LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kuna namna nyingine West wanataka ku deal na Russia. Kumaliza vita na amani iwepo halafu kumuaminisha Putin kuwa mambo yamekaa sawa ikiwa ni pamoja na kutembeleana. Baadae tutasikia Putin anaumwa na kuanza kuipambania Afya yake kwa muda tu na itafikia kipindi hataweza kumudu shughuli za kuendesha serikali, kazi zitafanywa na waziri mkuu. Baadae Taifa litatangaziwa kuwa jamaa Mwendo kaumaliza. Russia 🇷🇺 itaingozwa na mtawala mwingine atakayekuwa na msimamo wa wastani.

WAYAHUDI NDIO WANAOIONGOZA MAREKANI NA MYAHUDI HAJAWAHI KUSHINDWA.
 
Hii ndio inaitwa KUPIGWA mande 🤣🤣

MAREKANI - Rais wa Marekani, Donald Trump, anatarajia kuwa Waziri wake wa Fedha, Scott Bessent, ambaye alitembelea Ukraine Jumatano, atahakikisha makubaliano yanapatikana ili Washington ipate faida kutokana na mabilioni ya dola ilizowekeza kama msaada kwa Kiev.

Hivi karibuni, Trump alidai "dola bilioni 500 za madini adimu" kutoka Kiev kama malipo kwa zaidi ya "dola bilioni 300" ambazo mtangulizi wake, Joe Biden, alituma Ukraine kama msaada kwa miaka kadhaa.


Akizungumza na waandishi wa habari katika Ikulu ya White House Jumatano, Trump alisema alikuwa na mazungumzo ya simu na kiongozi wa Ukraine, Vladimir Zelensky, mapema siku hiyo na kwamba Kiev imekubali madai yake.

"Nina Waziri wa Fedha kwa sasa ambaye ni jasiri sana – yuko Ukraine," Trump aliwaambia waandishi wa habari. "Ameenda huko kuhakikisha tunapata hati inayoonyesha kuwa kwa namna fulani tutarudishiwa fedha zetu."

Rais wa Marekani alisema ni upumbavu kwa Washington kutohakikisha "usalama wa fedha zetu," akidai kuwa wafadhili wengine wa Kiev walifanya hivyo. "Marekani chini ya Biden haikutoa mikopo. Walikuwa wakitoa tu pesa kila wakati mtu yeyote kutoka Ukraine alipoingia. Walizitoa tu kiholela," Trump aliongeza.

Imeandaliwa na Mwandishi Wetu

Zaidi tembelea //habarileo.co.tz

#HabarileoUPDATES

#Trump #Trending #Ukraine #ElonMusk
FB_IMG_1739428754661.jpg
 
Kuna namna nyingine West wanataka ku deal na Russia. Kumaliza vita na amani iwepo halafu kumuaminisha Putin kuwa mambo yamekaa sawa ikiwa ni pamoja na kutembeleana. Baadae tutasikia Putin anaumwa na kuanza kuipambania Afya yake kwa muda tu na itafikia kipindi hataweza kumudu shughuli za kuendesha serikali, kazi zitafanywa na waziri mkuu. Baadae Taifa litatangaziwa kuwa jamaa Mwendo kaumaliza. Russia 🇷🇺 itaingozwa na mtawala mwingine atakayekuwa na msimamo wa wastani.

WAYAHUDI NDIO WANAOIONGOZA MAREKANI NA MYAHUDI HUJAWAHI KUSHINDWA.
Una hoja nzuri sana.
Lkn kama wewe Mtanzania umeliona hilo vipi kwa Hawa Wacomunist wa zamani wenye Kila aina ya nyenzo na mafunzo Bora kabisa ya uchunguzi na utambuzi?
Kutoka iliyokua KGB, na Sasa FSB,SVR,GRU na nyinginezo?
Watakosa kutathimini hatari hiyo?
 
Hii ndio inaitwa KUPIGWA mande 🤣🤣

MAREKANI - Rais wa Marekani, Donald Trump, anatarajia kuwa Waziri wake wa Fedha, Scott Bessent, ambaye alitembelea Ukraine Jumatano, atahakikisha makubaliano yanapatikana ili Washington ipate faida kutokana na mabilioni ya dola ilizowekeza kama msaada kwa Kiev.

Hivi karibuni, Trump alidai "dola bilioni 500 za madini adimu" kutoka Kiev kama malipo kwa zaidi ya "dola bilioni 300" ambazo mtangulizi wake, Joe Biden, alituma Ukraine kama msaada kwa miaka kadhaa.


Akizungumza na waandishi wa habari katika Ikulu ya White House Jumatano, Trump alisema alikuwa na mazungumzo ya simu na kiongozi wa Ukraine, Vladimir Zelensky, mapema siku hiyo na kwamba Kiev imekubali madai yake.

"Nina Waziri wa Fedha kwa sasa ambaye ni jasiri sana – yuko Ukraine," Trump aliwaambia waandishi wa habari. "Ameenda huko kuhakikisha tunapata hati inayoonyesha kuwa kwa namna fulani tutarudishiwa fedha zetu."

Rais wa Marekani alisema ni upumbavu kwa Washington kutohakikisha "usalama wa fedha zetu," akidai kuwa wafadhili wengine wa Kiev walifanya hivyo. "Marekani chini ya Biden haikutoa mikopo. Walikuwa wakitoa tu pesa kila wakati mtu yeyote kutoka Ukraine alipoingia. Walizitoa tu kiholela," Trump aliongeza.

Imeandaliwa na Mwandishi Wetu

Zaidi tembelea //habarileo.co.tz

#HabarileoUPDATES

#Trump #Trending #Ukraine #ElonMusk
Ficheni hii kitu kp kipanya44 asije kuisoma.
 
Baadae Taifa litatangaziwa kuwa jamaa Mwendo kaumaliza.
Kwa nini isiwe kwa Marekani? Bado unashikilia mawazo ya kitapeli kwamba Russia ni dhaifu? Dunia ya sasa imeshajua ukweli wa mambo.

Vita vya Ukreni vimeondoka na marais na viongozi wangapi wa nchi za NATO?

Trump amerudishwa mjengoni kwa sababu NATO na serikali ya Joe Biden ngoma ilishawawia ngumu.
 
Dunia inaendeshwa kibabe sana. Watu wako zao Washington wanapanga mipango Yao kuhusu wewe then wanamtuma mmoja wao akushauri ukubali. Tena Kwa masharti magunu kwamba utalipa deni lao Kwa kuwakubalia uwape ardhi yenye madini. Hutaki unaachwa bila msaada unifie
 
Dunia inaendeshwa kibabe sana. Watu wako zao Washington wanapanga mipango Yao kuhusu wewe then wanamtuma mmoja wao akushauri ukubali. Tena Kwa masharti magunu kwamba utalipa deni lao Kwa kuwakubalia uwape ardhi yenye madini. Hutaki unaachwa bila msaada unifie
Mkuu, kwani hukuona safari nyingiii za Zelensky kwenda Washington kuomba misaada? Sasa hivi ni zamu yake kutembelewa.

BTW, unadhani Zele ana hasara? Kwa nini tusidhani kwamba yeye ni mmojawao? Unadhani amejilimbikizia mali kiasi gani hadi sasa tangu vita vianze?
 
Mkuu, kwani hukuona safari nyingiii za Zelensky kwenda Washington kuomba misaada? Sasa hivi ni zamu yake kutembelewa.

BTW, unadhani Zele ana hasara? Kwa nini tusidhani kwamba yeye ni mmojawao? Unadhani amejilimbikizia mali kiasi gani hadi sasa tangu vita vianze?
Ahh kikubwa kama itakuwa hivyo tuwape pole tu pande zote mbili za mgogoro..warusi wamepoteza watu maelfu vilevile Ukraine. Doa la damu hizi halitafutika kirahisi but kovu la jeraha hili Kwa Ukraine litakuwa kubwa zaidi watakwa wamepoteza ardhi na watu wao bila hata kifuta jasho
 
Tuliwambia ila watu wa Zelensk hamkutaka kusikia.kwa hali ilivyo sasa ni wazi watu wamechoka kuingia mfukoni kutoa pesa kwa ajili ya Silaha.

Ni chizi pekee mwenye kuweza kuamini kuwa upande wa Zelensk wanaweza kushinda hii vita, wenye akili timamu walishajua mwisho wa siku nini kitatokea.
 
Yote kwa yote, Trump keshasema ameamua kuimaliza hii vita ya “kijinga” kuepusha vifo zaidi na keshazungumza na Putin na Zelenskyy kuanzisha majadiliano. Wote wanamsikiliza kwa makini sana. Timu zimeagizwa kuanza maandalizi.

Mwezi Februari 2022 Putin alitangaza special operation ya kuuondoa utawala wa ki-NAZI wa Ukraine na kuwachukulia hatua kali wahalifu wa utawala ule waliokuwa wakihatarisha maisha ya watu wenye asili ya Urusi na nchi ya Russia kwa ujumla wakishirikiana na nchi za Magharibi.

Marekani wakamshtua Zelenskyy kuwa Putin hatanii. Wakampa ofa ya usafiri kuondoka Ukraine na familia yake kukimbia dhahma inayokuja. Zelenskyy akagoma akasema “sihitaji lifti, nipeni silaha nitapigana”.

Leo February 2025, muda wowote karibuni, Putin na Zelenskyy watakaa mkabala kwenye meza ya majadiliano na hata kusaini makubaliano ya amani chini ya uangalizi wa mwamba Trump. Mashabiki na manazi, pateni hiyo picha. Ni picha iliyoje! Just imagine!

Hii ni baada ya miaka mitatu ya maangamizi ya maelfu ya binadamu, rasilimali, makazi, imani na matumaini ya wengi huko Urusi, Ukraine na dunia nzima. Binafsi sikutarajia kuona aina ya vita niliyokuwa nikisoma na kuona kwenye documentaries kadhaa za WW2 ikitokea Ulaya miaka hii.

Wanafalsafa wanasema, vita zinapoanza mhanga namba moja huwa UKWELI.
 
Yote kwa yote, Trump keshasema ameamua kuimaliza hii vita ya “kijinga” kuepusha vifo zaidi na keshazungumza na Putin na Zelenskyy kuanzisha majadiliano. Wote wanamsikiliza kwa makini sana. Timu zimeagizwa kuanza maandalizi.

Mwezi Februari 2022 Putin alitangaza special operation ya kuuondoa utawala wa ki-NAZI wa Ukraine na kuwachukulia hatua kali wahalifu wa utawala ule waliokuwa wakihatarisha maisha ya watu wenye asili ya Urusi na nchi ya Russia kwa ujumla wakishirikiana na nchi za Magharibi.

Marekani wakamshtua Zelenskyy kuwa Putin hatanii. Wakampa ofa ya usafiri kuondoka Ukraine na familia yake kukimbia dhahma inayokuja. Zelenskyy akagoma akasema “sihitaji lifti, nipeni silaha nitapigana”.

Leo February 2025, muda wowote karibuni, Putin na Zelenskyy watakaa mkabala kwenye meza ya majadiliano na hata kusaini makubaliano ya amani chini ya uangalizi wa mwamba Trump. Mashabiki na manazi, pateni hiyo picha. Ni picha iliyoje! Just imagine!

Hii ni baada ya miaka mitatu ya maangamizi maelfu ya binadamu, rasilimali, makazi, imani na matumaini ya wengi huko Urusi, Ukraine na dunia nzima. Binafsi sikutarajia kuona aina ya vita niliyokuwa nikisoma na kuona kwenye documentaries kadhaa za WW2 ikitokea Ulaya miaka hii.

Wanafalsafa wanasema, vita zinapoanza mhanga namba moja huwa UKWELI.
Umesahau kusema hili makubaliano ya amani Kwa kiasi kikubwa yataamuliwa kutegemeana na terms ngumu zilizowekwa na Putin
 
Huyu jamaa alimshauri vizuri Putin kuwa vita siyo jambo la kuvamia. Putin aliyekuwa amejiandaa kwa uvamizi hakutaka kusikiliza. nadhani leo hii akiona video hii atajilaumu kweli. Huyo mshauri ndiye aliyekuwa spy mkuu wa mambo ya usalama kuliko hao wengine machawa na huenda alikuwa na picha kamili ya matokeo ya uvamizi huo.


View: https://www.youtube.com/watch?v=o9A-u8EoWcI

Ulivyoandika utadhani Urusi na Putin wanajuta kwa vita hii.
Ukweli vita hii imeiheshimisha sana Urusi na kuipaisha sana kimataifa.
Dunia nzima Sasa imejua nguvu ya Urusi kijeshi, kiuchumi na kiushawishi.
Viongozi wa Nchi za Afrika na nchi za kusini Sasa wamekua wakienda Urusi kwa kujiamini kuliko wakati wowote ule.
Dunia imeweza kujione yenyewe uwezo wa silaha za NATO na uwezo wa silaha za urusi.
Naamini NATO walikua wamepata nafasi pekee na ya mwisho ya kuidhoofisha Urusi Kwa kua walipata nafasi ya kupeleka silaha zao Kwa Ukraine lakini hazikufua dafu mbele ya silaha za urusi.
Kama haya ninayoyasema sio kweli je walipeleka silaha dhaifu ili wa Ukraine wakafe? Na wapoteze miji Yao?
Ukweli walipeleka silaha Bora kabisa ili Urusi ishindwe waweze kutimiza malengo Yao ya kutokua na upinzani duniani.
Naamini waliweka vikwazo vingi na vigumu mno kwa Urusi ili Urusi ianguke kiuchumi,Sasa je vikwazo havijawaumiza wao zaidi?
Hivi ninavyoandika hapa Ukraine kiuhalisia imeshapoteza sehemu kubwa ya ardhi yenye utajiri mkubwa Sasa hapa kati ya Urusi na Ukraine nani anajuta?
Huyo Mkuu wa ujasusi wa Urusi uliemuweka hapo kimsingi alitakiwa afukuzwe kazi.
Urusi Sasa hivi inaheshimika Dunia kutokana na ilivyoweza kukabiliana na njama za nchi zote za west kijeshi,kiuchumi na kiushawishi.
 
Ulivyoandika utadhani Urusi na Putin wanajuta kwa vita hii.
Ukweli vita hii imeiheshimisha sana Urusi na kuipaisha sana kimataifa.
Dunia nzima Sasa imejua nguvu ya Urusi kijeshi, kiuchumi na kiushawishi.
Viongozi wa Nchi za Afrika na nchi za kusini Sasa wamekua wakienda Urusi kwa kujiamini kuliko wakati wowote ule.
Dunia imeweza kujione yenyewe uwezo wa silaha za NATO na uwezo wa silaha za urusi.
Naamini NATO walikua wamepata nafasi pekee na ya mwisho ya kuidhoofisha Urusi Kwa kua walipata nafasi ya kupeleka silaha zao Kwa Ukraine lakini hazikufua dafu mbele ya silaha za urusi.
Kama haya ninayoyasema sio kweli je walipeleka silaha dhaifu ili wa Ukraine wakafe? Na wapoteze miji Yao?
Ukweli walipeleka silaha Bora kabisa ili Urusi ishindwe waweze kutimiza malengo Yao ya kutokua na upinzani duniani.
Naamini waliweka vikwazo vingi na vigumu mno kwa Urusi ili Urusi ianguke kiuchumi,Sasa je vikwazo havijawaumiza wao zaidi?
Hivi ninavyoandika hapa Ukraine kiuhalisia imeshapoteza sehemu kubwa ya ardhi yenye utajiri mkubwa Sasa hapa kati ya Urusi na Ukraine nani anajuta?
Huyo Mkuu wa ujasusi wa Urusi uliemuweka hapo kimsingi alitakiwa afukuzwe kazi.
Urusi Sasa hivi inaheshimika Dunia kutokana na ilivyoweza kukabiliana na njama za nchi zote za west kijeshi,kiuchumi na kiushawishi.
Strange. Rais wa Marekani (West) ndiye anayewakalisha chini Urusi (super power) na Ukraine wamalize vita. Special Operation haikutimia. Sasa sijui hiyo heshima ya dunia nzima inatoka wapi?
 
Back
Top Bottom