LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
 
Unajua Kuna Wenzetu Watanzania hua ni mapunguani Sana na ujuaji mwingi wa kujua Kila kitu Kila mtu Kila utawala Kila nchi... Ndo maana nimeona nimkumbushe tu Mdau Ili next time asiropoke kwa Kutumia maandishi...😂😂
Nadhani hakukosea sana kwenye utabiri wake labda alichosahau ni kutwambia hii vita itadumu kwa wiki 2 au zaidi ikiwa nini kitatokea. Hata mtoto anajua kwa hakika kabisa kuwa bila support ya mataifa zaidi ya 30 kwa Ukraine, Russia angetangaza ushindi ndani ya siku 3 hadi wiki 2.
 
Ofcoz Mkuu, nimemchallange tu
 
Bro mwaka wa pili huu tunaenda wa tatu.... Nimeona nikukumbushe tu kama bado upo JF😂😂
Mkuu mwaka wa pili huu NATO wanafanya vikao Kila siku wakati Urusi anaipiga Ukraine Kila siku na kuteka miji.
Vipi mbona USA na NATO hawafanyi kama walivyofanya kwa Iraq,pale Iraq
alipoivamia Kuwait ?
Ama USA na NATO yake hawafanyi kitu kwa Urusi kama walichofanya kwa Yugoslavia pale Yugoslavia alipokua
akiwapiga akina Bosnia and Herzegovina,Kosovo na wenzao?.
Au hata kuweka no fly zone TU kwa Ukraine?
Au hata kudungua TU makombora ya Urusi kama walivyofanya juzi TU pale Iran iliporusha mamia ya drone na maroketi?
Marekani anasubiri Nini Sasa,au anataka Ukraine iporwe majimbo yote?

Kitu ambacho watu wengi walitarajia USA angefanya kwa Urusi ni kuingia kijeshi rasmi kama alivyofanya kwa akina Iraq,Yugoslavia na Afghanistan.
Bunge la USA liridhie na tuone majeshi yakielekea Ukraine .
 
Russia habari nyingine.
 
"In 2007, President Putin gave a very clear speech at the Munich Security Conference—very powerful, very correct, very frustrated—where he said:'Gentlemen, you told us in 1990 that NATO would never enlarge. That was the promise made to President Gorbachev and it was the promise made to President Yeltsin. You cheated, and you repeatedly cheated, and you don't even admit that you said this. But it's all plainly documented, by the way, in a thousand archival sites, so it's easy to verify all of this.'James Baker III, our Secretary of State, said that NATO would not move one inch eastward. It wasn't a flippant statement; it was a statement repeated and repeated and repeated.Hans-Dietrich Genscher, the Foreign Minister of Germany, said the same story. The Germans wanted reunification, and Gorbachev said, 'We'll support that, but we don't want that to come at our expense.''No, no, it won't come at your expense. NATO won't move one inch eastward, Mr. President,' was repeated so many times in many documents, many statements by the NATO Secretary General, by the US Secretary of State, by the German Chancellor.Now, of course, all denied by our foreign policy establishment because we're not supposed to remember anything.Remember, this was all 'unprovoked'.So, back to 2007—Putin gives this speech and says:'Stop. Don't even think about Ukraine. This is our 2,100-kilometer border. This is absolutely part of the integrated economy of this region. Don't even think about it.'Now, I know from insiders, from all the diplomatic work that I do, that European leaders were saying to the US, 'Don't think about Ukraine. Please, you know this is not a good idea. Just stop.'We know from our current CIA Director, Bill Burns, that he wrote a very eloquent, impassioned, articulate, clear, secret (as usual) memo, which we only got to see because Wikileaks showed the American people what maybe we would like to know once in a while but are never told—what our government's doing, how they're putting us at nuclear risk, and other things.This one did get out, and it's called 'Nyet Means Nyet' ('No Means No').What Bill Burns very perceptively, articulately conveys to Condoleezza Rice and back to the White House in 2008 is: 'Ukraine is really a red line. Don't do it. It's not just Putin; it's not just Putin's government. It's the entire political class of Russia.'And just to help all of us as we think about it, it is exactly as if Mexico said, 'We think it would be great to have a Chinese military base on the Rio Grande. We can't see why the US would have any problem with that.'Of course, we would go completely insane (and we should, of course).The whole idea is so absurdly dangerous and reckless that you can't even imagine grown-ups doing this.What happens is, from what I'm told by European leaders and through long, detailed discussions, Bush Jr. says to them, 'No, no, no, no, it's okay. Don't worry. I hear you about Ukraine.'Then he goes off for the Christmas holidays and comes back—whether it's Cheney, whether it's Bush, whatever it is—and says, 'Yeah, NATO's going to enlarge to Ukraine.'The Europeans are shocked, pissed—'What are you doing?'"

View: https://x.com/nxt888/status/1795749139965423885
 
Unajua Kuna Wenzetu Watanzania hua ni mapunguani Sana na ujuaji mwingi wa kujua Kila kitu Kila mtu Kila utawala Kila nchi... Ndo maana nimeona nimkumbushe tu Mdau Ili next time asiropoke kwa Kutumia maandishi...😂😂
Usimtukane mamba aliye ndani ya mto utakaovuka kabla hujavuka na ukitegemea kupita hapo kwa mara nyingine.

Haya mamba huyu hapa chini, jitafakari kisha jichagulie kundi la kukuweka.
===

No country can survive conflict with Russia alone – Zelensky​


Ukraine’s leader urges the world to unite against Moscow
Ukraine’s Vladimir Zelensky has urged the global community to work together against Russia, stressing that no nation can single-handedly survive a war with Moscow.
In an interview with Central Asian media outlets on Saturday, Zelensky said the goal should be to ensure that President Vladimir Putin “thinks about his survival and his security,” and that “the Russians think about how they can avoid losing the independence of their country – without threatening them – simply by showing how united the world is, how strong it is.”
Such unity is needed because “no one can survive a full-scale war with the Russians on its own,” the Ukrainian leader stated, as quoted by the Kazakh online magazine Vlast.
"We were alone, we were on our own” when Russia launched its military operation against Ukraine in February 2022, Zelensky claimed. “But then we agreed with our partners on some sort of sanctions, some sort of weapons and other things,” he said, referring to the support provided by the West since the start of the conflict.
===
 
Urusi tokea enzi vita zake huanza vibaya na kumaliza akiwa very strong!

hata wachambuzi wa magharibi wamekua wakilisema hili siku za karibuni, wakitahadharisha madhara ya escalation kwakua tayar Russia ashapeak, itakua vigumu kumrudisha nyuma kwa hapa alipofika!
 
Wazee wa kuhamisha magoli kila mkibanwa kwenye Kona Huwa hamkosi hoja😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…