LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
The Biden administration is developing a plan to extend the authority to send $5.9 billion worth of U.S. weapons and equipment to Ukraine as the current funding is set to run out at the end of the month, Politico reports.
 
Russia hawezi kutumia nuclear dhidi ya Ukraine, hawezi.
Unajidanganya urussi inaweza kutumia nuclear duniani kuliko nchi yoyote tena siyo ukrain tu hata kuipiga usa 🇺🇸 pia jeshi la marekani halina uwezo hata kidogo wa kupigana na urussi kwenye vita kamili...ndiyo maana marekani amekuwa akitumia mbinu ya kuwa tengenezea maadui adui zake ili wapigane wao kwa wao ..china katengenezewa taiwani na japani .. ..urussi katengenezewa mataifa mengi sana ukrain poland nk N korea katengenezewa S korea
 
Screenshot_20240925-134128.jpg

Mwisho wa hii vita naona unakaribia.
 
Unajidanganya urussi inaweza kutumia nuclear duniani kuliko nchi yoyote tena siyo ukrain tu hata kuipiga usa 🇺🇸 pia jeshi la marekani halina uwezo hata kidogo wa kupigana na urussi kwenye vita kamili...ndiyo maana marekani amekuwa akitumia mbinu ya kuwa tengenezea maadui adui zake ili wapigane wao kwa wao ..china katengenezewa taiwani na japani .. ..urussi katengenezewa mataifa mengi sana ukrain poland nk N korea katengenezewa S korea
Nimesema hawezi kutumia dhidi ya Ukraine, hiyo Us umeisema wewe.
 
Kama unataka hata wewe uendelee kuishi omba sana hilo lisitokee..Likitokea Wakatumia Nuclear elewa wewe huko kwenye Kona ya Sinji utakua umeishaa
Hivi una taarifa ya kwamba Ukraine ndio nchi yenye kinu kikubwa zaidi cha nyuklia duniani? Je, unajua pamoja na mambo mengine Urusi inataka ikiweke chini yake hicho kinu? Je, unajua kwamba nchi za Magharibi zinamsaidia Ukraine ili hicho kinu wakidhibiti wao?
 
Another 1,250 Russian soldiers have finished their special mission in Ukraine and are returning in black bags.
1727276217953.jpg
 
Kuwa
Hivi una taarifa ya kwamba Ukraine ndio nchi yenye kinu kikubwa zaidi cha nyuklia duniani? Je, unajua pamoja na mambo mengine Urusi inataka ikiweke chini yake hicho kinu? Je, unajua kwamba nchi za Magharibi zinamsaidia Ukraine ili hicho kinu wakidhibiti wao?
Na kinu cha nyuklia sio lazima umiliki silaha za nyuklia. Baada ya soviet union kuvunjika mwanzoni mwa miaka ya 90, na ukraine kutangaza kama nchi yalifanyika makubaliano na ukraine ikakabidhi silaha zote za ntuklia zilizokuwa pale.
Cinu vyao vinatumika kuzalisha nishati tu. Hawana na hawatakuwa nazo milele.
 
Hivi una taarifa ya kwamba Ukraine ndio nchi yenye kinu kikubwa zaidi cha nyuklia duniani? Je, unajua pamoja na mambo mengine Urusi inataka ikiweke chini yake hicho kinu? Je, unajua kwamba nchi za Magharibi zinamsaidia Ukraine ili hicho kinu wakidhibiti wao?
Wakati mwingine unakosa logic; sasa kinu kilikwepo miaka mingi walishindwa nini hao Magharibi kuimiliki?
 
Hivi una taarifa ya kwamba Ukraine ndio nchi yenye kinu kikubwa zaidi cha nyuklia duniani? Je, unajua pamoja na mambo mengine Urusi inataka ikiweke chini yake hicho kinu? Je, unajua kwamba nchi za Magharibi zinamsaidia Ukraine ili hicho kinu wakidhibiti wao?
hicho kinu kipo chini ya Russia toka mwaka 2022. Pia hicho kinu kinahusika na nishati, hakijafikia kutengeneza silaha
 
Hivi una taarifa ya kwamba Ukraine ndio nchi yenye kinu kikubwa zaidi cha nyuklia duniani? Je, unajua pamoja na mambo mengine Urusi inataka ikiweke chini yake hicho kinu? Je, unajua kwamba nchi za Magharibi zinamsaidia Ukraine ili hicho kinu wakidhibiti wao?
We unadhani kilijengwa na kina nani kama sio Russia enzi za Soviet??
 
Back
Top Bottom