LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Russian report:

"πŸ‡·πŸ‡ΊπŸ‡ΊπŸ‡¦ Arkhangelskoye is ours. The enemy fled to the fortifications behind Kalinovsky Pond. Our Troops are now consolidating in the new captured Positions. Logistics are being set up and Reinforcements are being sent to our Units working in this area.

Further attacks become more difficult due to the natural conditions of the pond. That's why it makes sense that the 132nd Gorlovka Brigade, which operates here, is supported by other units of the 1AK.

Attack Operations towards the fortifications north of the pond resume towards evening."
 
c&p


Our source in the OP said that the Office of the President is disappointed with the position of the President of Moldova, which is delaying agreements on the military operation in Transnistria. Andrei Ermak considers Sandu’s position to be situationally playing along with the Kremlin, which ultimately allows her to win the upcoming elections against a weak candidate from the PSRM."
 
The United States does not allow strikes with its weapons on Russian territory, said Ambassador in Kiev Bridget Brink.

"Our position from the beginning has been that we do not enable or encourage the use of our weapons in Russia, outside of Ukrainian territory," Brink said during a USAID roundtable in Kiev.
 
Urusi Anasonga Mbele kwa kasi Sana
 
Hii ni vita ya kihistoria itakayobadili mengi.
Hii ni vita itakayopelekea nchi za NATO kudharaulika, ni vita itakayopelekea Russia kufanikiwa zaidi katika uuzaji wake wa silaha.

NATO hadi sasa wanatafakari kuchukua maamuzi magumu sana lakini bado wana mvutano, huu mvutano kuna ambao wanakataa aibu na fedheha inayokwenda kutokea na wengine wakiogopa matokeo watakapofanya maamuzi magumu.

Kikubwa nachokiona baada ya vita kuisha ni kutumia billions za dola kutengeneza documentary za uongo na kupotosha watu kuhusu vita hii, kuandika vitabu na kutengeneza filamu za uongo na kweli, utakuja kusikia Russia alikuwa na vifaa vya kizamani vyenye kutu na kila aina porojo.

Hawa jamaa ni kawaida yao kupindisha ukweli, Russia ni jitu la kutisha, WWII kuna mengi yalifichwa, ukisoma Russia wanavyoelezea WWII ilivyokuwa ni tofauti na hao jamaa.

Ikumbukwe WWII kutoka mashariki Russia pekee ilikuwa nchi ya kwanza kuingia Germany, huku US , France na UK zikitoka magharibi wakamkuta Russia amepiga kambi tayari Berlin. Hivyo West kutengeneza NATO wanaifahamu siri na nguvu ya Russia kijeshi toka WWII.

Ngoja tusubiri Hollywood movies, NetFlix documentaries za mchongo kutoka West...
Novels za mchongo, internet itachafuliwa kwa habari za kupotosha.

All in all vitendo vinaongea kuliko maneno.
 
Hivi Russia anataka kuteka miji yote ya Ukraine au me ndo sielewi nia yake
 
Upo sahihi lakini Dunia ya leo Imebadilika sana
Watu hawadanganyi Saivi Wanapata Ukweli moja kwamoja bila kutegemea Vyombo vyao
Saivi hadanganywi mtu
 
Majeshi ya Russia kuingia mji wa Chasiv Yar muda wowote baada ya kuchukua Adviivka.
Zelensky alishasema mji huu ni ngome isiyoweza kupenyezeka, inasemekana mji huu ni ngome muhimu sana kwa majeshi ya Ukraine.

Kuchukuliwa kwa Chasiv Yar kutapelekea majeshi ya Russia kuingia Kyiv.

Ukrainian Military Intelligence General Bw Skibitsky amesema kuwa itakuwa ni habari mbaya na itakayo waharibu askari wa Ukraine kisaikolojia endapo ngome hio ya Chasiv Yar itaangukia mikononi mwa Russia.
Skinitsky anaeleza kwamba kuna uwezekano kwa majeshi ya Ukraine kusalimu amri/kurudi nyuma endapo tu hakutokuwa na msaada wa vifaa/silaha.

Inasemekana majeshi ya Russia yanakwenda mbele kwa km 20 hadi 25 kila siku.



Ukraine ina hali mbaya sana, jamaa ni kama wanakata tamaa, Russia sio watu poa.
Chasiv Yar inaonekana ni ngome muhimu sana katika kuzuia majeshi ya Russia kuingia Kyiv, lakini inavyoelekea Kyiv inakwenda kuanguka.
Ni suala la muda tu.
 
Nadhani ndio maana Russia wamemweka katika Wanted List Bw. Zelensky. Ili wakifanikiwa kuingia Kyvi na kumkamata wamfungulie mashtaka.
 
Nadhani ndio maana Russia wamemweka katika Wanted List Bw. Zelensky. Ili wakifanikiwa kuingia Kyvi na kumkamata wamfungulie mashtaka.
Hio movie naisubiri kwa hamu sana.
Je, Zelensky atakaa pale Kyiv akubali akutwe na majeshi ya Russia kama sehemu ya kuonyesha uzalendo na kutokata tamaa?
Kwa sababu akikimbia itakuwa aibu na fedheha,askari walioko vitani watamuona msaliti, kama wengine wamefariki vitani kwa nini yeye akimbie?

Je kutatokea nini Russia wakifika Kyiv? Je NATO itapeleka majeshi, kwa maana tunaona sasa NATO wakiongozwa na France wanapiga mikwara kupeleka askari Ukraine sasa sifahamu wanamtishia Russia ama wanamaanisha naona maji yanazidi unga.

Je NATO watakubali Zelensky waliyemshawishi apambane na Russia akamatwe kama kuku huku wao wakishuhudia, hii nayo ni aibu kwao NATO.

Maswali ni mengi sana nakosa majibu.
Ngoja tusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…