Msambaa mkweli
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 338
- 427
Wanaume wa Dunia wamekaa meza Moja kumaliza vita Ukraine na jinsi ya kugawana madini ya Ukraine huku EU na Ukraine wakiwa hawapo.
View: https://x.com/RT_com/status/1891753285918294149?s=19
The adults are in Riyadh after the kids played in Paris. Dunia inaenda speed sana... Ura.