maana yake hii vita bado tunayo, mwenye nguvu ndiye atakayeibuka kidedea, anayesubiria meza ya mazungumzo ndio imuokoe kazi kwake
Maskini kipanya44 na Ukraine wamebakiza propaganda za The Kiev independent na mapambio ya tutazidi kuwachinja.Of course warusi wanazidi kulambishwa mchanga 🥱🥱View attachment 3242523
Pole umeamia huku...! Report za front line hazipatikani tena......
Uholanzi imeishaanza kufuata nyayo.atashawishika kufata mkondo huo
Russia wana akili nyingi sana! Na utulivu wao ni hatali zaidi. Hawana haraka kwenye jambo lao, wanakupa tahadhari kabisa ili usije kuwalaumu!USA kuliko mwenzao urusi, wanawaogopa mno
ndo sijui hata walitutawala vip haya manguruwe akili kisodaKwenye hili la kulipua Nord stream 2 Germany sijui walifikiria nn? Walijua wanaikomoa Russia, ikawarudi kuharibu uchumi wao na kansela wao amechomolewa madarakani sababu kubwa ikiwa ni kudorora kwa uchumi hasa wa viwanda kulikosababishwa na uharibifu wa Nord stream 2
Sijui kwanini huwa tunawaona wanasiasa wa ulaya ni ma-genius? Huu ujinga angeufanya kiongozi wa Afrika ndio ungekuwa mfano majukwaani
Leo naona mmevurugwa baada ya kusikia zelensinky anatinga Washington Friday 🤩😍🤩😍Yes
ndo sijui hata walitutawala vip haya manguruwe akili kisoda
Hii ni kweli,Kuna watu wanajua kuangalia Mambo kwa jicho la tatu🏃🏃🤩😍ndani ya wiki mbili hizi, baadhi ya Pro Ukraine na Pro Russia kwa pamoja wamedandia gari wasiojua muelekeo wake.