LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
The Mexican government on Aug. 8 said it would not accommodate Kyiv's request to arrest Russian President Vladimir Putin if he arrives for the inauguration of Mexico's new head of state.

"We can't do that," Mexican President Andres Manuel Lopez Obrador told journalists, adding that "it's not up to us."
 
PUTIN BANS ENERGY DRINKS FOR MINORS

Putin signed a law prohibiting the sale of non-alcoholic energy drinks to minors, effective March 1, 2025.

Sellers must refuse sales if they doubt the buyer's age and no ID is presented.

This law aligns the sale of energy drinks with existing alcohol regulations.

Source: RIA
 
Wewe ndio unasema hivyo.
 
Kundi la Jeshi lililoshambulia eneo la Kursk halina njia ya kurejea Ukraini.
Urusi inazingira na kugawanya vikosi vya Kiukreni katika eneo la Kursk, ikikata njia ya usambazaji kutoka Ukraine, ikitenga kabisa kundi hili la jeshi
Ukraine wameshateka kituo kikubwa Cha kusambaza gas kuelekea ulaya.,hii Ina maana urusi hasambazi Tena gas kuelekea ulaya., unaambiwa Bei ya gas imepanda maradufu baada ya Ukraine kudhibiti kituo hiki! Yajayo yanafurahisha kwa kweli..,kwa Sasa mapigano makali yapo kwenye kituo Cha nyuklia!
 
Ni lini Urusi kaanza tena kuuza gas Ulaya?!
 
According to The Washington Post, Ukraine has reportedly requested permission from the United States to use ATACMS missiles for attacks on Russian airfields. The report cites an anonymous adviser to President Zelensky, who suggested that such a move could help Ukraine maintain control over areas in the Kursk region, providing leverage in negotiations with Russia.

Earlier, Deputy Pentagon Press Secretary Sabrina Singh reiterated that the United States does not support strikes deep into Russia using American weapons. However, she acknowledged that the events in the Kursk region are crucial for Ukraine's efforts to reclaim its sovereign territory and achieve battlefield success.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…