LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kibondo kinaendelea wataalam wa NATO kwisheneya
It is reported that 9 NATO Air Force staff officers who arrived from Rammstein via Chisinau to Ukraine were killed in a Storm Shadow and SCULP missile storage bunker in Starokostiantyniv

They carried out coordination and guidance with the help of NATO AWACS aircraft for missile launches from Ukrainian fighters.

Six of the nine were US citizens of Ukrainian descent and three were French.

Polish Air Force planes are evacuating three air ambulances from the border area with Ukraine today. Each plane is designed for five people, including resuscitation equipment and three doctors.

According to preliminary information, 7 British instructors and 6 technical specialists from the Netherlands were seriously injured.
Two Russian hypersonic missiles were missed by Ukrainian air defenses, resulting in the destruction of three fighters: two F-16s and one Su-24, plus at least 15 SS and Sculp missiles.
 
KAma



Kama kuna madhalimu basi ni NATO.Hao jamaa wanaongozwa na ibilisi.Ni mkono wa kuume wa Ibilisi kabisa.Uwepo wa wakomunist unasaidia sana kuchelewesha mipango yao miovu.Russia atapambana saanaaa,bt mwisho ataangushwa tu,iwe Kwa muda mfupi au mrefu.Atakapoangushwa Russia,ndipo dunia itaanza kuona rangi halisi ya NATO.Mark my word
Team nato na wasiolewa maana ya hii vita lengo kuu ni lipi hawawezi kukuelewa wangejua ucraine alishanza kupewa sila na nguvu ya kijeshi tangu 2017 kabla ya kutak kujiung na nato ndo utaelewa nani mchokozi hp
 
sijachukulia poa mkuu ,Russia ni taifa la pili kwa uwezo wa kijeshi akitanguliwa na US,shida unaposema anaweza kumpiga US ,sijui umetumia vigezo vipi.Hakuna ambacho Russia anacho ambacho US hana.Pia kiuchumi kaachwa mbali sana ufahamu kuwa uchumi ni muhimu ukiwa vitani.
Uchumi ndio unapigana au jeshi? Kwa hio sababu Kikwete ana fedha nyingi hawezi kupigwa na raia wa kawaida tu?
 
Mark my word. Putin na Russia LAZIMA waanguke. Mwaka 1945 baada ya WWI NATO iliweka malengo ya kuisambaratisha USSR and allies na wakafanikiwa miaka 45 baadae yaani mwaka 1990. Sasa hivi wameweka malengo ya "kuisambaratisha kabisa" Russia. Wakati wewe unaangalia leo, NATO imaangalia mbele zaidi. Hakuna Taifa dhalimu litabaki SALAMA katika dunia ya wastaarabu!?
Mataifa dhalimu ni USA ambayo inatumia jasho la walipa Kodi wao na kuwapa mataikon wachache wenye viwanda vya silaha.
 
Inategemea na mtazamo wako. Ukiwaona Putin na Kiduku na nchi zao ni wastaarabu sawa. Ukiwaona USA na wapambe wake wa Ulaya Magharibi ni wastaarabu nayo sawa. By the way, kwanini wahamiaji ni wengi zaidi Marekani na Ulaya Magharibi na sio Russia, Korea Kaskazini na China? Ukinijibu hapo ndio utajua maana ya ustaarabu ninaouzungumzia! Ahahahahaha!!!!
Kwaiyo kipimo Cha ustaarabu ni Kuwa na wahamiaji Haram wengi?
 


Ahahahahaha! Mtu asiejua maana ya ustaarabu ni ngumu kuwa na mijadala jadidi (sijui kama ni msamiati sahihi! Ahahahahaha). Hata Russia, Uchina na Korea Kaskazini mijadala hairuhusiwi! Ahahahahaha!!!
Kwa marekeni ustaarabu ni nyie mlawitiane harafu matajiri waendelee kutajirika Kwa kuwauzia vilainishi
 
Ila usisahau Kuna familia moja pale Uingereza inaongoza Toka enzi za ujima mpaka leo.

Na pia ndio Head of state kwa Canada na Australia.

Vipi aondolewe?
Ahahahahaha! Dogo unachanganya Ufalme na uongozi wa kuchagiliwa? Ahahahahaha!! Mbona hujazungumzia Uwaziri Mkuu ambao unapigiwa kura? Ahahahahaha! Tena kwa Uingereza inatwa Constitutional Monarchy. Sijui unaelewa maana yake?
 
Kwa marekeni ustaarabu ni nyie mlawitiane harafu matajiri waendelee kutajirika Kwa kuwauzia vilainishi
Kwako kipi bora, kulawitiana kwa Uwaziri na hiari au kulawitiana kwa Siri? Maana kuna ushahidi Russia, China, Afrika na nyumbani kwako watu wanalawitiana ila mnafanya Siri eti kuficha aibu! Uongo? Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom