Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 6,658
- 6,700
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania tulikuwaga na "MATONYA" aliyekuwa rafiki kipenzi wa LUTENI MAKAMBA
Sasa Dunia nayo ina MATONYA WAKE
View: https://x.com/DD_Geopolitics/status/1791842168572641310
Haya tukubaliane kuwa Nchi za Magharibi zimeshindwa kuudhibiti kijeshi Urusi kwasababu anamiliki silaha za Nyuklia.Sio kazi rahisi kumfunga kamba 'kichaa' aliyeshika panga.
Weather nimeanzia kati, mwanzo, au mbele, there is no way unahalalisha uvamizi wa Russia kwa Ukraine.Nashindwa kuelewa maana ya neno "kushadidia".
Sijui maana yake.
Ila kitu nilichogundua ni kwamba huenda mjadala huu umeuanzia Hapa.
Kama uliuanzia mwanzo Kuna wadau waliufafanua kwa undani kabisa na kuonesha kua Urusi ana haki ya kuivamia Ukraine baada ya juhudi zote za kidiplomasia kishindikana.
Hata hivyo inategemea na utayari wako kuukubali ukweli.
Lakini uzuri wa mgogoro huu majibu yake yapo wazi kutokana na matukio yaliyokwisha kutokea.
Jibu mojawapo ni hili.
Unafahamu kua USSR ilipeleka makombora ya nyukilia Cuba ?
Je unafahamu ni Kwa sababu Gani USSR iliyapeleka Cuba?
Je unafahamu kua USA ilitaka kuivamia Cuba kwa sababu ya makombora hayo?
Je USA ilikua sahihi kutaka kuvuka mipaka yake na kwenda kuivamia Cuba kitu ambacho kingeharibu Mali za jirani yake Cuba?
Putin hana ustaarabu wa kuyajenga, ni mbabe. Anataka yeye ndo asikilizweKuna ombaomba ni majasiri sana na hawana aibu. Ukiacha kwamba anataka Patriot 2 zenye zaidi ya $3 B bado anakwambia anahitaji si chini ya F-16 100 hadi 130. Afanye tu ayajenge na Putin wamalize huu mzozo otherwise hamna wa kutekeleza haya mahitaji yake.
Mbabe yeyote yuko hivo kwahiyo ukiona unapakana na mbabe ni vema ukawa mpolePutin hana ustaarabu wa kuyajenga, ni mbabe. Anataka yeye ndo asikilizwe
watu wamekimbia miji ya UKREINE.... Baada ya sheria kupitishwa ya KWENDA MSTARI WA MBELE......
(Narudia tena, hapa kwetu mwaka 1978 kulikuwa na vita vya Kagera watu walikuwa wanasonga wenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye mapigano kukomboa nchi yao, wasioweza walikuwa wanachanga NG'OMBE, MBZU, KUKU, MAHINDI, NGANO , SUKARI n.k kwa ajili ya askari wetu walio mstari wa mbele, NAJIVUNIA JESHI LETU.....NAJIVUNIA PIA JESHI LETU LA MGAMBO) VIVA TANZANIA........ VIVAAAAAA!!!!!!
View: https://x.com/Zlatti_71/status/1792088812379607198
Bahati mbaya huyu mbabe wako anakimbilia kwa baba yake china Ili amsaidie kumaliza huu masala😅Mbabe yeyote yuko hivo kwahiyo ukiona unapakana na mbabe ni vema ukawa mpole
Yule Pimbi alioa Mama yake.Hawajaelemewa?!
Huyo Macaroni ndiye nani!
Akili za mtoto mchanga hizi.Putin hana ustaarabu wa kuyajenga, ni mbabe. Anataka yeye ndo asikilizwe
Putin hana ustaarabu wa kuyajenga, ni mbabe. Anataka yeye ndo asikilizwe
Weather nimeanzia kati, mwanzo, au mbele, there is no way unahalalisha uvamizi wa Russia kwa Ukraine.
Si sahihi kwa Us kuivamia Cuba/ jirani yake yeyote au mwengine asiye jirani na vivyo hivyo kwa Russia.
Russia anayo haki ya kunilinda mipaka yake kama ulivyo Tanzania na taifa lolote.
Ok, zako ni za mtu "mzima".Akili za mtoto mchanga hizi.
Nimesema umeanzia kuifuatilia thread hii katikakti sio Kwa Nia ya kukudharau au kukubeza,Bali nimesema Kuna wadau humu walishaelezea huko nyuma kwa kina sababu za Urusi kumvamia jirani yake yaani Ukraine.Weather nimeanzia kati, mwanzo, au mbele, there is no way unahalalisha uvamizi wa Russia kwa Ukraine.
Si sahihi kwa Us kuivamia Cuba/ jirani yake yeyote au mwengine asiye jirani na vivyo hivyo kwa Russia.
Russia anayo haki ya kunilinda mipaka yake kama ulivyo Tanzania na taifa lolote.