LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kuna namna nyingine West wanataka ku deal na Russia. Kumaliza vita na amani iwepo halafu kumuaminisha Putin kuwa mambo yamekaa sawa ikiwa ni pamoja na kutembeleana. Baadae tutasikia Putin anaumwa na kuanza kuipambania Afya yake kwa muda tu na itafikia kipindi hataweza kumudu shughuli za kuendesha serikali, kazi zitafanywa na waziri mkuu. Baadae Taifa litatangaziwa kuwa jamaa Mwendo kaumaliza. Russia 🇷🇺 itaingozwa na mtawala mwingine atakayekuwa na msimamo wa wastani.

WAYAHUDI NDIO WANAOIONGOZA MAREKANI NA MYAHUDI HAJAWAHI KUSHINDWA.
Kwa taarifa Yako Myahudi anaweza kudili na Waarabu TU kwa sababu waarabu ni dhaifu Tena Kwa msaada wa USA.
Myahudi hawezi katu kudili na Urusi abadani na yeye Myahudi analijia hilo.

Kwa taarifa Yako Urusi ndio ilitaka kuanzishwa taifa la Israel.
Hii ni kama Urusi kutishwa na kinyago ilichokichonga yenyewe.
 
Ulivyoandika utadhani Urusi na Putin wanajuta kwa vita hii.
Ukweli vita hii imeiheshimisha sana Urusi na kuipaisha sana kimataifa.
Dunia nzima Sasa imejua nguvu ya Urusi kijeshi, kiuchumi na kiushawishi.
Viongozi wa Nchi za Afrika na nchi za kusini Sasa wamekua wakienda Urusi kwa kujiamini kuliko wakati wowote ule.
Dunia imeweza kujione yenyewe uwezo wa silaha za NATO na uwezo wa silaha za urusi.
Naamini NATO walikua wamepata nafasi pekee na ya mwisho ya kuidhoofisha Urusi Kwa kua walipata nafasi ya kupeleka silaha zao Kwa Ukraine lakini hazikufua dafu mbele ya silaha za urusi.
Kama haya ninayoyasema sio kweli je walipeleka silaha dhaifu ili wa Ukraine wakafe? Na wapoteze miji Yao?
Ukweli walipeleka silaha Bora kabisa ili Urusi ishindwe waweze kutimiza malengo Yao ya kutokua na upinzani duniani.
Naamini waliweka vikwazo vingi na vigumu mno kwa Urusi ili Urusi ianguke kiuchumi,Sasa je vikwazo havijawaumiza wao zaidi?
Hivi ninavyoandika hapa Ukraine kiuhalisia imeshapoteza sehemu kubwa ya ardhi yenye utajiri mkubwa Sasa hapa kati ya Urusi na Ukraine nani anajuta?
Huyo Mkuu wa ujasusi wa Urusi uliemuweka hapo kimsingi alitakiwa afukuzwe kazi.
Urusi Sasa hivi inaheshimika Dunia kutokana na ilivyoweza kukabiliana na njama za nchi zote za west kijeshi,kiuchumi na kiushawishi.
Kwa kuongezea Urusi imeyanyakua Makoloni ya Mfaransa yaliyopo Afrika e.g Burkina Faso, Niger na Mali.
 
Strange. Rais wa Marekani (West) ndiye anayewakalisha chini Urusi (super power) na Ukraine wamalize vita. Special Operation haikutimia. Sasa sijui hiyo heshima ya dunia nzima inatoka wapi?
Ha ha haa nyie Pro UkraiNATO mmeteseka sana kwenye vita hii,mlivyotegemea imekua sivyo,mlidhani Ukuu wa Marekani ni kwa Kila mtu.
Sasa mnahamisha magoli na kusema kua Marekani (West) ndie kawakalisha Urusi na Ukraine ili waongee mkiamini huo ndio ukuu wa marekani.

Na Mimi nakuambia hivi,kama silaha walizochangishana Marekani na West zingefanikiwa kuishinda Urusi, Leo hii kusingekua na mazungumzo.

Kama vikwazo kwa umoja wa nchi zote za west vingeidhoofisha Urusi Leo hii kusingekua na mazungumzo.

Kama misaada ya ushauri,wanajeshi,intelligensia,wataalamu,wakufunzi, special forces,vifaa, satellite n.k kutoka NATO vyote hivyo alivyokua akipewa ukraine vingefanikiwa Leo hii kusingekua na mazungumzo.
Haya mazungumzo yamekuja baada ya kuona Ukraine Yao inaenda kupotea ndio wakaona mazungumzo yaje.

Hebu jiulize kwa Nini mazungumzo uatumike Leo hii wakati wamechangishana silaha nchi zote za west pamoja na huyo mpatanishi super power USA?

kwangu Mimi naona USA ni sehemu ya vita hii,na wameona wameishindwa Urusi kwa njia ya vita ,vikwazo na vinginevyo,Sasa wanasimamia mazungumzo ili kumaliza vita kuepuka aibu waliyoipata.

Au wewe uliataka mazungumzo ya amani awakalishe nani ?
Papa,Guterez,Dalai Lama,au Mfalme wa Saud Arabia?
 
Kwa kuongezea Urusi imeyanyakua Makoloni ya Mfaransa yaliyopo Afrika e.g Burkina Faso, Niger na Mali.
Ni kweli kabisa,na bado raia kadhaa wa nchi zenye migogoro Africa wamekua wakiinua Bendera za Urusi na mabango kutaka Urusi iingilie kati mizozo Yao badala ya nchi za west.
Wengi wanaona Urusi na Putin kama kimbilio lao.
 
Ha ha haa nyie Pro UkraiNATO mmeteseka sana kwenye vita hii,mlivyotegemea imekua sivyo,mlidhani Ukuu wa Marekani ni kwa Kila mtu.
Sasa mnahamisha magoli na kusema kua Marekani (West) ndie kawakalisha Urusi na Ukraine ili waongee mkiamini huo ndio ukuu wa marekani.

Na Mimi nakuambia hivi,kama silaha walizochangishana Marekani na West zingefanikiwa kuishinda Urusi, Leo hii kusingekua na mazungumzo.

Kama vikwazo kwa umoja wa nchi zote za west vingeidhoofisha Urusi Leo hii kusingekua na mazungumzo.

Kama misaada ya ushauri,wanajeshi,intelligensia,wataalamu,wakufunzi, special forces,vifaa, satellite n.k kutoka NATO vyote hivyo alivyokua akipewa ukraine vingefanikiwa Leo hii kusingekua na mazungumzo.
Haya mazungumzo yamekuja baada ya kuona Ukraine Yao inaenda kupotea ndio wakaona mazungumzo yaje.

Hebu jiulize kwa Nini mazungumzo uatumike Leo hii wakati wamechangishana silaha nchi zote za west pamoja na huyo mpatanishi super power USA?

kwangu Mimi naona USA ni sehemu ya vita hii,na wameona wameishindwa Urusi kwa njia ya vita ,vikwazo na vinginevyo,Sasa wanasimamia mazungumzo ili kumaliza vita kuepuka aibu waliyoipata.

Au wewe uliataka mazungumzo ya amani awakalishe nani ?
Papa,Guterez,Dalai Lama,au Mfalme wa Saud Arabia?
You’re damn right. Marekani ni mfadhili mkuu (sponsor) wa vita hii. Ni mjinga tu atakayeamini Ukraine wangeweza kupigana miaka mitatu bila msaada wa fedha na silaha wa Marekani. Sasa hivi hawatakuwa na uwezo tena baada ya kukosa msaada wa Marekani. Walio nao ni mtaji wa masikini jeuri (nguvu na ushujaa).

SUALA: inakuwaje Putin asubiri kauli ya Rais wa Marekani kukubali kusimamisha vita (kwa masharti yoyote yale). Yaani asiwachakaze maadui zake hadi wasalimu amri; asubiri kupatanishwa na hasimu wake mkubwa? Unaamini Marekani wanapofanya uharamia wao popote duniani wanaweza kupigiwa simu na Rais wa Russia ili kupatanishwa waache vita? Think hard.
 
Warusi wa buza mnafurahia negotiations as if deal done🤩

Inaonesha zelensinky amemkaba koo Putin kwelikweli.,mashabiki wake wanatamani Putin apate pumzi Sasa🏃
 
kp kipanya44 upo??

Bibie Enzo, Trump kweli angekuwa na Nia ya kweli kumsaidia Putin angeshamwondolea vikwazo vyote na kuzuia mtiririko wote wa silaha kutoka Washington kuelekea Kyiv.,

Au hauna habari kwamba silaha za marekani bado zinaendelea kumiminika Ukraine??

Unadhani trump Hana uwezo wa kuzizuia silaha za marekani zisiendelee kumiminika Ukraine?

Una habari kwamba Putin alimwomba Trump azuie kwanza usafirishaji wa silaha kuelekea Kyiv Jana, lakini aligomewa?!

Unadhani trump Hana uwezo wa kuiondolea vikwazo vikali urusi!? Anasubir nini?
Unadhani kwa nini trump hajapiga marufuku Ukraine kutumia silaha za marekani kushambulia Moscow?

Akili kumkichwa dada yangu 🏃🏃🏃
 
🇺🇸 Trump: The U.S. will continue supporting Ukraine; otherwise, “Putin would think he won.”

“We will continue sending aid to Ukraine; we just want to ensure our money is safe. If we don’t do this, Putin will say he has won. Everything depends on us. And we will go as far as necessary because we are not going to let things go another way,” Trump stated.
 
You’re damn right. Marekani ni mfadhili mkuu (sponsor) wa vita hii. Ni mjinga tu atakayeamini Ukraine wangeweza kupigana miaka mitatu bila msaada wa fedha na silaha wa Marekani. Sasa hivi hawatakuwa na uwezo tena baada ya kukosa msaada wa Marekani. Walio nao ni mtaji wa masikini jeuri (nguvu na ushujaa).

SUALA: inakuwaje Putin asubiri kauli ya Rais wa Marekani kukubali kusimamisha vita (kwa masharti yoyote yale). Yaani asiwachakaze maadui zake hadi wasalimu amri; asubiri kupatanishwa na hasimu wake mkubwa? Unaamini Marekani wanapofanya uharamia wao popote duniani wanaweza kupigiwa simu na Rais wa Russia ili kupatanishwa waache vita? Think hard.
Ni dhahiri hata Urusi mwenyewe alishachoshwa na hii vita
 
Huwa sijishughulishi na ramli. Nawaachia wenye karama hiyo.

Kikubwa ni Trump (USA) ndiye anayesikilizwa hapa. Ironic.
Kama unamwamini Trump, nakukumbusha alisema pia kwamba vita hivyo ni vya kijinga na havikupaswa kutokea, na visingetokea kama angekuwa madarakani.

Huo ndio msingi wake mkuu wa kumaliza mgogoro wa Ukreni na Russia.

Unajua maana yake? Maana yake ni kwamba Marekani na NATO wanapaswa kufikishwa ICC mara moja na kushtakiwa plus walipe fidia ya athari zote za vita.
 
Strange. Rais wa Marekani (West) ndiye anayewakalisha chini Urusi (super power) na Ukraine wamalize vita. Special Operation haikutimia. Sasa sijui hiyo heshima ya dunia nzima inatoka wapi?
Nakukumbusha: masharti ya upande wa NATO yalikuwa kwamba hakuna kuanza mazungumzo yoyote ya amani kwa ajili ya Ukreni bila Ukreni yote kurudi mikononi mwao.

Nini kimebadilika sasa? Mmesharudisha maeneo yenu yote?

Huoni kwamba Ukreni inatamani sasa ingekubali tu kutoingia kwenye vita ile 2022?

Wapi Boris Johnson na ubabe wake kwamba angeilinda Ukreni hadi mwisho? Wapi mzee Joe Biden???
 
🇺🇸 Trump: The U.S. will continue supporting Ukraine; otherwise, “Putin would think he won.”

“We will continue sending aid to Ukraine; we just want to ensure our money is safe. If we don’t do this, Putin will say he has won. Everything depends on us. And we will go as far as necessary because we are not going to let things go another way,” Trump stated.
Trump is asking to be repaid in rare metals worth USD 500B for USD 300B disbursed under Biden, what aid are you talking about!
 
SUALA: inakuwaje Putin asubiri kauli ya Rais wa Marekani kukubali kusimamisha vita (kwa masharti yoyote yale). Yaani asiwachakaze maadui zake hadi wasalimu amri; asubiri kupatanishwa na hasimu wake mkubwa? Unaamini Marekani wanapofanya uharamia wao popote duniani wanaweza kupigiwa simu na Rais wa Russia ili kupatanishwa waache vita? Think hard.
Jibu ni rahisi: haikuwa nia ya Urusi kupigana vita hivyo. Mbona unasahau kirahisi hivyo?

Kabla ya kuitifua Ukreni, aliwaita kwenye meza ya mazungumzo, ila wao wakaendelea kujazana ujinga na kukaza shingo.

Na kila wakati Putin amekuwa akisisitiza suala la kutatua mgogoro - lakini Zele kwa maelekezo na masponsa akadai hakuna mazungumzo bila ardhi yote kurudi mikononi mwao.

Hilo nalo gumu kuelewa? Aliyekuwa anataka vita ni NATO na Marekani - ili kuuza silaha zake, kujaribu silaha zake mpya kama Abrams, nk., usisahau pia zile maabara na biashara za viungo vya binadamu, kukomba rasilimali za Ukreni kama tuonavyo sasa, na pia kujaribu kuidhoofisha Urusi.

Mkuu, amka ulimwengu uko huku!
 
Na kila wakati Putin amekuwa akisisitiza suala la kutatua mgogoro - lakini Zele kwa maelekezo na masponsa akadai hakuna mazungumzo bila ardhi yote kurudi mikononi mwao.
Matokeo yake kaendelea kupoteza ardhi zaidi, na Trump kawaambia wasitegemee ardhi inayokaliwa na Urusi kurudishwa.

Asiyeuona ubabe wa Urusi hapo atakuwa na matatizo mazito kichwani.
 
Kuna namna nyingine West wanataka ku deal na Russia. Kumaliza vita na amani iwepo halafu kumuaminisha Putin kuwa mambo yamekaa sawa ikiwa ni pamoja na kutembeleana. Baadae tutasikia Putin anaumwa na kuanza kuipambania Afya yake kwa muda tu na itafikia kipindi hataweza kumudu shughuli za kuendesha serikali, kazi zitafanywa na waziri mkuu. Baadae Taifa litatangaziwa kuwa jamaa Mwendo kaumaliza. Russia 🇷🇺 itaingozwa na mtawala mwingine atakayekuwa na msimamo wa wastani.

WAYAHUDI NDIO WANAOIONGOZA MAREKANI NA MYAHUDI HAJAWAHI KUSHINDWA.
Mkuu Russia siyo kam Africa unavyo dhani kama unawakubali hao wayahudi kwann mpk sas wanahangaika na mateka Hamas
 
You’re damn right. Marekani ni mfadhili mkuu (sponsor) wa vita hii. Ni mjinga tu atakayeamini Ukraine wangeweza kupigana miaka mitatu bila msaada wa fedha na silaha wa Marekani. Sasa hivi hawatakuwa na uwezo tena baada ya kukosa msaada wa Marekani. Walio nao ni mtaji wa masikini jeuri (nguvu na ushujaa).

SUALA: inakuwaje Putin asubiri kauli ya Rais wa Marekani kukubali kusimamisha vita (kwa masharti yoyote yale). Yaani asiwachakaze maadui zake hadi wasalimu amri; asubiri kupatanishwa na hasimu wake mkubwa? Unaamini Marekani wanapofanya uharamia wao popote duniani wanaweza kupigiwa simu na Rais wa Russia ili kupatanishwa waache vita? Think hard.
Marekani kaona awahi achukue madi kabla eneo lenyewe halijachukuliwa na Urusi akala hasara. hivyo USA na Russia wameamua kugawana utajiri wa Ukraine
 
You’re damn right. Marekani ni mfadhili mkuu (sponsor) wa vita hii. Ni mjinga tu atakayeamini Ukraine wangeweza kupigana miaka mitatu bila msaada wa fedha na silaha wa Marekani. Sasa hivi hawatakuwa na uwezo tena baada ya kukosa msaada wa Marekani. Walio nao ni mtaji wa masikini jeuri (nguvu na ushujaa).

SUALA: inakuwaje Putin asubiri kauli ya Rais wa Marekani kukubali kusimamisha vita (kwa masharti yoyote yale). Yaani asiwachakaze maadui zake hadi wasalimu amri; asubiri kupatanishwa na hasimu wake mkubwa? Unaamini Marekani wanapofanya uharamia wao popote duniani wanaweza kupigiwa simu na Rais wa Russia ili kupatanishwa waache vita? Think hard.
Nashukuru Jasmon Tegga amejibu kwenye komenti namba 146134
 
🇺🇸 Trump: The U.S. will continue supporting Ukraine; otherwise, “Putin would think he won.”

“We will continue sending aid to Ukraine; we just want to ensure our money is safe. If we don’t do this, Putin will say he has won. Everything depends on us. And we will go as far as necessary because we are not going to let things go another way,” Trump stated.
Hiyo Lugha umeielewa? Trump anataka kurudisha pesa za walipa kodi wa US. hivyo anajukumu la kulinda ile mogodi aliyoahidiwa kupewa kama fidia au malipo ya msaada
 
Back
Top Bottom