LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Propaganda, propaganda, propaganda.
Humu jukwaani na nje ya jukwaa hili kumejaa propaganda nyingi sana Sasa hivi hususan kutoka kwa Pro UkraiNATO.
Sijui ni aina ya kujifariji ama kutokukubali Hali Hali ya uwanja wa mapambano au ni kuishiwa uwezo wa kupambana mambo.
Propaganda zao utawasikia wakisema hivi,
"Masikini Putin",
"Urusi imeshalegea",
"Urusi ilifanya kosa kivamia Ukraine",
"Urusi vita hii imekwama",
N.k.
Sasa kwa sisi ambao tunafatilia kwa kuangalia uhalisia "facts" tunabaki tunashangaa!
Hivi kama Hali ni mbaya namna hiyo kwa Urusi mbona Sasa hivi inasemekana Warusi ndio wanasonga mbele kwa Kasi ya upepo?
Zaidi tunasikia kua Ukraine wanapoteza maeneo kwa Kasi mno?
Najiuliza hivi kama Urusi Ina Hali ngumu,mbona hatusikii Urusi kunyang'anywa hata wilaya moja iliyokua imeishikiria?

Acheni Propaganda jamani Hali ya Ukraine ni mbaya kuliko mwaka 2022.

wataalamu wanasema bado kidogo TU jeshi la Ukraine lita collapse,
Wataalamu wanasema bado kidogo TU Donbas inaenda kuanguka yote kwenye mikono ya jeshi imara kabisa hapa duniani la Urusi.
Fatilieni vianzo vya habari huru,na Sasa hivi hata vyombo vya west vimeanza kusema haya na kusema ukweli.
Jamani eeeh hii ni SMO kwa upande wa Urusi lkn ni vita ya ku survive kwa upande wa Ukraine.
Ukraine imezidiwa,imekweisha Haina hata wanajeshi imeishiwa wanajeshi,imeandikisha watu wazima,wakaisha,ikaandikisha wavulana kuanzia miaka 18 wakaisha,Sasa inafikiria kuandikisha watoto kuanzia miaka 14.
Huu si uuaji huu?
Haya ninayoyasema ni Hali halisi.

Jamani eeeh Ukraine Kwa kusaidiwa na NATO inarusha makombora ndani ya Urusi mengi yanadunguliwa machache sana Tena sana yanapenya,hata hivyo Hali hii haioneshi udhaifu wa Urusi na kibaya zaidi hayabadilishi kabisa mafanikio ya vita anayoyapata Urusi huko uwanja wa vita,tofauti kabisa na makombora anayorusha Urusi ndani ya Ukraine,makombora ya Urusi yanaidhoofisha kabisa Ukraine Kwa kipindi hiki ambacho vita inaendelea,yanalipunguzia nguvu kwa kiwango kikubwa sana jeshi la Ukraine kuweza kujitetea.

Kuua kamanda au makamanda wa jeshi la Urusi Tena wasio katika uwanja wa mapambano haibadilishi mafanikio ya vita aliyoyapata Urusi.
Kwana kuua kwa njia za kigaidi ni dalili za kua ndani ya uwanja wa vita mmezidiwa.
Kulenga na kuua wakuu wa kijeshi au wa kisiasa Kila upande unaweza,kama mnakumbuka Putin aliwahi kusema msitulazimishe tukapiga kwenye Decision making Centers za Viongozi wa Ukraine,na kama mnakumbuka Kuna siku kulikua Kuna mkutano wa kuwapa nishani wanajeshi wa Ukraine,alikuwepo Zelensky na kiongozi mmoja wa nchi ya west nimemsahau,Urusi walipiga kombora umbali mdogo TU kutokea sehemu palipokua na sherehe hiyo,Hiyo ilikua ni onyo kwamba tukitaka kumuua zelensky hatushindwi.
Lkn pia kama mtakumbuka Waziri Mkuu Msataafu wa Israel bwana Bennett Naftali alipokua akiongea na Putin alimsihi na kumuomba Putin asimuue Zelensky,Putin akakubali ombi hilo, Naftali akamwambi nihakikishie hutamuua.
Pia nakumbuka kauli ya Putin aliwahi kusema tunajua anapolala Zelensky na anapoamkia,hatutaki kumuua lkn tukitaka tuanaweza kumuua,ila hatutamuua ili aje aweke sahihi makubaliano baada ya kushindwa vita.

Ndugu zangu wapo mnaoona Urusi inachukua mda mrefu kumaliza vita,ila nyie Pro Russia na hata Pro UkraiNATO nadhani mnajua Ukraine peke yake asingefika Leo hii,Bali kwa msaada ya NATO amefika lakini akiwa amechoka balaa.
Sasa hivi ninavyoandika hapa zile silaha zote alizokua nazo Ukraine kabla ya hii SMO Hana Tena,zote zimeteketezwa,
Wanamletea Kila siku masilaha na masilaha lkn yanateketezwa.

Jamani eeeh sote tunakubaliana hapa kua NATO ndio umoja pekee wa kijeshi hapa duniani wenye nguvu kubwa kuliko umoja wowote na kuliko nchi yoyote.
Ni Hali ya kweli kabisa ndani ya NATO Kuna nchi Inaitwa Marekani,nchi hii siku zote tunasema Ina bajeati kubwa ya ulinzi kuliko nchi yoyote hapa duniani,tunasema kua ndio nchi yenye jeshi kubwa,uchumi namba moja,ujasusi namba moja na tunasema Ina teknolojia kuliko nchi zote Dunia,hii nchi inaweza ikakuvalisha jina la kuwa wewe ni gaidi Na Ina uwezo wa kukuvua.
Tunakuabali kua Marekani ndio nchi tajiri namba moja duniani.kwa kifupi tunasema Marekani yeye peke yake ndio superpower.
Haya lkn ndani ya NATO Kuna nchi zenye teknolojia kubwa sana Kwa Kila kitu,kuanzia teknolojia za silaha,ujasusi na vitu vingine nchi mfano UK,German,France, Italy,Canada, Denmark, Norway,Spain,Poland, Belgium, Sweden, Finland etc.
Ndani ya NATO Kuna nchi tajiri zaidi duniani yaani G7.
Sasa ndugu zangu mnashangaa Nini kwa Urusi kuchukua muda wa miaka miwili kukabiliana na nchi inayopewa misaada ya "Hali na Mali" na nchi hizo nilizozitaja hapo juu?

Jamani eeeh naomba tuone kwa macho yetu ukuu,maajabu na uwezo wa Urusi.
Urusi peke yake inaweza kupigana dhidi ya nchi ya Ukraine inayopewa Kila aina ya msaada inaoutaka wa silaha ,ushauri, ujasusi,mafunzo,vikwazo, satellite,mbinu,askari na propaganda nk.
NATO walichofanikiwa ni kupunguza tu spidi ya Urusi kupata ushindi lakini wameshindwa kufanya Urusi ishindwe vita hii ambayo Kwa kuisaidia Ukraine Kwa Kila kitu lengo lao Urusi ishindwe.

Ndugu zangu,kwa kuangalia hasara nadhani hamutaki tena kuangalia UkraiNATO wamepata hasara kiasi Gani Bali mnnangalia Urusi TU, kimsingi UkraiNATO wamepata hasara kubwa mno.
Jamani eeeh Kila siku tumekua tunasikia Urusi imelipua treni iliyokua Ina shehena za silaha,Urusi imelipua meli iliyokua Ina shehena za silaha,Urusi imelipua makambi yaliyokua na shehena za silaha,Urusi imelipua majengo ya chini ya ardhi ya kuongoza vita ndani yake kulikua Kuna wakuu ama wa USA Poland,UK , Ukraine n.kama wakuu wengine wa NATO.
Ndugu zangu haya yote hayajafanyika siku moja yamekua yakifanyiaka toka vita ianze.
Baadhi ya Maafisa wakuu wa NATO na hasa USA waliuliwa huko na baada ya kuuliwa utasikia huko USA wakisema Afisa huyu alikufa kwa jali alikua akifanya mazoezi ya kupanda milima,ama ajali ya helkopta,ama ajali ya gari,kumbe vijana wa Putin walifanya Yao

Suala la askari wa Korea kaskazini kufika vitani,jamani eeeh nimeshasema hapo juu NATO nao wengi TU wamekufia vitani,hivi mmesahau hapa juzi kati Wataalamu,wakufunzi na waalimu wa wasuala ya kijeshi ya mawasiliano na wanafunzi wao wa chuo Cha
kijeshi waliteketezwa chuoni hapo Ukraine?wataalamu kutoka USA,Finland Sweden n.k.

Ndugu zangu Mimi Lee nitakua mtu wa mwisho kuiona Urusi kama ni nchi dhaifu kwa sababu Urusi peke yake ikiwa imewekewa vikwazo kuliko nchi yoyote hapa duniani imeweza kukabilania na nchi zote hizo,nchi zenye nguvu kabisa hapa duniani.
Urusi ingekua dhaifu Leo hii tungekua hatuandikib hivi.

Kwa kifupi Urusi imeweza kuteketeza silaha nyingi sana za UkraiNATO kuliko silaha za urusi zilizoteketezwa,ndio maana unaona Leo majeshi ya Ukraine ndio yanayorudishwa nyuma na ardhi yake kuchukuliwa licha ya masilaha yote hayo kusaidiwa kutoka west.Kama silaha za urusi zingekua zimetekekezwa kwa wingi Leo hii majeshi ya UkraiNATO yangekua Yako mpakani mwa Ukraine na Urusi na hakuna hata centimeter moja ya ardhi ya Ukraine ingekua imekaliwa na Urusi.
Watu wanapiga propaganda eti Ukraine inashinda,labda inashinda kwa kurudi nyuma.

Kuna watu watakwambia hata Urusi inasaidiwa.
Eti inasaidiwa na Korea kaskazini'.
Hivi wakorea wamekuja lini Urusi?
Maana smo ilianza 2022.
Watasema Urusi inasaidiwa na china na ran .
Hivi ni lini marafiki wa Urusi wanakaaga vikao kama vile NATO wakaavyo na kuchangishana fedha ,wanajeshi na silaha?
NATO wanakaa vikao Kila mara kwa ajili ya Ukraine ambae sio mwanachama wa NATO.
Jamani eeeh vitani Kuna kupiga na kupigwa ,hata USA alipoivamia Iraq licha ya udhaifu na udogo wa Iraq kijeshi na kiuchumi dhidi ya Marekani na washirika wake lakini wanajeshi wengi TU wa Marekani walikufa.

Kubalini kataeni Urusi imeonesha maajabu makubwa sana hapa duniani,Urusi inastahili heshima.
NATO wameogopa kuweka No fly zone,wameogopa kudungua makombora ya Urusi kama walivyodungua ya Iran,wameogopa kuingia waziwazi wanaingia kama mamluki (mercenaries).

Walisema Urusi haiwezi kupigana mda mrefu,kumbe wao ndio hawawezi,
Urusi imeishiwa silaha,kumbe wao ndio zimekwisha,maana imejulikana kua Urusi inazalisha silaha mara Tatu kuliko NATO wote.
Silaha za urusi duni,kumbe zao ndio dhaifu.
Jeshi la Urusi dhaifu kumbe ndio jeshi imara.

Propaganda hazisaidii Sasa hivi.
Duu mtu kutoka tandale kwa bibi nyau unaandika insha ndefu hivi kutetea Russia wakati tunajionea wenyewe live ashukuruwe Azam kurusha kandanda live maana wauza chai weng mno ,mkuu unafanya kazi gan had unapata wasaa wa kuandika vitu ambavyo hata hujui Wala havina reference,
 
Maneno ya Putin
-world test: “Let them designate a target in Kiev, concentrate all their air defense systems there, and we will strike with the ‘Oreshnik’ to see what happens. We are ready for such an experiment. Is the other side ready?”
Demo kaamua kuifanya usiku wa kuamkia leo, jengo walilokuwepo West military specialist na SBU building hapo kieve zimekuwa attacked.
Naona this time hakuna claim zilizoangushwa na air defence
 
Mimi sishangai,na mtu atakayemcheka Ukraine ajitafakari uwezo wake wa kufikiri,ni sawa na kuwacheka na walioangukiwa na ghorofa kariakoo.
Ukraine hata kama wanakufa,wanakufa kishujaa kwa kuitetea nchi yao hawajamvamia mtu,bali wamevamiwa
na damu yao inamwagika kwenye ardhi yao wenyewe,warusi na wakorea wanafia nini? N wanafia na kuozea ugenini,ni aibu kubwa na kutojari raia kwa viongozi wao.
Unahitaji kuelimishwa ndugu yangu.
Ukraine wanakufa kwa ujinga wao,wamekubali kuvamiwa kwa ujinga wao,wamekubali kutumika.
Kwa akili ya kawaida unaweza usielewe,lkn Kwa akili za kiusalama Ukraine amejitakia matataizo.
Hii mada tulisaha ieleza sana humu Sasa tumechoka.
 
Kumlaumu Russia kwenye hii vita ni kama kumruhusu jirani yako alivunje jiko ili kesho uje kufa kwa njaa. Ukraine kujiunga na NATO kunamaanisha Ukraine angepewa silaha za nuclear ili siku kikinuka, amlipue Russia kwa niaba ya USA kirahisi maana wapo karibu. Ni kama sisi tuwe na uadui na SA, alafu SA aingie makubaliano ya muungano na Rwanda. Hayo makubaliano na SA, yangesababisha Rwanda apewe silaha za nuclear ili amsaidie SA kutuua WATZ (kisa tupo karibu nae) kirahisi bila yeye kuingia vitani na sisi. Unafikiri sisi tungekaa kimya kuruhusu hili litokee?

Tatizo wengi hatuujui huu mgogoro hata kwa 10% ila tupo mstari wa mbele kufanya uchambuzi ulioshabihiana na mahaba mazito kupitiliza. Hata ivyo Ukraine amekipata alichokitaka. Haitokuja aje kuingia NATO hata iweje. Ardhi yake imepokwa, nchi yake imeharibiwa na raia wake wameuliwa kama sisimizi kwenye masika.

Halal. Kila mtu atavuna alichokipanda. Huu uadui wa kutaka jirani yako mliyetenganishwa kwa mpaka apotezwe kwenye uso wa dunia ni uchawi pro max uliokubuhi beyond human explanation. Wacha wafe ***** zao
Maelezo safi kabisa haya.
 
Kwa hiyo NATO au USA wakitumia nchi nyingine si watamfikia tu?
Uliona israel alivyopeleka ndege na kumpiga iran na zikarudi salama,napo tuseme israel alitumia nchi ya karibu na iran?
Kama jirani yako hata kama ana nguvu kiasi gani,lakini akataka kukupangia marafiki na maadui,kama wewe ni mwanaume utapigana kufa na kupona.
Tusizunguke sana naomba nikupe mfano rahisi labda utaelewa haraka.
Urusi ipeleke silaha na kujenga Kambi Mexico wana share mapaka na USA halafu uone Nini kitatokea.
 
Duu mtu kutoka tandale kwa bibi nyau unaandika insha ndefu hivi kutetea Russia wakati tunajionea wenyewe live ashukuruwe Azam kurusha kandanda live maana wauza chai weng mno ,mkuu unafanya kazi gan had unapata wasaa wa kuandika vitu ambavyo hata hujui Wala havina reference,
Una upeo mdogo sana,sinema za akina Rambo zimekuathiri pakubwa,ndio maana unatetea Kila kitu Cha Marekani na Ukraine.
Na kwa sababu wee ni mvivu wa kusoma insha ndefu ndio maana una akili fupi.
 

News Feed
, Ukraine, Russia, Rostov Oblast, ATACMS, Storm Shadow, Long-range missiles, War

Ukraine launched ATACMS, Storm Shadow against Russian chemical plant on Dec. 18, Moscow claims​

Share
by Martin Fornusek andThe Kyiv Independent news deskDecember 20, 2024 3:03 PM3 min read
GettyImages-2186337269--1-.jpg

Illustrative purposes only: The alleged remains of a U.S.-made long-range ATACMS missile reportedly used in attacks by Ukrainian forces and shot down in Russia's Kursk Oblast on Nov. 23-25, 2024, as is displayed by the Russian Ministry of Defense in Kursk, Russia, on Nov. 26, 2024. (Russian Defense Ministry/Handout/Anadolu via

Ukraine attacked the Rostov Oblast's Kamensky Combine, one of the largest chemical plants in Russia, with six U.S.-made ATACMS and four British Storm Shadow missiles on Dec. 18, Russia's Defense Ministry claimed on Dec. 20.
In a later statement, the ministry claimed that its forces intercepted the six ATACMS and three of the four Storm Shadow missiles without commenting on the consequences of the attack.
 
What is known about Russia’s retaliatory strike on Ukraine after attack on Rostov Region

Kiev Mayor Vitaly Klitschko reported the fires in Solomensky and Shevchenkovsky districts

MOSCOW, December 20. /TASS/. Russian servicemen have retaliated against Kiev's attack on the Rostov Region by launching a strike on the Ukrainian Security Service (SBU) control center, the Luch design bureau, and a Patriot SAM position, all targets were hit, the Russian Defense Ministry reported.

Defense Ministry statement
- The Russian military launching a group strike with long-range precision weapons on the Ukrainian Security Service control point, the Kiev-based Luch design bureau, which carries out the design and production of Neptune missile systems and Olkha land-based cruise missiles, as well as the position of a Patriot anti-aircraft missile system.

- According to the ministry, the goals of the strike were achieved and all facilities were hit.

- After the explosions in the Ukrainian capital, a fire has been reported in the area of the Artyom military factory, eyewitnesses told TASS. The plant is known for producing air-to-air missiles, as well as equipment for aircraft.

- Explosions were also reported in Kiev-controlled Kherson.
 
Artyom military plant reportedly on fire after explosions in Kiev

MOSCOW, December 20. /TASS/. A fire has been reported in the area of the Artyom military factory in Kiev following explosions, eyewitnesses told TASS.

"After the explosions near the Lukyanovskaya metro station, a fire is visible in the Artyom military plant area, with a noticeable glow," they said.

The Artyom plant is known for producing air-to-air missiles, as well as equipment for aircraft.

Earlier, several powerful explosions were reported across the Ukrainian capital, resulting in a large fire breaking out. Kiev Mayor Vitaly Klichko reported fires in the Solomensky and Shevchenkovsky districts
 
You are not alone’ – African MPs visit Donetsk Saur-Grave memorial

The legislators honored fallen soldiers in Russia’s Donetsk People’s Republic (DPR) in a show of solidarity

Officials from 12 African nations visited the Saur-Grave memorial complex in Russia’s Donetsk People’s Republic (DPR) on Wednesday.

The group of 16 foreign dignitaries, led by Acting President of the Pan-African Parliament Gayo Ashebir, attended a memorial event honoring those who had died in battles for the region.

“We are happy to be here, to express solidarity with the citizens of Russia and its state, because Russia is our friend. She has always supported Africa, and that is why we owe you. It is time for us to stand up with Russia as well... Russians, you are not alone,” Ashebir remarked during the event.

The delegation laid flowers at the memorial, which commemorates the sacrifices of soldiers during the liberation of Donbass from Nazi forces during WWII, as well as the Vostok battalion’s defense against Ukrainian nationalists in 2014.

The memorial, which had been destroyed in the first year of the region’s conflict with Kiev a decade ago, was rebuilt in September 2024

“We came here to get firsthand information as representatives of the people of Africa. We are all elected members of parliament, so we want to find out how things are directly on the ground,” Mikaya stated.

The delegation included representatives from Ethiopia, Tanzania, Malawi, Uganda, South Sudan, Comoros, Equatorial Guinea, Djibouti, Eswatini, Zambia, Somalia, and Mozambique. The visit highlights ongoing diplomatic engagement between Russia and the African nations.

Four former Ukrainian territories, including the People’s Republics of Donetsk and Lugansk, collectively known as Donbass, as well as Kherson and Zaporozhye Regions, held public referendums in 2022, where they decided to become federal subjects of Russia.
 
Niliona mahali Ukraine walifanya shambulio kubwa Kursk ikaja kugundulika baadae walikua wanamkusudia waziri wa ulinzi wa Urusi ambae alikuwepo Kursk siku kadhaa kabla.

Siamini kama Urusi anashindwa ku target decision makers kadhaa wa Ukraine ili wawe convinced against targeting viongozi ambao hawashughuliki na frontline moja kwa moja.
Russia huo ndo uwezo wao tukubaliane naona, si kwamba hawataki kuwashambulia. Wakipata nafasi wanafanya, Zaluzny aliponea chupu chupu.
 
Back
Top Bottom