Weka na ushahidi mkuu, yani kuandika tu kama hivi nani ataamini kauli Yako? Uko wapi ushahidi wa wapoland kumtaka blinken aondoke Poland? Hata mimi naweza kuandika habari yoyote tu lakini kama hakuna source ni maana ake ni ngonjera tu
Mstari mwekundu wameshauchora zaman na hawajafanya kitu, kwani zile kauli zilizokuwa zinatoka ikiwa ukraine atasaidiwa au kushambulia urusi wahusika watafanyiwa tukio la baya hukulijua?Mkuu wala hujakosea wazo lako,kwa kifupi hatuko mbali sana na hicho unachokosema.
Imeshafahamika kua Nia ya west ni kutaka kumdhoofisha kijeshi Urusi ili iwe rahisi kumvamia kwa pamoja.
Urusi analijua hilo na Dunia inalijua hilo.
Urusi imechora mstari mwekundu wakivuka TU unachowaza ndicho kinaenda kutokea.
Wala haya sio mawazo Yako peke Yako hata baadhi ya wataalamu wa kijeshi wa west wasiopenda vita wameshaonya na wanaonya Kila siku juu ya ujinga huo ambao NATO wanataka kufanya ndio maana kunahofu ya ww3 na nyukilia war.
Urusi analijua mipango Yao ovu yote.
Hawezi kua Mjinga wakawa wanapiga sehemu muhimu kwake huku yeye amekaa TU.
Kuna kitu atafanya Dunia haitaamini.
Wengi hatuombei ifike huko lkn naona shetani Yuko bize.
Nikuambie kitu Urusi sio china.
Urusi itajibu kwa nguvu mno.
Waambie NATO wapeleke majeshi rasmi kama walivyopeleka Iraq baada ya Iraq kuivamia Kuwait,Mstari mwekundu wameshauchora zaman na hawajafanya kitu, kwani zile kauli zilizokuwa zinatoka ikiwa ukraine atasaidiwa au kushambulia urusi wahusika watafanyiwa tukio la baya hukulijua?
soma mkuuMzee hii copy na paste unataka tuisome yote kweli
Aisee wamebanwa nyuma askari wa Russia mbele mto.Kama mimi sijaelewa vibaya, Ukraine Yuko mbele, warusi wapo nyuma wanakuja na mto uko mbele ya Ukraine, nadhani Ukraine ndio inabidi wavuke mtu Ili waendelee na offensive
Always mwenye ugumu ni yule anatakiwa kuvuka mto
Kwahiyo kauli ya Urusi aliyoisema/anazosema hawo NATO wanaziogopa?Waambie NATO wapeleke majeshi rasmi kama walivyopeleka Iraq baada ya Iraq kuivamia Kuwait,
Ama walivyopeleka majeshi Yugoslavia kuwaokoa wakosovo.
Au walivyopeleka majeshi Afghanistan baada ya 9/11.
Au kama walivyopeleka ndege Libya kuwaua wanajeshi wa Ghadafi.
Hicho ndicho alimaanisha Mwamba.
Au wajaribu hata kudungua TU makombora ya Urusi kama walivyofanya kwa makombora ya Iran dhidi ya Israel.
Ni hayo TU Mkuu wangu.
Mbona hao NATO hawakutangaza kupeleka jeshi pale walipotishwa??Kwahiyo kauli ya Urusi aliyoisema/anazosema hawo NATO wanaziogopa?
Mbona ipo mikwala mingi tu Urusi anatoa na hafanyi lolote.
Kwani NATO alisema endapo urusi atasaidiwa atampiga aliyesaidia?Mbona hao NATO hawakutangaza kupeleka jeshi pale walipotishwa??
Wapeleke jeshi kama walivyopeleka Afghanistan kama wao wanaume haswa.
Mbona unageuza maneno mzee!?Kwani NATO alisema endapo urusi atasaidiwa atampiga aliyesaidia?
Kwa vile urusi amesema maranyingi kauli hizo afanye.
Kwa hiyo NATO bado hawajaingia uwanjani kupigana na urusi Kwa Sasa!Mbona unageuza maneno mzee!?
Ni wapi Urusi amesaidiwa?
Sisi tunataka NATO apeleke jeshi Ukraine.
Kama msaada wa silaha na fedha hilo ni jambo la kawaida.
Sisi tunataka tuone askari wa NATO wametua officially na magwanda pale Ukraine.
Putin kawapiga NATO na kitu kizito wamefyata mkia, chezea KGB Putin.Kwahiyo kauli ya Urusi aliyoisema/anazosema hawo NATO wanaziogopa?
Mbona ipo mikwala mingi tu Urusi anatoa na hafanyi lolote.