Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Joe Bidaen na USA wake wapo kifursa zaidi-ni wazi kuwa ili uwe super power wa Dunia lazima uwe na nguvu za kijeshi & Uchumi.USA aliupata U super power by propaganda alikuwa na nguvu ya Uchumi lakini alikiwa anazidiwa na nguvu za kijeshi na Russia.Mtu hajui economics analeta mahaba kwenye vitu siriaz yaani wanaamin Russia ataumia wakt mpaka wao vitawahusu. Kwa kinachoendelea EPL kama Chelsea atashindwa sababu ya UKATA wachezaji kuna uwezekano wasilipwe mishahara yao tim imefungiwa account.
Chelsea akishindwa itapelekea tim zingine zigome kucheza kumbuka wenzetu wanaumoja sana. Tim zikigoma kucheza sponsors watasitisha mikataba itaathiri mapato ya tim, itaathir mapato ya EPL Zile Tv zinazirusha matangazo zitakosa wateja mfano DSTV kama hurushi EPL nan atanunua packages?? Itaathiri uchumi worldwide. West wasilete ubabe kwenye vitu kama hv shida wanashinikizwa na biden, unaona kabisa vikwazo vya kupaniki.
Huko italy viwanda vinafungwa, huko ujeruman viwanda vya magari vinategemea sana nishati kama production iko juu unafikir nini? Hawa wasipokaa mezani na Russia uchumi duniani utaanguka sana hapa namwona china atakavokuja juu sana.
Biden ajue anampa nafasi china acha walale wakishtuka muda umekwenda dunia ya sasa imechoka na utawala wa kidhalimu wa marakani mataifa mengi yanalia ndani kwa ndani. Siku ya kuanguka kwa US tutaskia mengi sana. Je ni kweli yale yaliyotabiliwa kwenye bible yanakwenda timia??????
Hadi sasa USA ana nguvu za kiuchumi,bado Russia anamzidi katika nguvu za kijeshi-USA anajua kabisa itamchukua China miaka mingi kumfikia katika Nguvu za kiuchumi,vilevile itamuchukua China years kumzidi Russia&USA nguvu za kiuchumi,so kwake ni bora China aendelee Ku grow katika Uchumi lakini aendelee kumshusha Urusi kijeshi kwa kutumia sanction za kiuchumi na kuendelea kudidimiza chumi za western Countries ili aweze ku ziweka under control.
Kumbuka the big mission ya USA ni
1.kupunguza nguvu za kijeshi z Urusi
2.Kuziweka kwapani kwake Nchi za Ulaya.
3.Kuishusha China kiuchumi-