kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Jamaa hawaamini macho Yao🤩😍🤩Nilete ushahidi upi tena wakati vyombo vyote vimeripoti kuwa mifumo ghali kabisa ya ulinzi ya Russia- S 400 imepigwa kipigo cha Mbwa koko.
Najua taarifa hizi zinawaumiza sana KUMOYO
Russia is falling
Ukweli mchungu huu,jamaa anajaribu kujimwambafy lakini ameshavuliwa nguo🏃🏃🏃Huyu fala Putin vita ilishamshinda.
Hivi, mpaka sasa Ukraine na washirika wake wa NATO wamerudisha kiasi gani cha ardhi kilichochukuliwa na Russia.Ukweli mchungu huu,jamaa anajaribu kujimwambafy lakini ameshavuliwa nguo🏃🏃🏃
Kwa upande wangu namuona Putin kama mmoja wa viongozi wastaarabu sana duniani.Marekani ni watata sana, makombora yao yataichakaza urusi alafu jamaa wanatoka hadharani mbele ya camera na kuthibisha " makombora yetu yametumika kuichakaza urusi"
On the night of November 25th, the Armed Forces of Ukraine launched another attack with Western missiles in the Russian rear region. At night, Russian Khalino military airfield in the Kursk region was attacked by ATACMS cluster missiles.kujimwambafy
Joe anaondoka anataka aondoke Milele na wamarekani wenzake .....Mzee vile kuwa na roho mbaya Ile si uungwana.... jamaa wanatoka...
Ninajiuliza tangu Russia ayakamate maeneo mengi ya Ukraine anawezaje kuyathibiti maana ninavyojua inahitajika uwe na Askari wengi sana na vifaa (Manpower). Sasa jamaa kateka eneo kubwa sana la Ukraine na bado tunaambiwa anaendelea kusonga mbele kuchukuwa maeneo mengine zaidi.Hii ni jana!
Russian forces continue to make significant tactical advances in western Donetsk Oblast and are coming closer to enveloping Velyka Novosilka and advancing towards important Ukrainian ground lines of communication (GLOCs) supplying the rest of western Donetsk Oblast and running into eastern Dnipropetrovsk and Zaporizhia oblasts.
November 25, 2024, 6:45pm ET
Institute for the Study of War
This page collects ISW and CTP's updates on the conflict in Ukraine. In late February 2022, ISW began publishing daily synthetic products covering key events related to renewed Russian aggression against Ukraine.www.understandingwar.org
Mfano halisi ni hili shambulio linaloandaliwa, angalia hiyo idadi ya askari!bado tunaambiwa anaendelea kusonga mbele kuchukuwa maeneo mengine zaidi.
Maeneo mengi wanayochukua Urusi , wanaungwa mkono na wananchi wa eneo Hilo mfano Yale majimbo yaliyopiga kura za kujitenga. Utawala huwa Mara nyingi haubadiliki kwa hiyo ni rahisi kwao kuyatawa.Ninajiuliza tangu Russia ayakamate maeneo mengi ya Ukraine anawezaje kuyathibiti maana ninavyojua inahitajika uwe na Askari wengi sana na vifaa (Manpower). Sasa jamaa kateka eneo kubwa sana la Ukraine na bado tunaambiwa anaendelea kusonga mbele kuchukuwa maeneo mengine zaidi.
Ninaomba wataalamu wa haya mambo mnijuze.
Wale mnaoongozwa na mihemko ya kimapenzi na itikadi MSIJIBU Tafadhali
Ungekuwa umesomea masuala ya Vita ungejua....Ninajiuliza tangu Russia ayakamate maeneo mengi ya Ukraine anawezaje kuyathibiti maana ninavyojua inahitajika uwe na Askari wengi sana na vifaa (Manpower). Sasa jamaa kateka eneo kubwa sana la Ukraine na bado tunaambiwa anaendelea kusonga mbele kuchukuwa maeneo mengine zaidi.
Ninaomba wataalamu wa haya mambo mnijuze.
Wale mnaoongozwa na mihemko ya kimapenzi na itikadi MSIJIBU Tafadhali
Jeshi la Russia ni zaidi ya milioni 1 na mpaka sasa ni vikosi maalum pekee ndivyo vipo vitani.Ninajiuliza tangu Russia ayakamate maeneo mengi ya Ukraine anawezaje kuyathibiti maana ninavyojua inahitajika uwe na Askari wengi sana na vifaa (Manpower). Sasa jamaa kateka eneo kubwa sana la Ukraine na bado tunaambiwa anaendelea kusonga mbele kuchukuwa maeneo mengine zaidi.
Ninaomba wataalamu wa haya mambo mnijuze.
Wale mnaoongozwa na mihemko ya kimapenzi na itikadi MSIJIBU Tafadhali
Jamani msiende mbali Sisi na Ukraine hatuna undugu wowote ni ushabiki tu wa mtandaoniLaana anazo mamaako....
Hatimaye wamekiri wenyewe! Mziki mzito!Hii ni leo!
Russia advancing in Ukraine 'at fastest pace since early months of war'
Russian forces are advancing in Ukraine at the fastest rate since the early months of the war, according to a respected US-based thinktank. Battlefield reports indicate Moscow is edging closer to the key logistics town of Pokrovsk in Donetsk.
Tuesday 26 November 2024 08:17, UK
Ukraine war latest: Russia carries out 'mass drone attack' on major Ukrainian city; Zelenskyy plans Saudi trip
Volodymyr Zelenskyy is travelling to Saudi Arabia next week, with peace talks set to kick off there. He said his "team" will stay for talks with US officials. He confirmed the plan as he and European leaders met in Brussels - while Russia launched another drone attack on a Ukrainian city.news.sky.com
Acha uongo.Hakuna ATACAM wala STORM SHADOW nyingine yeyote iliyotumika tena baada ya ile ya majuzi.Athatri za ORISHNIK ni kubwa sana kuliko unavyofikiria,Achana na fake news sitarajii kama UKRAINE atatamani tea lile bomu litumwe kwake.SI umesikia Keith Starmer baada ya lile bomu kajiwahi kwamba wao hawako vitani na RUSSIA.Nilete ushahidi upi tena wakati vyombo vyote vimeripoti kuwa mifumo ghali kabisa ya ulinzi ya Russia- S 400 imepigwa kipigo cha Mbwa koko.
Najua taarifa hizi zinawaumiza sana KUMOYO
Russia is falling