The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hizo rasilimali muhimu zingekuwa zinapatikana Russia pekee sawa unfortunately OPEC ana members wengi,gas hata Tzn ipo ya kulisha Germany nzima for years achilia mbali mamia ya Nchi za Afrika,Arabs ,N and South America..Anashikilia resources muhim kama mafuta na gas
[emoji1]Wakati dunia imetulia lile lifedhuli libaba la kina KABUDi,ndugai,Polepole,gwajima Boya,msukuma,Sabaya,bashiru ,makonda Nk lilitutesa na vita ya kusadikika ya kiuchumi kumbe yanatuibia tu yenyewe
Congo hana technology babu,Urusi ana kila kitu ambacho Nchi nyingi Duniani hazinaHata Congo wana deposit ya resources nyingi kuliko Nchi yeyote kwenye bara la Africa...Tuiogope Congo??
Urusi ina jambo moja tu Duniani la kuifanya itambe:
Ina vichwa vya nyuklia zaidi ya 6200. Hilo tu basi.
Suala sio rasilimali suala ni akili na tech full stopUrusi ndio Nchi pekee duniani yenye deposit ya Natural resources kuliko Nchi yoyote ile Duniani-vikwazo vya kiuchumi sio issue kwa Urusi.
Hitler hakuwa tahira kusema the only way uitawale hii Duniani vizuri,kwanza inabidi uitawale Urusi.
Aseeh mrusi mweusi uko vizuri Sana.Hahahah mzee urussi akifungq gas na mafuta yake unategemea nini? Nchi zote za ulaya zinategemea nishati kutoka kwake.
Kiufupi mmarekani anamwogopa mrussi ingekua nchi nyingine ameshatuma majeshi yake muda sana. Mzee usiichukulia russia poa narudia usiichukulia russia poa.
Russia nyuma ana china, korea, india, iran, iraq nk ikitokea wame team up bro usidhani kuna nchi ya kuwashinda hao jamaa na mmarekani anajua hilo na mmarekani anamwogopa sana mchina kama hujui aseee. Mmarekani ataonea wachovu tu kwa sasa hana jipya na nguvu yake ipo NATO kama hufaham hilo.
Ataishia kupiga kelele sijui vikwazo ila hakuna chochote atafanya[emoji28][emoji28]
Sio tatizo ila wacha wauwane tu wote jeuriSijaelewa mnafurahi Nini..naomba mnieleweshe..hii Vita itatuletea shida sisi nchi za kimaskini..Tena muda si mrefu..
Dunia nk uwanja wa Vita bwashee Urusi hana mchezo mchezoKwa iyo wewe furaha yako ni kuona binadamu tukiuana .?
TaaakbirrrPutin dini gani vile?
Teknolojia hata Taiwan wanayo.Congo hana technology babu,Urusi ana kila kitu ambacho Nchi nyingi Duniani hazina
Dunia Uwanja wa Fujo. Ecosystem. Lazima binadamu apungue.Kwa iyo wewe furaha yako ni kuona binadamu tukiuana .?
Ecosystem. Hiyo ni asili. Lazima tupungue kubalansi nature.Nimekumbusha tu uhalisia wa dunia tunayoishi.
Utamuuzia nani?Urusi ndio Nchi pekee duniani yenye deposit ya Natural resources kuliko Nchi yoyote ile Duniani-vikwazo vya kiuchumi sio issue kwa Urusi.
Hitler hakuwa tahira kusema the only way uitawale hii Duniani vizuri,kwanza inabidi uitawale Urusi.
Punguza hasira mkuu marekani alipovamia Iraq mataifa ya kikristu yalikaa kimya ,kwahiyo kwa hoja yako wakristu walipenda waislamu wasio na hatia wafe?.WAKRISTU duniani wanataka UKRAINE ilindwe bila vita, WAISLAMU duniani wanashabikia URUsi iipige ukraine na kuiangamiza, ni ipi dini bora? wapagani wafuate dini ipi?
ipi inataka amani na upatanisho, madhehebu hayo kwa Afrika Mashariki hayajaonyesha mrengo wowote.
Namaanisha hata ikitokea lakini wewe ukabaki hai, ndiko kuepukika kwake huko sababu USA ndiye chanzo akidhani ni yeye pekee superpower Nation kumbe yapo mataifa mengi tu lakini yamejituliza tuli.WWW3 haiepukiki... Naona NATO wanapasha viungo
Urusi ndiye anayeipa teknlojia North Korea. Na North Korea ni jirani wa US.Kwa akili zako tu za kuzaliwa unadhani USA yuko tayari kuwekewa silaha nzito nzito na jeshi la kivita la URUSI kwenye nchi jirani kabisa na USA kama Canada na Mexico?
Ndivyo jinsi ilivyo kidunia kwa Urusi pia yuko sahihi kukataa na kujihami ni mojawapo ya kanuni bora sana za kiuongozi kwa nchi yoyote ile duniani.
Mfano USA kutengeneza silaha nzito za maangamizi kama hizo epersonics bombs ilihali anakataza mataifa mengine kutotengeneza hizo silaha, unadhani kwanini anakataza hayo mataifa mengine?
Jiulize na ujijibu mwenyewe.
Hakuna silaha ya nyuklia itapigwa mkuu....Hakuna sababu hiyo..NATO wakiingia kwenye vita urusi atamlazimu atumie silaha za Nuclear aisambaratishe dunia yote
Kwani mie nimesemaje hapo huu kaka nimesema urusi wana Deposit ya Rasmali na Technology-sasa huyo hata ukimwekea vikwazo ni sawa unajitekenya mwenyewe.Suala sio rasilimali suala ni akili na tech full stop
Mkuu naomba unipe source iliyoseka Russia wamejipa masaa 72 maana tangu mzozo niufuatilie sijaona hiki kitu. Ni kuteka viwanja vya ndege, Ukraine kuvikomboa tena, kuingia mjini kukutana na Molotov cocktails na vizuizi vya rais. Intel ya NATO jana imesema malengo yote ya Urusi hajayatimizwa hata moja.Vita haipiganwi kama kula maandazi na chai ya rangi unang'ata andazi popote tu hata umetizama kwingine.
Hapo kuna mission inatakiwa kukamilishwa ikiwemo kuepuka majeruhi na vifo vya raia, uharibifu wa miundo mbinu, kuwakamata walengwa wakiwa hai nk.
Urusi wamejipa saa 72 kukamilisha misheni yao. Leo rais wa Ukrain ndugu Zelesky akiongea toka mafichoni ameaga washirika wake wa NATO kuwa itakuwa mara ya mwisho kuongea nao kwani ndani ya saa 48 zijazo lolote laweza tokea kwake akiwa yeye ni mlengwa wa kwanza. Hizo saa 48 ukiongeza 24 zilizopita ni saa 72 za misheni ya Mrusi.
Vita sio maana wasio na hatia wanaumia kwa maslahi ya wapuuzi wachache
Binafsi nimegundua Russia hana nguvu za jeshi kupigana na Mataifa makubwa kihivyo kama upiganaji wake ndio huu wa Ukraine.Sio tatizo ila wacha wauwane tu wote jeuri