (au yeyote) analeta kitu kwenye soko kwa bei nafuu, hata akimwuzia fulani pekee, hata hivyo bidhaa zote za aina hiyo zinaathiriwa, bei itashuka. Hata wale wanaopata bidhaa nafuu sana chini ya kawaida ya sokoni wana nafasi ya kununua zaidi kuliko wanavyohitaji na kuiuza kwa faida. Tokeo: kiwango cha bei kwa bidhaa husika kwenye soko litashuka.
Warusi wanaelewa kanuni hizi pia, hivyo nina uhakika hawatafuata ushauri wako. (isipokuwa wakiwa na rafiki 1, wawili ambao wanahitaji msaada - jinsi Urusi iivyofanya zamani na Kuba)
 
Ingawa hatufurahii Raia kufa kwasabab ya viongozi wao... Upatikane mbadala tu.

Na ni wakati sasa dunia ione aibu kila "race" ibebwe kwa usawa... Lisiwe kundi flan tunafunika macho kundi lingine tuna nyanyia sauti...

Inapelekea utengano na chuki baadae kundi lingine linapopata matatizo kama hivo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…