Amini usiamini, Zelenskyy ana mabwana wawili Marekani - bwana wa kwanza ni yule aliyemwambia apigane vita na Russia, bwana wa pili ni huyu anayemwambia asitishe vita mara moja.Trump ni mpuuzi kashindwa kumconvince Zele achukue madini anaanza kupiga mkwara.
Jana naona Trump kakumbushia issue ya Hunter Biden na namna Zelensky allivyogoma ku disclose dili chafu alizozifanya jamaa. Nadhani Trump ana kinyongo na kaka yake kipanyaNadhani kinachoendelea ni Ukraine kukomolewa kwa kukataa kipindi kile kushirikiana na Trump ku expose biashara za kihuni walizonazo familia ya Biden nchini mwao.
Asee wazungu wa ulaya wamechanganyikiwa. Kila mcjambuzi anatamani EU ifanye maamuzi ya kujitenga na US jana.No US,no NATO, no NATO,no Europe get that?
Ha ha haa,Kunaijitu huko Moscow Ina hasira kama Mkuu Hammaz,inamuona Putin anawalea mno wa Yukrein.halicheki na wowote.Kuna limoja huko huko MOSCOW lilishauri SOYUZ ijazwe milipuko ya kutosha ishushwe hapo KIEV
Ha ha haaTulia wewe 🤣🤣🤣
Situlikuwa tuna waonya lakini hawakuwa wakielewa
Ha ha ha haaKwa kilichotokea jana, Kipanya anarudi zake kwenye shimo lake tunaweza tusimuone tena jukwaani kwa siku zijazo
Huko MOSCOW kuna vichwa tenge vikipewa urais dunia itachafukaHa ha haa,Kunaijitu huko Moscow Ina hasira kama Mkuu Hammaz,inamuona Putin anawalea mno wa Yukrein.haocheki na wowote.
Hata mwehu akimcholoza tembo, na tembo akakasirika atakimbia hata kabla ya kuambiwa akimbieBaada ya kumuona zelensinky whitehouse,ndio nimejua kwa nini zelensinky aliambiwa akimbie nchi mwanzoni mwa uvamizi lakini akasema ..,staki safari,nataka silaha
Mkuu yule wa kwanza si kaisha ondoka madarakani au kuna mwingine?Amini usiamini, Zelenskyy ana mabwana wawili Marekani - bwana wa kwanza ni yule aliyemwambia apigane vita na Russia, bwana wa pili ni huyu anayemwambia asitishe vita mara moja.
Hawa wawili wako active na wanampa pressure kubwa sana jamaa hadi anashindwa ashike lipi, aache lipi.
This is always the price of being a puppet state.
Mkuu fafanua kidogoBaada ya kumuona zelensinky whitehouse,ndio nimejua kwa nini zelensinky aliambiwa akimbie nchi mwanzoni mwa uvamizi lakini akasema ..,staki safari,nataka silaha
Hahahahah, na alivotaja hilo tu naona mashetani ya Trump ndo yakapanda mazima.Vance kachomekea eti Zele Oktoba mwaka jana alikwenda US akasaidia kampeni ya Kamala. Nadhani hii ndio chanzo cha hasira zao kwa Zele.
Walijua bado ni makelele ya biden kuwa kamwe hawezi kubali urusi ishindeUkraine ni wajinga sana,hawakuweza kusoma alama za nyakati kua utawala wa USA hubadilika Kila baada ya miaka minne?
Wao walijiona kama Jimbo la USA nje ya Amerika wakapigana na jirani Yao Kwa jasho na damu ili kuwafurahisha wamarekani.
Leo kaja rais mwingine USA Hana interest na vita hiyo.
Zelensky mara kadhaa alikua anasema nikopesheni silaha Ili nipogane na Urusi,hapa aliongea vivyo ili kuwafurahisha USA,Sasa Leo hii USA wanadai Pesa Yao anaanza kulalamika.Alipe bana.
enzi hizo anajiombea TU masilaha.
Zelenskyy urges Ukraine allies to allow long-range weapons use in Russia
Ukrainian president seeks to rally more support at meeting of key backers as the United States pledges an additional $250m in aid.
Published On 6 Sep 2024
6 Sep 2024
President Volodymyr Zelenskyy has urged his Western allies to allow Ukraine to use long-range missiles to hit targets inside Russia and increase pressure on Moscow to end the war.
“We need to have this long-range capability, not only on the divided territory of Ukraine, but also on the Russian territory, so that Russia is motivated to seek peace,” Zelenskyy said on Friday at a meeting of the Ukraine Defence Contact Group (UDCG) at Germany’s Ramstein Air Base.
“We need to make Russian cities and even Russian soldiers think about what they need: peace or [Russian President Vladimir] Putin.”
Alibakia baada ya waziri mkuu wa Israel kuongea na Putin akamuomba Putin amhakikishie kwamba hatomuua Zelensky, baada ya Putin kutoa hiyo commitment ndio Zelensky akaanza kiburi kwasababu anajua Putin ni mtu wa kuheshimu kauli.Baada ya kumuona zelensinky whitehouse,ndio nimejua kwa nini zelensinky aliambiwa akimbie nchi mwanzoni mwa uvamizi lakini akasema ..,staki safari,nataka silaha
Usisahu iranNchi huru hapa duniani ni US,RUSSIA ,CHINA NA NORTH KOREA BASI
Obviously Zelenskyy bado anampenda yule wa kwanza - na ndiye anamjaza upepo na maujinga anayoonesha sasa.Mkuu yule wa kwanza si kaisha ondoka madarakani au kuna mwingine?
Huyu wa sasa ndio kichaa anampeleka puta sana.
Zelensinky ni jasiri haswa,kwa Jinsi anavomvimbia Putin..,na kwa Jinsi alivowavimbia Trump na makamu wake hapo Jana inaonesha kabisa jamaa Hana chochote Cha kumtisha chini ya jua🏃🏃Mkuu fafanua kidogo