myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Vita ya kuisha saa moja ina manufaa gani..Vita si kuharibu Nchi na watu halafu utatawala JANGWA LENYE MIONZI YA NYUKLIAI!! wengi wanadhani wataona makombora ya nyuklia yakitua Ukrain!!Mzee usichukue akili za kiafrica na mzungu wenzetu kabla ya vita tayari kasha calculate kila kitu na madhara yake usifikir mrussi hajui hilo amejipanga wakati mnalalamika na covid uliskia mrussi analalamika?? Mwenzenu alikua busy na mambo yake na covid ni propaganda za kiuchumi.
Mrussi hii sio vita kwake na haichukulii vita angekua siriaz na hii vita ingekua iliisha ndani ya saa1 ile ukraine ingekua vifusi sahv. Mmarekani anafanya kila mbinu kumtoa mrusi kwenye reli lakin kashindwa na hatoweza yule jamaa sahv ni tishio na hakuna anaemwogopa aseee. Yule putin mwone vilevile yule ndo anarudisha heshima ya russia tumeshachoka propaganda za mmarekani aseee.
Urusi inahitaji Ukrain yenye watu na miundo mbinu na kumweka mtu atakaewasikia aachane na NATO na Ulaya. ndio sababu ya vita.