MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Uchumi wa Ujerumani umeyumba kutokana vita hii.Kila upande umepata hasara,lkn kumbuka Urusi kuyakamata majimbo hayo Yana faida kubwa mno kiuchumi na heshima.
Katika vita hii NATO na nchi za west zimepata hasara mno pia kwa maana ya watu na vifaa.
Ingawa imekua ni Siri lkn west pia wepoteza vifaa vingi na askari.
Ukraine ndio aliepata hasara kubwa zaid.
Kuna nchi za west Hadi zimeyumba kiuchumi sababu ya vita hii
Watu mtakataa lkn vita hii ni vita kati ya nchi za west dhidi ya Urusi.
Mtakataa pia lkn Urusi ameonesha uwezo mkubwa mno.
Nchi moja imewekewa vikwazo vya Kila aina na nchi anayopigana nayo imesaidiwa kwa Kila aina ya msaada inaoutaka lkn Urusi bado Iko kama hakuna vita.usiidharau nchi hiyo.
Kama yeye Taifa lenye nguvu za kiuchumi ameyumba?, vipi mataifa madogo na yenye Uchumi dhaifu kule Ulaya?
Democrats wameanguka kwenye uchaguzi wa Marekani kwa sababu ya Vita hii, Uchumi wa Marekani ulitingishika, fatilia
Hii ni vita waliyoingia kinyume nyume matokeo yake Mataifa ya magharibi yamedhalilika na kupungua influence yao duniani, huku Mrusi ikipaa kuanzia Ulaya, Amerika mpaka Afrika.
Tuendeleze mapigano Ili tujue mbivu na mbichi