LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Russia ni noma anawatembezea kichapo mataifa zaidi ya 52 ya ulaya na NATO na yametumia kila aina ya silaha walizonazo na bado mkong'oto unaendelea kutembezwa
 
Tatizo watoto wa elfu mbili mmejaa kwenye huu Uzi hivi unajua Nini kuhusu Cuba missile crisis?
 
Ni propaganda tu Ukraine ni salama mnoooo.... Hakuna mapigano popote pale ...nchi ni salama ..majimbo yote yapo chini ya utawala wa kyv....
Kaka kuna watu wanatia hasira sana😂😂😂tujaribu kuwapotezea. Akili zao ni stagnant, haziwezi kupokea kitu kipya. So tu waelewe tu, ndio uwezo wao wa kufikiria ulipoishia.
 
,👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏😂✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
 
Da aisee naona unarahisisha sana mambo.
Nakuambia hivi Mexico hata akimkaribisha Urusi kuweka jeshi lake pale,USA hatokubali.
Hivi unajua Cuba alimkaribisha Urusi?
Je hali nilikuaje? USA alichekelea?
Unaleta mifano ya East Afrika hapa.
 
Wewe hukuona Crimea imechukuliwa toka zaman, huoni kama Ukraine ilibid atafute ulinzi kulinda maeneo yake, vinginevyo Russia angeyamaliza. Vyovyote mtakavyosema ila mvamizi ni Russia
Sawa na Mimi nasema hivi,vyoyote mtakavyosema Ukraine inastahili kuadabishwa kwa kukaribisha maadui wa jirani yake.
 
Unaujua mgogoro wa cuba?
Ukiujua chanzo chake basi ndio utauelewa huo mfano uliopewa
Yaani ukiwa serious kabisa unafananisha ujenzi wa reli na ujenzi wa mitambo ya siraha
,✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝👏👏👏👏🙏👏👏👏👏👏👏👏👏👏Sikutaka kumpa mfano wa Cuba ili nipime uelewa wake,Asante Mkuu.
 
22 Dec, 2024
CIA chief pays ‘last visit’ to Kiev

Democrats sent the outgoing spymaster to tie up loose ends, Moscow has suggested.

Central Intelligence Agency Director William Burns has made yet another unannounced trip to Kiev, likely his final before stepping down from his position, according to Ukrainian leader Vladimir Zelensky.

Zelensky disclosed the meeting in a Telegram post on Saturday, highlighting the significant role Burns has played in supporting Ukraine during its ongoing conflict with Russia.

“Bill Burns paid his last visit to Ukraine as CIA director. We have held many meetings during this war, and I am grateful for your help,” Zelensky wrote, accompanied by a photo of him shaking hands with Burns.

The Ukrainian leader acknowledged that such high-level meetings are typically kept confidential, but emphasized the importance of highlighting their continued communication.

“Usually, such meetings are not reported publicly, and all our meetings – in Ukraine, in other European countries, in America, and in other parts of the world – took place without official information. But now, after the last visit, it is worth saying openly,” Zelensky said.

Throughout the conflict, the United States has been Kiev’s most crucial sponsor, providing the bulk of financial and military support as well as intelligence.

Russia's Foreign Ministry suggested that Burns' trip aimed to warn Ukrainian authorities against sharing potentially compromising information with Trump's auditors.

Senior Russian diplomat Rodion Miroshnik described Zelensky as a “weak link” and suggested that Burns sought to ensure he would not disclose any sensitive “evidence of illegal actions by American officials related to the Democrats and Biden.”

“Burns came to Kiev to tie up loose ends and coordinate actions with Zelensky for when Trump begins his review of the multi-billion-dollar US budget spending on Ukraine,” Miroshnik told TASS on Saturday.
 
Russian forces destroy Leopard tank in Ukraine – MOD (
The Western-supplied armor was eliminated with multiple direct hits by FPV drones, the Defense Ministry has reported

The Russian military has eliminated a German-made Leopard tank in Ukraine’s Kharkov Region, the Russian Defense Ministry said on Saturday, sharing aerial footage confirming the destruction.

In addition to the Leopard, Russian forces destroyed two other tanks, an M113 armored personnel carrier, two pickup trucks, five Soviet D30 howitzers, and four US-made M101 and M119 howitzers while repelling a failed Ukrainian counter-attack, in which Kiev lost up to 440 troops, according to Saturday’s update from the Defense Ministry.
 
Ikiwa Mkuu wa jeshi la Ukraine na wanajeshi wenyewe wa Ukraine wanakili uwezo wa jeshi la Urusi huko mstari wa mbele,Leo anatokea Mtanzania mmoja kutokea Matombo anasema jeshi la Urusi limeishiwa Cha kufanya,limetepeta,aisee hii nchi Ina watu wanaweza kuunda bomu zaidi ya nyukilia.
22 Dec, 11:37
Ukraine’s General Staff admits tense situation along entire frontline

MOSCOW, December 22. /TASS/. Ukraine’s General Staff described the situation for Ukrainian troops along the entire frontline as tense.

"The situation on the front remains very tense," Ukraine’s General Staff said on its Telegram channel.

The Ukrainian military also admitted the Russian army’s supremacy in terms of military equipment and the size of personnel.

Ukrainian Army Commander-in-Chief Alexander Syrsky said in a phone talk with Chief of the UK Defense Staff Admiral Tony Radakin on December 19 that the situation remained "extremely tense" on the front. Ukrainian commanders of various levels have been lately describing the frontline situation as very complex.
 
🇺🇦👏🇺🇦It has been reported that the armed forces of Ukraine liberated Kamianske in the direction of Zaporizhzhya in a counterattack and pushed back the katsapnia south of the village.
 
Huna ujualo
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…