LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mbona kama unawabembeleza members,au mmeanza ushoga😍🀩

Wewe Jamaa una uchungu sana 🀩😍
 
Mtu ana Fanya ziara duniani na hakuna hata wa kumgusa

Jf now days imekuwa na madogo wenye low iq Sana mtu anawezaje kutoa comment kama Hiyo ktk mjadala serious kama huu
 
Kwenye hii vita, NATO kwa ujumla imelenga kumpunguzia kumpunguzia Russia nguvu za kijeshi, ikiwezekana, kumark the afficial anguko la Russia Sovereign State. However, "kwa uelewa kwangu, * ninaona kinachotokea square kwenye ground is a nude reciprocal of the initial expectation. Yaaaani, ninaona no kama Russia inazidi kuimarika kijeshi kuliko mwanzo, ilhali NATO imeanza kudhoofika. Juu ya yote, Russia imepata new associates kama Korea na Iran ambao wamariimarisha jeshi Lao zaidi
 
Imagine 🀣
 
Kama Putin ana hizo nguvu mnazo claim hapa anashindwa nini kuimaliza Ukraine na kuiondoa kwenye uso wa dunia??
Hawa jamaa wanajipigia Ngoma na kucheza wenyewe,kanchi kadogo kama Ukraine kanamtoa urusi kamasi Miaka mitatu Sasa, alafu unakuta mtu anakomaa kutetea nchi dhaifu namna hii πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Nikakimbia mbio kusoma nikidhani Kuna kitu kipya, kumbe zilipendwa tu!
 
Kupiga ubalozi ni kutangaza vita na nchi husika
 
Tunasubiri red line zingine zitangazwe Moscow. Maana za hapo nyuma zote zimekuwa crossed
Na alisema majibu ya hizo red line kuvukwa itakuwa ni kushambuliwa nchi za NATO..,ajabu mpaka Sasa jamaa anasubiriwa arushe japo hata jiwe kwenye mpaka wowote wa NATO, lakini mpaka Sasa kimyaa πŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…