Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Ongeza: Mobutu Seseko, Robert Mugabe, Jean-Bédel Bokassa (Central African Republic), Sani Abacha (Nigeria), Charles Taylor wa Liberia (yuko jela Uingereza akitumikia kifungo cha miaka 50!), nk.
Mkuu, ukisema kuikomoa Ukraine, unamaanisha nani hasa? Je, ni bilionea Zelensky au raia waliokimbia nchi yao? Au unazungumzia rasilimali zao?Nadhani kinachoendelea ni Ukraine kukomolewa kwa kukataa kipindi kile kushirikiana na Trump ku expose biashara za kihuni walizonazo familia ya Biden nchini mwao.
Jamaa ni wepesi sana wa kusahau!!Mambo hua yanazunguka,Kuna wakati wa west walikua wanajidadi kuzungumzia amani ya Ukraine bila Urusi kuwepo.
Sasa ni zamu ya mazungumzo ya amani ya Ukraine bila Ukraine kuwepo😄😄😄😃😃😃
Zelensky bado mdogo na bado ajifunza hii michezo ya kidiplomasia. Tena si yeye tu hata wengine akina Macron bado hawajakomaa.Jamaa ni wepesi sana wa kusahau!!
Wamesahau ule mkutano aliitisha Zelensky ukafanyikia Uswisi juzi tu na akawa anaulizwa kwanini hakuwaalika Urusi akawa anasema wataalikwa mikutano ya baadae sana tena sio kusikiliza hoja zao ila ni kupewa maazimio/ ultimatums kwa ajili ya utekelezaji 😭😭😭😭
Maisha haya, hakika usinene ukamala!!
Ndo maana nchi hizi mbili kubwa duniani Superpowers Marekani na Russia wameamua kujirudi kwenye sense na kurudisha mahusiano yao kama zamani.Trump responds after Ukraine not invited to Russia talks
Someone has just asked Donald Trump to respond to Ukrainians who may be disappointed that officials from their country were not invited to peace talks.
"They've had a seat for three years and a long time before that," responded Trump.
"This could have been settled very easily. Just a half-baked negotiator could have settled this years ago without, I think, the loss of much land and without the loss of any lives and without the loss of cities that are just laying on their side."
Trump said he could have "made a deal" for Ukraine if he were US president when the war broke out.
"I could have made a deal for Ukraine that would have given them almost all of the land," he said.
"Everything, almost all of the land. And no people would have been killed and no city would have been demolished."
===========================
Huyu mzee wako baadhi ya watu wanamuona hamnazo ila ukimsikiliza with a free mind utagundua anaongeaga sense sana.
Na yupo sahihi sana, kwanini Ukraine hawakumalizaga vita kipindi kile kile cha Istanbul? Wangeokoa roho nyingi sana, maeneo, jeshi, uchumi na muda, kifupi wangeiokoa "nchi" yao.
Sasa kweli Urusi amemwaga damu kiasi gani, amewekewa vikwazo kiasi gani, amepoteza vifaa kiasi gani vya kijeshi, nguvukazi kiasi gani amepoteza kupata maeneo aliyoyapata ya Ukraine halafu leo kweli umwambie akurudishie kila kitu kwenye meza ya mazungumzo, hata sio ubinadamu kabisa!!
Kwanza huyo Putin akikubali kitu kama hiko Warusi watamtafuna mzima mzima.
Viherehere wengine wote kama hawatapata somo hapa, hawatojifunza tena mpaka nao yawakute.
Bila shaka kuna mapito anaweza kupitia mtu yakawa kama kitabu chako cha kujifunzia 😁Revealed: Trump’s confidential plan to put Ukraine in a stranglehold
Panic in Kyiv as US president demands higher share of GDP than Germany’s First World War reparations.
=================
Kama Taiwan wana akili walau hata ya kuvukia barabara, watasali sana, wataomba na kufunga kumshukuru Mungu kwa kuwaonesha majibu yote ya mtihani wanaotegemea kufanya very soon.
Maanina Zelensky!!
============================
Narudia tena kuwasisitiza Taiwan, hawatopata ishara nyingine zaidi ya hii!!!
Tena ukizingatia Trump na Putin wame piga marufuku ushoga kuwa tunu nchini mwao.....sasa huyo Zelensky ni shoga trump na putin wanaona kukaa nalo kwenye mazungumzo ni nuksiNdo maana nchi hizi mbili kubwa duniani Superpowers Marekani na Russia wameamua kujirudi kwenye sense na kurudisha mahusiano yao kama zamani.
Mahusiano ya kidiplomasia, biashara na mengine mengi tu kama ujasusi yote yalivurugwa na njia za mawasiliano kuvunjwa, walikuwa hawapigiani hata simu ilibakia ile ya 'red Line".
Hivyo waanza upya wateue mabalozi na maofisa kadhaa kisha baadae ndo waanze mazungumzo rasmi.
Trump na Putin awapendi kuzungumza na choko mezani wanatamani uchaguzi ufanyike ukrain hili apatikana mtu sahihi wa kukaa naye mezani.Oya hutakiwi kabisa!Jamaa anapitia kipindi kigumu sana!
Trump hints Ukraine election may be needed for peace
Wednesday 19 February 2025 00:23, UK
Trump hints Ukraine election may be needed for peace - as he addresses Kyiv being left out of Russia talks
The US president says he was more confident of a "peace deal" after Tuesday's talks in Saudi Arabia, in which Russian and American officials also agreed to explore closer relations and economic cooperation.news.sky.com
View: https://x.com/worldupdates245/status/1891946489494241728
We nawe!Kuna njia nyingi za kumaliza vita na kupata ushindi. Nadhani west wanataka kumvuta Putin wampe ugonjwa . Ipo siku tutatangaziwa kuwa Putin ni mgonjwa mahututi. Ni suala la muda tu.
Ha ha haa nakumbuka aisee!Jamaa ni wepesi sana wa kusahau!!
Wamesahau ule mkutano aliitisha Zelensky ukafanyikia Uswisi juzi tu na akawa anaulizwa kwanini hakuwaalika Urusi akawa anasema wataalikwa mikutano ya baadae sana tena sio kusikiliza hoja zao ila ni kupewa maazimio/ ultimatums kwa ajili ya utekelezaji 😭😭😭😭
Maisha haya, hakika usinene ukamala!!