TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
....walilambishwa mchanga.
Mbona naona ni habari za Russia kutembeza kipigo tu hapo Kursk!?Military Situation In Russian Kursk Region And On Ukrainian Frontlines On September 3, 2024 (Maps Update)
Ukrainian forces reportedly captured Malaya Loknya, Nikolaevka, Staraya Sorochina, Novaya Sorochina, Orlovka, Mar'evka, Pogrebki; Clashes continued in Nechaev and Nizhnyaya Parovaya; Clashes continued near Olgovka and Matveyevka;southfront.press
Leo kipigo kimehamia Magharibi mwa UkraineKwa hali kama ile Ukraine pale Kurks anapona kweli!?
Najua wewe hua ni mbishi wa kukubali ukweli.Kwamba kuna misaada ya siri ambavyo mimi na wewe hatuijuwi?......
Kama hivyo ndivyo, Russia naye anapokea misaada ya siri ambavyo mimi na wewe hatuijuwi.
Mkuu njia uliyotumia kujuwa kilichotunwa Kiev kwa "SIRI" nimezitumia pia kujuwa kilichoenda Moscow kwa "SIRI"Najua wewe hua ni mbishi wa kukubali ukweli.
Iko hivi,kwa mujibu wa uliemjibu ni kwamba.
"Ukraine anapata misaada kutoka west inayowekwa hadharani na misaada mingine inatolewa kwa Siri."
Sasa wewe Kwa kupenda kwako ubishi unasema hata Urusi nae anapewa misaada kwa Siri.
Sawa.
Kwa hiyo bado hoja inabali pale pale kua, Ukraine inapewa misaada kwa uwazi na usiri.
Lakini hakuna ushahidi kwa Urusi kua anapewa misaada kwa uwazi,hadharani ama inayojulikana.
Sasa Mimi nakuambia hivi,
sijawahi kuona ama kusoma ama kuisikia popote pamefanyika mikutano ya ama wakuu wa kijeshi wa nchi nyingi kwa pamoja wakijadili kuisaidia Urusi kwa pamoja kama wanavyokaa wakuu wa kijeshi wa NATO na west wakijadili kuisaidia Ukraine Kwa silaha, fedha na maarifa.
Pia sijaona wala kusoma wala kusikia wakuu wa nchi,au mawaziri wa nje,au wa ulinzi wa nchi nyingi kwa pamoja wakijadilia kuisaidia Urusi kama wanavyokaa wakuu wa nchi za NATO na west,G7,EU n.k kujadili kuisaidia Ukraine.kwa silaha,fedha na maarifa.
Sijawahi kusoma wala kusikia wala kuona nchi nyingi kwa pamoja zikihimizana kupeleka michango ya fedha ama silaha ama kuiwekea na kuiongezea vikwazo Ukraine kama wanavyofanya kwa Urusi.
Sijawahi kuona ama kusikia ama kusoma nchi zikiiwekea vikwazo ama kuitenga Ukraine kama inavyowekewa na kutengwa Urusi.
Kwa hiyo, hizo ndizo tofauti za misaada anayopewa Ukraine na kile ambacho wewe unasema kua Urusi nae anapewa misaada.
Najua utazungumzia drone za Iran,
Je hizi dron zilikua ni misaada ama Iran ilitaka kujaribu drone zake?
ama Iran ilifanya biashara na Urusi?
Mimi sijui,
je Kwa wakati Iran inatoa dron hizo Urusi ilikua Ina uhitaji wa dron hizo?
Au Urusi haikua na dron kabisa?
Je Urusi ilikua imezidiwq halafu droni za Iran zikaja kuongeza nguvu?
Ama Urusi ilikua inasonga mbele halafu droni za Iran zikaja kuongeza nguvu?
Je unaweza kulinganisha au kufananisha drone za Iran alizompa Urusi (kama misaada),dhidi na silaha,fedha, intelligence,ushauri,vikwazo kwa Urusi,masanaries,mafunzo na misaada mingine yote anazopewa Ukraine na NATO west toka vita ianze?
Naomba tuwe wakweli.
😂😂😂😂 Yani kila siku hii picha inabadilisha tu tarehe.hao walikuwa walinzi wa mpakani kipindi vikosi vya Ukraine vinaingia Kursk.The Ukrainian Armed Forces captured a large group of Russian katsapny in the Kurakhov direction. They speak more than 20 Russians.View attachment 3087013View attachment 3087013
Me nshasema tuanze upyaaaaNaona Russia ametengeneza Nuclear Command Center Crimea, according to their Doctrine, kushambulia nuclear command center, inaruhusu kufanya nuclear strike retaliation.
A very dangerous move, ngoja tuone
Production ya missile uko Russia ni mara tatu zaidi ya production ya missile kwa nchi zote za NATO na USA.Hizi missile assaults za Russia kuanzia Kharkov, Sumy, na western and eastern Ukraine kuanzia 1 September, inaonekana zilikuwa ziko very catastrophic kwa Ukraine pamoja na west, kuanzia vifaa, manpower na overall logistics
Ok narudi Tena.Mkuu njia uliyotumia kujuwa kilichotunwa Kiev kwa "SIRI" nimezitumia pia kujuwa kilichoenda Moscow kwa "SIRI"
............tujadiri hisia zetu..........
Microelectronics za silaha za Russia kwa zaidi ya asilimia 70 zinatoka China kwa kificho.Ok narudi Tena.
Mimi na wewe nadhani tunakubali kua NATO na west wanaipa Ukraine misaada.
Je unaweza kunitajia ni satellite ya nchi Gani ya NATO ndio inaipa taarifa Ukraine ipige melivita au maeneo muhimu ya Urusi ambayo kimsingi bila satellite Ukraine haiwezi kuziona.
Nina uhakika Ukraine Haina satellite ya kuweza kuona baadhi ya malengo muhimu kama meli za Urusi zilipojificha.
Hii ni moja ya Siri ambayo wengi tunaijua ingawa haijawekwa hadharani.
Kumbuka kua Ukraine Haina satellite ya kuweza kumonita meli au baadhi ya silaha za Urus,lakini inaweza kuzigundua na kuzipiga.
Anazionaje?
Hii ni moja ya vitu ambavyo hata usipoambiwa utaweza kuvijua.
Sasa niambie ni nchi Gani duniani inayotumia satellite zake kuisaidia Urusi kujua mienendo ya silaha za Ukraine ama maeneo muhimu ya kupiga.
Kwa hiyo Urusi na china hawaruhusiwi kufanya biashara?Microelectronics za silaha za Russia kwa zaidi ya asilimia 70 zinatoka China kwa kificho.
This is how the Kursk region is now. The Russians are unable to stop the Ukrainian advances and they take advantage of this to reach Russian weapons depots and military barracks and load the enemy's ammunition. I marked the progress of Ukrainians in the period from 28.08 to 04.09.2024Mzee Mzima upooo??
Tupe haaaabriiii
Za Kursk bila kusahau Kyiv