LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Watu wameenda North Korea ku load Tena mzigo wa silaha za maangamizi.

Putin alisema, next terms of ceasefire hazitakuwa Tena kama hizi nazowapa Sasa hivi. Next terms zitakuwa zingine kabisa.

LGBTQ wakaona kama anatania. Sasa wanaanza kupiga kelele.
 
Watu wameenda North Korea ku load Tena mzigo wa silaha za maangamizi.

Putin alisema, next terms of ceasefire hazitakuwa Tena kama hizi nazowapa Sasa hivi. Next terms zitakuwa zingine kabisa.

LGBTQ wakaona kama anatania. Sasa wanaanza kupiga kelele.
Halafu hao wanajeshi wa zele anaowapeleka bila mafunzo wanakufa kama kuku Sasa pendekezo la amani litakuwa zaidi ya mikoa sita ikiwemo Odessa na kharkiv.
 
Chuma Nyingine inakuja.
Russian Sukhoi-75 with equipped with ‘RVV-MD2’ missile is guaranteed hit F-35 and F-16.

RVV-MD2 accommodated within the internal bays compartments of the SU-75.

Missile is made of new multi-element double-channel infrared seeker, apparently guaranteed hit ratio of 93%
 

NATO Warns: Brink of Nuclear WW3​


JUNE 18, 2024
NATO Warns: Brink of Nuclear WW3


NATO today warned the world is on the brink of a nuclear World War 3, and announced it is taking nuclear weapons out of storage in Europe to confront Russia in Ukraine.
NATO indicated it has put an undisclosed number of nuclear warheads on standby amid escalating tensions.
As Russian President Vladimir Putin undertakes a rare North Korean state visit this week - marking a likelihood of significant escalations in the Ukrainian war -- NATO Secretary General Jens Stoltenberg said bluntly "I won't go into details about how many nuclear warheads should be operational, but we need to consult on these issues. That's exactly what we're doing."
 
Since 1991, Russia could have developed in any way, but this is what it came to
 

Attachments

  • 1718809747580.jpg
    1718809747580.jpg
    104.6 KB · Views: 5
Watu wamesha open the Pandora Box

View attachment 3020645
Us aliwrza atleast kumtisha kidogo Korea kaskazini akiwa peke yake Ila kuungana na mrusi ndio Hana uwezo Tena wa kumpangia masharti.
Japan na Korea kusini nao wanajua kabisa marekani hataweza kumdhibiti mrusi, si muda mrefu nchi nyingine Kama Cuba zitajiunga na mrusi na hii itakuwa mwanzo wa kurudi vita baridi. hawatawrza tena
 
BRICS...😁😁😁😁😁😁😁😁
 

Attachments

  • 1718814401029.jpg
    1718814401029.jpg
    800.2 KB · Views: 4
Us aliwrza atleast kumtisha kidogo Korea kaskazini akiwa peke yake Ila kuungana na mrusi ndio Hana uwezo Tena wa kumpangia masharti.
Japan na Korea kusini nao wanajua kabisa marekani hataweza kumdhibiti mrusi, si muda mrefu nchi nyingine Kama Cuba zitajiunga na mrusi na hii itakuwa mwanzo wa kurudi vita baridi. hawatawrza tena
This is what watu wanasema "Karma is bitch 🥱"

South Korea na Japan walionywa kuhusu Ukraine ila wakashupazwa shingo na US master wao. Kwa sasa baada ya makubaliano hayo ni kwamba ili washughulike na North Korea inabidi wapambane na Russia pia.

Kibaya ni kwamba US boss wao popote alipo Russia hawezi kujihusisha moja kwa moja zaidi ya kupigana nyuma ya pazia kama anavyofanya Ukraine.

Waswahili huku tuna msemo wetu, Kwamba ukipuuza kuvuka mto ingali unaweza itakulazimu kuivuka bahari nyakati ambazo hutokua na uwezo wa kuvuka mto wenyewe seuze hiyo bahari.
 
Back
Top Bottom