kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Na ndoto za kushinda Hana Tena! Amebaki kumpigia magoti Ukraine akimuomba wakae meza Moja wazungumze!hakuna vita isiyo na gharama
Uzalishaji wa silaha uko Russia ni mara tatu ya uzalishaji wa silaha za NATO na Marekani, uko Russia uzalishaji ni masaa 24 siku Saba za week, Kuna silaha zinasubiri vita ya NATO na Russia, Russia kaweka stock ya kutosha, zingine ndo anafanyia majaribio uko Ukraine.Urusi amebakiza nyuklia tu silaha karibu zote ameshatumia pale Ukraine
"Shtuka mwamba"warusi wa Jf wapo kwenye jaribio la kukuuwa,tayari wanakuchukulia kama Maiti inayotembea!.Anirehemu Tena!?🥱😭
Na ndoto za kushinda Hana Tena! Amebaki kumpigia magoti Ukraine akimuomba wakae meza Moja wazungumze!Hii vita Putin alibeti vibaya. Hata akishinda itakua imemgharimu sanaa!
Nimeshawawai.,wengi wao nimeshawakata vichwa ndio maana huoni Tena warusi wengi hapa kama ilivyokuwa siku za nyuma., wengi wao wameshakuwa marehemu.,natoa angalizo la mwisho kabisa kwa @ maoni huru .,nafuatilia mienendo yake kwa ukaribu sana.,aulizie kwa umakini wenzake waliishia wapi!"Shtuka mwamba"warusi wa Jf wapo kwenye jaribio la kukuuwa,tayari wanakuchukulia kama Maiti inayotembea!.
Ni kweli kamanda,Warusi wamepungua sana miezi hii ya karibuni na hata wachache waliobaki wamekuwa waoga mno!Nimeshawawai.,wengi wao nimeshawakata vichwa ndio maana huoni Tena warusi wengi hapa kama ilivyokuwa siku za nyuma., wengi wao wameshakuwa marehemu.,natoa angalizo la mwisho kabisa kwa @ maoni huru .,nafuatilia mienendo yake kwa ukaribu sana.,aulizie kwa umakini wenzake waliishia wapi!
Na ndoto za kushinda Hana Tena! Amebaki kumpigia magoti Ukraine akimuomba wakae meza Moja wazungumze! View attachment 3092444
Unarudia vya siku nyingiNa ndoto za kushinda Hana Tena! Amebaki kumpigia magoti Ukraine akimuomba wakae meza Moja wazungumze!View attachment 3092443View attachment 3092443
Nawakumbusha warusi wa hapa maana Wana shida ya usahaulifu!Kwanini un
Unarudia vya siku nyingi
Wakati Russia anataka kuchukuwa mpaka Kiev. Amewaacha askali wa NATO na Ukraine wajifiye uko kursk.Ukraine Sasa anakalia kimabavu ardhi ya urusi.,supapawa 🏃🏃🏃🏃🏃
NATO na Marekani walishaacha hizo vita zilizopitwa wakatiUzalishaji wa silaha uko Russia ni mara tatu ya uzalishaji wa silaha za NATO na Marekani, uko Russia uzalishaji ni masaa 24 siku Saba za week, Kuna silaha zinasubiri vita ya NATO na Russia, Russia kaweka stock ya kutosha, zingine ndo anafanyia majaribio uko Ukraine.
Putin katuangusha sana, Mimi mwnyew nilikuwa mfuasi wake mwanzoni mwa vita, ila naona kabisa NATO wapo mlangoni nayeye yupoyupo tu, sijui kakumbwa na nini huyu lofa, yani kazubaa sana mpaka watu wanaingia Kursk anashindwa kuwaangamiza
Aliyeumia sana kwa vikwazo ni nani kama unajua habari za uchumi wa dunia. Vikwazo kwa Russia havijaleta athari sana kama ambavyo mataifa ya Ulaya na Marekani wanavyoumia. Uchumi umedolola sana uko Ulaya,viwanda vingi vimekufa uko ujerumani, UK, France, Italy, USA etc. Russia anapeta tu uchumi wake umekuwa sana.NATO na Marekani walishaacha hizo vita zilizopitwa wakati
Wewe unda hizo siraha utakavyo, wenzako ukiwafanyia choko wanakushenyenta kwa vikwazo tu!
Sasa hivi Russia inampa taabu sana hii vita kwa sababu pia vikwazo vimeanza kumwingia na kuzibana mbavu
ThibitishaAliyeumia sana kwa vikwazo ni nani kama unajua habari za uchumi wa dunia. Vikwazo kwa Russia havijaleta athari sana kama ambavyo mataifa ya Ulaya na Marekani wanavyoumia. Uchumi umedolola sana uko Ulaya,viwanda vingi vimekufa uko ujerumani, UK, France, Italy, USA etc. Russia anapeta tu uchumi wake umekuwa sana.
Putin Hana namna ndio maana anaomba mambo yaishe kwa SasaPutin katuangusha sana, Mimi mwnyew nilikuwa mfuasi wake mwanzoni mwa vita, ila naona kabisa NATO wapo mlangoni nayeye yupoyupo tu, sijui kakumbwa na nini huyu lofa, yani kazubaa sana mpaka watu wanaingia Kursk anashindwa kuwaangamiza