LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mzee usichukue akili za kiafrica na mzungu wenzetu kabla ya vita tayari kasha calculate kila kitu na madhara yake usifikir mrussi hajui hilo amejipanga wakati mnalalamika na covid uliskia mrussi analalamika?? Mwenzenu alikua busy na mambo yake na covid ni propaganda za kiuchumi.

Mrussi hii sio vita kwake na haichukulii vita angekua siriaz na hii vita ingekua iliisha ndani ya saa1 ile ukraine ingekua vifusi sahv. Mmarekani anafanya kila mbinu kumtoa mrusi kwenye reli lakin kashindwa na hatoweza yule jamaa sahv ni tishio na hakuna anaemwogopa aseee. Yule putin mwone vilevile yule ndo anarudisha heshima ya russia tumeshachoka propaganda za mmarekani aseee.
Vita ya kuisha saa moja ina manufaa gani..Vita si kuharibu Nchi na watu halafu utatawala JANGWA LENYE MIONZI YA NYUKLIAI!! wengi wanadhani wataona makombora ya nyuklia yakitua Ukrain!!
Urusi inahitaji Ukrain yenye watu na miundo mbinu na kumweka mtu atakaewasikia aachane na NATO na Ulaya. ndio sababu ya vita.
 
Mkuu dinia ya sasa sio ya Maguvu Bali ni akili. Huu no mtego kwa Mrusi na (japo Ukraine anaumia zaidi) Mataifa ya Magharibi na Marekani ni wajanja sana.
Hapa Putin anajengewa chuki duniani kuwa yeye ni katili, Ukraine atasaidiwa kimikakati na KUPEWA silaha ili amdhoofishe Russia, Economics sanctions zitawekwa za kila namna na mwisho kabisa option ya kumchapa kijeshi itaangaliwa.

Kwa sasa kuna watu wanaona kama Mmarekani kaufyata na sasa Russia ndio kidume, ila jiulize Mmarekani anapoteza nini ata akiamua Kukaa kimya?

Kuna watu wanashindwa kujiuliza hili swali. Nato haijawai kumeguka wa kutetereka kiuchumi sasa Je? Nguvu yao ipo wapi kipindi hiki?
Jibu: Yote yanayoendelea ni kwa sasa ni mipango yao (calculated) ndio maana huoni panic yeyote wa hofu kwao.

Stay tune na utajua kuwa Super power wa Dunia sio kumiliki michuma michuma .

Hahahah mzee urussi akifungq gas na mafuta yake unategemea nini? Nchi zote za ulaya zinategemea nishati kutoka kwake.

Kiufupi mmarekani anamwogopa mrussi ingekua nchi nyingine ameshatuma majeshi yake muda sana. Mzee usiichukulia russia poa narudia usiichukulia russia poa.

Russia nyuma ana china, korea, india, iran, iraq nk ikitokea wame team up bro usidhani kuna nchi ya kuwashinda hao jamaa na mmarekani anajua hilo na mmarekani anamwogopa sana mchina kama hujui aseee. Mmarekani ataonea wachovu tu kwa sasa hana jipya na nguvu yake ipo NATO kama hufaham hilo.

Ataishia kupiga kelele sijui vikwazo ila hakuna chochote atafanya[emoji28][emoji28]
 
Kwa hiyo huyo russia keshakuza uchumi wake kiasi ambacho ilichobakia ni ugunduzi wa silaa tu 😱 za kujilinda? tu hana tena haja ya kuendelea kukuza uchumi kwa kuwa huko alishamaliza 🤣😂😆 halafu wewe ndo unajiona umeenda shule mwenyewe tena unajiita Econometrician
Sasa wewe unataka akuze uchumi wa nini,unataka afikie uchumi wa kiasi gani ndio aanze kujilinda??? Au unadhani yeye alipoenda kupigana hajui kuwa ataporomosha uchumi wake.kila kitu tayari ni calculated bother.
 
Ukrainian soldiers repelled a Russian attack in the capital, the military said early Saturday, hours after President Volodymyr Zelensky warned that Moscow would attempt to take Kyiv before dawn.
Wa Russia wamepata kisago heavy

Screenshot_20220226-075138.png


Screenshot_20220226-073524.png


20220226_073223.jpg


20220226_073417.jpg


20220226_073422.jpg


20220226_073411.jpg
 
Hivi Ukraine si ni nchi huru?
Sasa mbona kama Russia anawapangia wenzie? Kwani ye hofu yake nini km NATO wakiweka hizo silaha huko Ukraine? Ye si anasifiwa ana nguvu za kivita,na jeshi nk!

Basi km ni hivyo anawaogopa NATO
Kwa akili zako tu za kuzaliwa unadhani USA yuko tayari kuwekewa silaha nzito nzito na jeshi la kivita la URUSI kwenye nchi jirani kabisa na USA kama Canada na Mexico?

Ndivyo jinsi ilivyo kidunia kwa Urusi pia yuko sahihi kukataa na kujihami ni mojawapo ya kanuni bora sana za kiuongozi kwa nchi yoyote ile duniani.

Mfano USA kutengeneza silaha nzito za maangamizi kama hizo epersonics bombs ilihali anakataza mataifa mengine kutotengeneza hizo silaha, unadhani kwanini anakataza hayo mataifa mengine?

Jiulize na ujijibu mwenyewe.
 
Hahahah mzee urussi akifungq gas na mafuta yake unategemea nini? Nchi zote za ulaya zinategemea nishati kutoka kwake.

Kiufupi mmarekani anamwogopa mrussi ingekua nchi nyingine ameshatuma majeshi yake muda sana. Mzee usiichukulia russia poa narudia usiichukulia russia poa.

Russia nyuma ana china, korea, india, iran, iraq nk ikitokea wame team up bro usidhani kuna nchi ya kuwashinda hao jamaa na mmarekani anajua hilo na mmarekani anamwogopa sana mchina kama hujui aseee. Mmarekani ataonea wachovu tu kwa sasa hana jipya na nguvu yake ipo NATO kama hufaham hilo.

Ataishia kupiga kelele sijui vikwazo ila hakuna chochote atafanya[emoji28][emoji28]
India wa wapi wa kumsapoti Russia? Ikiwa kibaraka wake tuu wamekataa 😄😄

Screenshot_20220226-075334.png


Screenshot_20220226-074306.png
 
Mrussi kajipanga na hakuna anaemtisha unafikiri hajui hivyo??? Zama za marekani soon zinapotea coz hata kiuchumi marekani kashaachwa na china muda sana sema data hazitoki sahihi.

Ukija kiuchumi russia anamilikia 75% ya mafuta na gas kwa Europe na nchi ya 2 kwa uzalishaji mafuta duniani akizuia na yeye unategemea nini?? Bei ya mafuta tayari imeshapanda. Lazima warudi mezani na mrussi ametengeneza uchumi wa kujitegemea hakuna wa kumtisha kwa sasa anajua nini anafanya sisi tusubir mwisho
Watu wengi hawaijui Urusi,wangejua kwamba Urusi ndio Nchi ya kwanza duniani kuwa na deposit ya resources nyingi kuliko Nchi yoyote ile chini ya jua-sidhani kama wangeongea haya.
 
Kuna watu humu wanamchukulia russia poa hawajui russia ana missiles ambazo ametumia technology mpya kabisa na hata haringi. Usione putin ana dharau anajua nini kipo behind [emoji28][emoji28]
Kwa vita hii ya Ukraine ameonesha ni dhaifu kupita kiasi,,suffurings alizopata ni kubwa na calcution zake hazijaenda kama alivyotarajia.

Binafsi nimemdharau maana amekula hasara kubwa Sana tofauti na nilivyotarajia mpaka anaomba msaada wa Nchi vibaraka..

Ukweli ni kwamba Ukraine angekuwa na silaha kama ilivyo Iran , Russia asingetia pua,amefaidika na timing tuu.
 
Ninamkumbuka rais George W Bush enzi za utawala wake alipenda vita sana.

Ikafikia nikiona amevaa tai nyekundu najua anaenda kuliamsha mahali.

Dunia siyo salama muda wote.
20220226_083037.jpg
 
Watu wengi hawaijui Urusi,wangejua kwamba Urusi ndio Nchi ya kwanza duniani kuwa na deposit ya resources nyingi kuliko Nchi yoyote ile chini ya jua-sidhani kama wangeongea haya.
Kama ni resources hata Afrika zimejaa ,je zimewasaidiaje? Hawana technology wala watu wa ku exhaust hizo rasilimali ziwe na tija kwenye uchumi.

Ili kuwakomoa zaidi Russia,the west is pushing towards green technology afu tuone hizo rasilimali zitakavyowasaidia.

Ujinga ni mzigo,hii ni sawa na watu wa Tzn ,the same ujamaa mentality eti haina haja ya kutumia rasilimali saizi,kizazi kijacho kitatumia 😬😬😬
 
Mkuu mbona unaniangusha ?

Kwa uwelewa wako kwenye masuala ya kijeshi na kimataifa sikutegemea kama ungekuwa una toa hoja dhaifu namna hii.

Hivi mkuu linchi likubwa kama Ukraine kutekwa ndani ya siku mbili ww unaiona nika kazi ndogo?

Marekani na washirika wake walitumia miezi kuingusha Iraq lakini Urusi ni ndani ya masaa 48 wamesha ufikia mji mkuu wa Ukraine, bado tu mkuu hujaona nguvu ya Urusi.
Alafu kingine nilicho gundua kwenye vita hivi Urusi hautumii nguvu kubwa kivile hata makombora anayo tumia ni ya kiwango cha kati na ndio maana hata vifo vya raia sio vingi
Urusi ngekuwa inatumia nguvu zake kisawasawa sasa hivi tungekuwa tunaongelea vifo vya maelfu kwa maelfu ya watu.
Jeshi la Urusi jana limefika Kyiv na kubakiza only 10 km kutoka pembeni mwa mji mpaka katikati ya mji ila mpaka sasa leo tunaamka hakuna mji wowote umetekwa. Unajitetea nini eti Ukraine ni nchi kubwa, imevamiwa kutoka Kaskazini, Mashariki na Kusini na bado haijapangushwa. Russian military capabilities are so exaggerated nilisema juzi na naendelea kusisitiza. Huu uchokozi wakileta kwa Poland au Finland hamtoamini kitakachotokea
 
Hao ndo india? Nimekwambia incase ikitokea NATO kaingia vitani hao jamaa juu lazma waje wampe sapoti mchizi wao. Afu russia hajaomba sapoti kokote hio ukraine mrussi aombe support serious?
Nimekwambia vibaraka per say wamekataa ndio ije kuwa India mwenye strong ties na West?
 
Watu wengi hawaijui Urusi,wangejua kwamba Urusi ndio Nchi ya kwanza duniani kuwa na deposit ya resources nyingi kuliko Nchi yoyote ile chini ya jua-sidhani kama wangeongea haya.
Hata Congo wana deposit ya resources nyingi kuliko Nchi yeyote kwenye bara la Africa...Tuiogope Congo??
Urusi ina jambo moja tu Duniani la kuifanya itambe:
Ina vichwa vya nyuklia zaidi ya 6200. Hilo tu basi.
 
Urusi ndio Nchi pekee duniani yenye deposit ya Natural resources kuliko Nchi yoyote ile Duniani-vikwazo vya kiuchumi sio issue kwa Urusi.
Hitler hakuwa tahira kusema the only way uitawale hii Duniani vizuri,kwanza inabidi uitawale Urusi.
 
Back
Top Bottom