kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Shukrani sana comred,nafurahi sana kwa Sasa tunaanza kuongea lugha Moja ππ€©ππ€©ππ€©ππ€©View attachment 3156926
View attachment 3156927
unamuoneaje huruma kiongozi wa nchi aliyetunga sheria ya kupiga marufuku mazungumzo nawe.
sometime huwa nasema ni bora PUTIN apigwe tu.
Hili tukio ilibidi waonyeshe mfano ingelisaidia huko mbeleni wanajeshi wa Ukraine wajue kupigana na Russia unakwenda machinjoni!bwana Hammaz unalikumbuka hili tukio, hapa ndipo nilianza kuziona huruma za ajabu alizonazo putin.
wahuni wakiongozwa na kadyrov pamoja na shoigu walitaka kuchoma moto panya wote waliomo ndani ya kiwanda lakini mzee akakataa mpango huo.
View attachment 3156926
View attachment 3156927
unamuoneaje huruma kiongozi wa nchi aliyetunga sheria ya kupiga marufuku mazungumzo nawe.
sometime huwa nasema ni bora PUTIN apigwe tu.
Putin amekuwa mtu wa matamko mengi!shambulio la kigaidi limepita kimya kimya, budanov na wajinga wenzake mpaka leo wanakula bata UKRAINE.
View attachment 3156932
usimchukulie serious sana huyo jamaa ni muongo muongo alishatoa ahadi hapa tumuite Aisha mitako.π
Hamka kutoka usingiziniππusimchukulie serious sana huyo jamaa ni muongo muongo alishatoa ahadi hapa tumuite Aisha mitako.π
Hapo ndipo hata Mimi nashangaa?Swali hili kwenu mnataka Russia afanye kama Israel na Marekani wafanyavyo ?
Hawatokuelewa ila ukweli ndio huo russia kuanguka ni LAZIMA na ni miaka michache kutokea sasa kwa wanaofuatilia kitu inaitwa eschatology wanaelewa. Russia itaanguka pamoja na Iran, Turkey, Libya, na nchi nyingi tu ambazo zipo upande wa russia.
Hahahahaha. DahUkweli wengi wetu tunaona Putin anatuangusha kwa sababu tulitarajia kuiona kiev ikiwa kama Allepo au gaza. Au kufanywa kama kile wanachofanywa lebanon na mazayuni kule kusini mwa beirut.
Putin kwa kitendo cha ukrain kushambulia kwa makombora ya masafa marefu ndani ya russia ilibidi majibu yake yawe makali na mara 100 zaidi. Kama walirusha makombora 6 kiev ipigwe kwa makombora 100+ hii itawafanya waogope kurudia huu usenge waliofanya.
Ila Putin anatuangusha sana
Putin kama hataonyesha msimamo wa maneno yake kwenye hili RUSSIA itapoteza ushawishi wake ulimwenguni,
Dunia ilitarajia Russia kubalance mzani wa ubabe.
Kauli zimekua nyingi kuliko vitendo.
Mkishakuwa kwenye vita hamna busara,,,
Hakunaga urafiki kwa adui
Dunia nzima inaifatilia hii vita
Kama kutakuwa kimya na maneno mengi Putin atathibitisha HE IS NOT A SOVIET MATERIAL
Ukraine alikuwa amefungwa mikono,Sasa kafunguliwa anatembeza kichapo balaaπ€©ππ€©ππ€©πBritish Storm Shadow missiles 12 zimerushwa kwenda Kursk jioni hii,Putin Yuko tu bize na mikwara.
Daah!Hili lilikuwa wazi mda mrefu
West ndio wali organize mauaji yale.
Juzi wametega bomu kwa mkuu wa kambi.
West wapo kwenye utayari wavita na russia kuliko Russia alivyotayari.
Ukiacha nuclear west wapo fit kwambinu na hila za kutosha
Hata nuclear Russia atakuwa na target nyingi kuliko west watakavyokuwa.
Ngoma sio50% 50%
Kama ilivyokuwa kwa Soviet .
Labda russia awe na kitu kipya cha siri.
Putin analijua ilo kuliko sisi
Labda sio busara.
Hizo silaha zimetumika hapo kabla wakumbuka daraja la Kerch lililipuliwa na bomu la Storm Shadow na hizo ATACMS zimetumika kupiga Crimea zikaharibu meli za kivita pale Sevastopol kiasi cha kuifanya Russia kuhamisha mali zote za kijeshi.Ukraine alikuwa amefungwa mikono,Sasa kafunguliwa anatembeza kichapo balaaπ€©ππ€©ππ€©π
Biden anafahamu kwamba Trump atabadili kila kitu na kwamba bidene pia amekosea kuruhusu mabomu hayo kutumika ndani ya Russia ni kosa kwa Biden na Republicans wameanza kuzungumzia "impeachment"Upo sahihi, Putin kumuelewa inahitaji Four-Dimension critical thinking. Hata hivyo, Trump simuamini Hata kidogo!!!
Tutarajie kuanzia Sasa kuona Moscow ikichakazwa kwa makombora ya USA π€©ππ€©ππ€©ππ€©π
Hizo silaha zimetumika hapo kabla wakumbuka daraja la Kerch lililipuliwa na bomu la Storm Shadow na hizo ATACMS zimetumika kupiga Crimea zikaharibu meli za kivita pale Sevastopol kiasi cha kuifanya Russia kuhamisha mali zote za kijeshi.
Hizo silaha ni ghali mno (ATCMS ni dola milioni 1.5 kwa kombora na Storm Shadow ni pauni milioni 2 kwa kila kombora soma hapa: Atacms: What we know about missile system Ukraine could use to strike Russia ) ndo maana waliziweka akiba na zikiisha hizo hakutakuwa na zingine.
Isitoshe Russia ataendelea kuzidungua na huku akiendelea na SMO kama kawaida maana wamesema matumizi ya silaha hizo hayatabadili mwelekeo wa vita yaani Russia kuchukua maeneo zaidi.
Huyo jamaa kajaa ushabiki wa kipuuzi sana, anawaza miji ya ulaya na marekani kuchakazwa, lakini ubongo wake hauwazi kuwa miji ya Urusi pia ipo uchi, yaani ni vichekesho vitupuTatizo ninaloliona humu JF wengi sisi ni wajuaji kuliko wanaohusika na hivyo vita vya Ukraine . Naona na wewe umeandika gazeti.. Yaani wewe unajua kuliko USA na Washirika wake. Yaani Marekani inafanya jambo fulani halafu mswahili wa Bunju unajidai unajua athari atakazozipata. Mswahili wa Tegeta kwa Ndevu anajua kuliko Pentagon na CIA.