LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mrussi kajipanga na hakuna anaemtisha unafikiri hajui hivyo??? Zama za marekani soon zinapotea coz hata kiuchumi marekani kashaachwa na china muda sana sema data hazitoki sahihi.

Ukija kiuchumi russia anamilikia 75% ya mafuta na gas kwa Europe na nchi ya 2 kwa uzalishaji mafuta duniani akizuia na yeye unategemea nini?? Bei ya mafuta tayari imeshapanda. Lazima warudi mezani na mrussi ametengeneza uchumi wa kujitegemea hakuna wa kumtisha kwa sasa anajua nini anafanya sisi tusubir mwisho
Endelea kuamini hivyo.....na endelea kusubiri
Katika hili Putin kajinyea..time will tell.


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Hii ndiyo maana Putin amezionya Finland na Sweden nao wakijifanya kutaka kujiunga na NATO watapigwa vibaya.

Hawezi kuzivamia Finland na Sweden kwasababu hizi ni EU.

Ukraine anashindwa kusaidiwa kwasababu sio NATO na wala sio EU.

#YNWA
 
Mrussi kajipanga na hakuna anaemtisha unafikiri hajui hivyo??? Zama za marekani soon zinapotea coz hata kiuchumi marekani kashaachwa na china muda sana sema data hazitoki sahihi.

Ukija kiuchumi russia anamilikia 75% ya mafuta na gas kwa Europe na nchi ya 2 kwa uzalishaji mafuta duniani akizuia na yeye unategemea nini?? Bei ya mafuta tayari imeshapanda. Lazima warudi mezani na mrussi ametengeneza uchumi wa kujitegemea hakuna wa kumtisha kwa sasa anajua nini anafanya sisi tusubir mwisho
Una chekesha, time will tell
 
Ngoja tusubiri tuone itakuwaje. Kumbe nguvu ya Urusi si kama tulivyoaminishwa

Mrussi kajipanga na hakuna anaemtisha unafikiri hajui hivyo??? Zama za marekani soon zinapotea coz hata kiuchumi marekani kashaachwa na china muda sana sema data hazitoki sahihi.

Ukija kiuchumi russia anamilikia 75% ya mafuta na gas kwa Europe na nchi ya 2 kwa uzalishaji mafuta duniani akizuia na yeye unategemea nini?? Bei ya mafuta tayari imeshapanda. Lazima warudi mezani na mrussi ametengeneza uchumi wa kujitegemea hakuna wa kumtisha kwa sasa anajua nini anafanya sisi tusubir mwisho
Mrusi hajajipanga kiuchumi.. Huwezi kupeleka nchi vitani kukiwa na mdororo wa uchumi kidunia kufuatia janga la covid19.
Pia hii sio kama ile ya 2014 ya Crimea Peninsula. Ukrain ni Nchi kubwa ambayo kuiwekea kibaraka pale ni ngumu. Ukrain wenyewe kwa sasa wanautaka umoja wa Ulaya na sio Urusi..
 
Ukrainian soldiers repelled a Russian attack in the capital, the military said early Saturday, hours after President Volodymyr Zelensky warned that Moscow would attempt to take Kyiv before dawn.
 
Nilikuwa nikiperuzi na freebasic hivyo sikuona chochote , ngoja niiicheki.
Adriz,
Hiki kitabu "Khrushchev Remembers,' ninacho toka 1970s na hiyo si cover yake kimefanywa binding kukihifadhi.

Humo ndimo Khrushchev anamueleza Tito alivyoweza kuwafurahisha wananchi wake kwa kupunguza "restrictions," za Ukomunisti.

Hii ikaifanya Yugoslavia iwe tofauti sana na nchi nyingine za Ulaya ya Mashariki.

Ndiyo hayo ya Mick Jagger na Rolling Stones na mavazi kama jeans niliyogusia katika video.

Mtu akitaka kujua shida iliyowafika Warusi WWII asome kitabu hiki "The Rise and Fall of The Third Reich," vipi Red Army ilivyopambana na Manazi wa Ujerumani.

Kama si "General Winter," Wajerumani walikuwa wanaiteka Urusi sijui dunia ingekuwaje hii leo.

Anahitaji mtu kuwa na "background," hii kuweza kuelewa mgogoro huu na kwa nini baadhi ya nchi zilizokuwa katika Soviet Union ziligeuka kuangalia Magharibi.
View attachment 2131472View attachment 2131476
 
Mkataba wa Minsk uliosainiwa sijui miaka mingapi iliweka wazi kwamba NATO haitaendelea kujitanua kuelekea upande wa Urusi hivyo kitendo cha NATO kutaka kupokea Ukraine ni kuvunja mkataba huo.
Minsk Agreement I and II of Belarus hauwezi kutekelezeka kwasababu Russia anasema yeye ni mwangalizi wa amani na sio gaidi...!!!!

#YNWA
 
Sema nini, Mimi namlaumu Jakaya Mrisho Kikwete, mkwere huyu. Yaani kweli kabisa, hana Na ya simu ya Rais wa Ukraine na alishindwa kumwambia kweli "akiri za kuambiwa changanya na zako bwana mdogo"
 
Achana na huyo nanga! Wanaiona Ukraine ndiyo binadamu halisi kuliko watoto walioko Goma, kivu, Darfur, Tigray, mozambique, Nigeria, n.k?

Gaddafi alipopigwa kwenye ardhi ya Africa walilaani kama wafanyavyo sasa?
Gadafi alishachokwa kama umesoma vizuri history of North Africa hasa mambo ya 2011 Arabs spring utakuwa umeelewa
 
Haya mnaoanfalia aljazeera na vyombo vingine mtujuze kilichojiri mpk sasa
 
Jeshi kubwa la Urusi litateka mji mkuu na pengine kumuua Raisi halali wa Ukrain au kumteka. Lakini utakuwa ndio mwanzo wa vita vya hapa na pale ambavyo urusi hataviweza...Putin anadhani ataungwa mkono na wananchi wa Ukrain, lakini amekosea sana kipindi hiki ambacho Ukrain imegeukia Magharibi kifikra...
 
Mrusi hajajipanga kiuchumi.. Huwezi kupeleka nchi vitani kukiwa na mdororo wa uchumi kidunia kufuatia janga la covid19.
Pia hii sio kama ile ya 2014 ya Crimea Peninsula. Ukrain ni Nchi kubwa ambayo kuiwekea kibaraka pale ni ngumu. Ukrain wenyewe kwa sasa wanautaka umoja wa Ulaya na sio Urusi..

Mzee usichukue akili za kiafrica na mzungu wenzetu kabla ya vita tayari kasha calculate kila kitu na madhara yake usifikir mrussi hajui hilo amejipanga wakati mnalalamika na covid uliskia mrussi analalamika?? Mwenzenu alikua busy na mambo yake na covid ni propaganda za kiuchumi.

Mrussi hii sio vita kwake na haichukulii vita angekua siriaz na hii vita ingekua iliisha ndani ya saa1 ile ukraine ingekua vifusi sahv. Mmarekani anafanya kila mbinu kumtoa mrusi kwenye reli lakin kashindwa na hatoweza yule jamaa sahv ni tishio na hakuna anaemwogopa aseee. Yule putin mwone vilevile yule ndo anarudisha heshima ya russia tumeshachoka propaganda za mmarekani aseee.
 
Mrussi kajipanga na hakuna anaemtisha unafikiri hajui hivyo??? Zama za marekani soon zinapotea coz hata kiuchumi marekani kashaachwa na china muda sana sema data hazitoki sahihi.

Ukija kiuchumi russia anamilikia 75% ya mafuta na gas kwa Europe na nchi ya 2 kwa uzalishaji mafuta duniani akizuia na yeye unategemea nini?? Bei ya mafuta tayari imeshapanda. Lazima warudi mezani na mrussi ametengeneza uchumi wa kujitegemea hakuna wa kumtisha kwa sasa anajua nini anafanya sisi tusubir mwisho
Mkuu dinia ya sasa sio ya Maguvu Bali ni akili. Huu no mtego kwa Mrusi na (japo Ukraine anaumia zaidi) Mataifa ya Magharibi na Marekani ni wajanja sana.
Hapa Putin anajengewa chuki duniani kuwa yeye ni katili, Ukraine atasaidiwa kimikakati na KUPEWA silaha ili amdhoofishe Russia, Economics sanctions zitawekwa za kila namna na mwisho kabisa option ya kumchapa kijeshi itaangaliwa.

Kwa sasa kuna watu wanaona kama Mmarekani kaufyata na sasa Russia ndio kidume, ila jiulize Mmarekani anapoteza nini ata akiamua Kukaa kimya?

Kuna watu wanashindwa kujiuliza hili swali. Nato haijawai kumeguka wa kutetereka kiuchumi sasa Je? Nguvu yao ipo wapi kipindi hiki?
Jibu: Yote yanayoendelea ni kwa sasa ni mipango yao (calculated) ndio maana huoni panic yeyote wa hofu kwao.

Stay tune na utajua kuwa Super power wa Dunia sio kumiliki michuma michuma .
 
Chanzo ni Ukraine kukubali kujiunga na NATO lakini sio hilo tu kingine ni kukubali marekani na NATO kuingiza silaha zao ndani ya nchi ya Ukraine

Kama unavyojua Russia na Ukraine ni majirani na hawezi kukubali kuona silaha za maadui zake NATO na marekani zinakuja karibu
Huko ni kuhatarisha usalama wake
So anajilinda ndio maana anamwambia Ukraine ajiondoe NATO na asiruhusu silaha kuingia Ukraine.

Kingine ni watu wenye asili ya urusi wa majimbo ya Donetsk na luhanski waliopo ndani ya Ukraine wanaotaka kujitenga na Ukraine na kujiunga na Russia
Hivi Ukraine si ni nchi huru?
Sasa mbona kama Russia anawapangia wenzie? Kwani ye hofu yake nini km NATO wakiweka hizo silaha huko Ukraine? Ye si anasifiwa ana nguvu za kivita,na jeshi nk!

Basi km ni hivyo anawaogopa NATO
 
Back
Top Bottom