Nickson francis
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 700
- 1,306
Aircraft carrier za marekani na UK zipo hapo miezi na miezi mbona wameshindwa kuzizamisha,cha kushangaza wanawagwaya migambo au na hao houth wamejificha nyuma ya raia hapo red sea maana mmeshindwa kutoboa kwa sungusungu wa yemen
Mpaka kufikia kuomba wanajeshi N Korea ujue hali ni tete, wanajeshi wake wengi wamelambishwa mchanga, mobilization hakuna anaetaka tena hapo bado NATO haijaingia mazimawambie nato russia kaishiwa na wanajeshi hakuna shida watie mguu
Urusi ingekuwa inashambulia kama Israel inavyofanya Gaza, sasa hivi Zelensky angekuwa ni mkimbizi wa kisiasa anaishi USA.Siokwamba kaishiwa wanajeshi tofauti kabisa na Urusi ya sasa inatia aibu mpaka basii, hata wale walikuwa wakimtegemea kama Belarus sikuhizi raisi wao habwatuki hovyo Tena maana kaona aliekuwa anamtegemea yupo chali
Afghanistan,Iraq,Libya alikuwa peke yake,Acha kujizima data.Uliona vita gani marekani inapigana hadi kuishiwa wanajeshi?
Lakini zinadundwa kila sikuSasa kama mnashindwa kuwapiga mashoga nyinyi si mtakuwa zaidi ya mashoga kabisa, red sea bado marekani yupo mbona au unasemea red sea ipi wakati meli zake zimezagaa kule
Mbona unasikitika xnaa kuliko warusi wenyewe.Siokwamba kaishiwa wanajeshi tofauti kabisa na Urusi ya sasa inatia aibu mpaka basii, hata wale walikuwa wakimtegemea kama Belarus sikuhizi raisi wao habwatuki hovyo Tena maana kaona aliekuwa anamtegemea yupo chali
Uliona vita gani marekani inapigana hadi kuishiwa wanajeshi?
Bado hatuoni mbadala, hiyo bricks migogoro kibao ndio ije kutunishiana misuli na G7? upo curious kweli
Ni Vietnam na alipigwa na wazee wa Mitego tu yeye akiwa full nondoVita gani wewe uliwahi kuiona MAREKANI ikipigana peke yake bila kusaidiwa na washirika wake??
Mji umeenda tena, inaonesha Russia wanataka kumaliza Donbass kabla ya Nov 6Bado haijathibitishwa na wamagharibi wenyewe lakini imevuja...........si unajua ukiwaona wamekaa kimya ujue.......
View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1849355727988457740
Kumekucha!Kumekucha!
Unataka jamaa waingize tako kwenye shimo la nungungungu ...hata kp kipanya44 kagomawambie nato russia kaishiwa na wanajeshi hakuna shida watie mguu