LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
JD ni mchonganishi sana, ukiangalia kiundani yeye ndo kama amesababisha hii vita ya leo, Trump kama alikua na staha fulani ya kiutu uzima ila Vance alikua anajitahidi sana kumchokonoa Zelensky mpaka nae busara ikamshinda akaamua kuanza kuropoka, na upande wa pili alijua kabisa kuna vitu akiongea lazima mashetani ya bosi wake yapande.

Unaweza sema walipanga makusudi kuionesha dunia Zelensky ni mtu wa aina gani make kete zilikua zinasukumwa kwa akili nyingi si mchezo.
🤣🤣🤣🤣

Umejua kunichekesha.
 
Alibakia baada ya waziri mkuu wa Israel kuongea na Putin akamuomba Putin amhakikishie kwamba hatomuua Zelensky, baada ya Putin kutoa hiyo commitment ndio Zelensky akaanza kiburi kwasababu anajua Putin ni mtu wa kuheshimu kauli.
Huu ni mwendelezo wa propaganda,mithili ya zile zinazodai urusi aliondoka Kiev Ili kuonesha Nia njema.., kumbe alipewa kipondo akakimbia 🏃🏃
 
Unachosema Mkuu Hammaz ni kweli Kuna watu au vi nchi vinakera,lkn nahisi ni undugu TU baina ya watu wa Urusi na ukraine ndio umeepusha haya maaangamizi.
Sio wewe TU unaona hivyo,
Kuna mijitu huko Moscow ilikua inampa Presha Putin achukue maamuzi kama Yako, nadhani nafasi ikawa inamsuta kuua halaiki ya watu Kwa mara moja sio jambo Dogo.
Kuna Li Bunge limoja huko Urusi liliwahi kumwambia Putin apige makombora kwenye makambi ya NATO huko Ulaya kwa sababu ndio wanampa kiburi Ukraine.
Sasa hebu fikiria jitu kama hilo ndio lingekua li Rais la Urusi.
Watu wengi humu walikua wanabisha kua Urusi inaidekeza Ukraine lakini Trump kapasua jipu kama tulivyokua tunawaambia kua Urusi inaipiga Ukraine Kwa huruma,ingeamua siku nyingi Kiev ingeshapotea,na Jana kasema bila wao USA siku nyingi Ukraine ingeshaangukia mikononi mwa Urusi.
Hakuna huruma kwenye vita, Urusi hata yeye anahofia "retaliation" itakayofanywa kwake its either akubali moja apige Ukraine apoteze sehemu kubwa ya uchumi wake
 
Ukraine ni wajinga sana,hawakuweza kusoma alama za nyakati kua utawala wa USA hubadilika Kila baada ya miaka minne?
Wao walijiona kama Jimbo la USA nje ya Amerika wakapigana na jirani Yao Kwa jasho na damu ili kuwafurahisha wamarekani.
Leo kaja rais mwingine USA Hana interest na vita hiyo.

Ajabu ni kuwa na nyinyi Leo mnaendeleza huo ujinga kwa kufurahishwa na trump😍🤩

Mnaweza kuona miaka 4 mingi lakini mambo yanaweza kwenda hivihivi mpaka muhula wa Trump ukaisha kisha akaja kiongozi mwingine pro-kyiv haswa,nani alitegemea Biden ataondoka Whitehouse na kuacha vita hii ikiendelea!?., nadhani hakuna binadam wa kawaida alitegemea hili!
 
Ajabu ni kuwa na nyinyi Leo mnaendeleza huo ujinga kwa kufurahishwa na trump😍🤩

Mnaweza kuona miaka 4 mingi lakini mambo yanaweza kwenda hivihivi mpaka muhula wa Trump ukaisha kisha akaja kiongozi mwingine pro-kyiv haswa,nani alitegemea Biden ataondoka Whitehouse na kuacha vita hii ikiendelea!?., nadhani hakuna binadam wa kawaida alitegemea hili! Ikuumbukwe hii vita ni ya kuanzia mwaka 2014🏃🏃🏃🏃
 
Amini usiamini, Zelenskyy ana mabwana wawili Marekani - bwana wa kwanza ni yule aliyemwambia apigane vita na Russia, bwana wa pili ni huyu anayemwambia asitishe vita mara moja.

Hawa wawili wako active na wanampa pressure kubwa sana jamaa hadi anashindwa ashike lipi, aache lipi.

This is always the price of being a puppet state.
Dah andiko hili Lina ubunifu mkubwa. Sana,maneno machache TU lkn mazitoo mno.
 
Ajabu ni kuwa na nyinyi Leo mnaendeleza huo ujinga kwa kufurahishwa na trump😍🤩

Mnaweza kuona miaka 4 mingi lakini mambo yanaweza kwenda hivihivi mpaka muhula wa Trump ukaisha kisha akaja kiongozi mwingine pro-kyiv haswa,nani alitegemea Biden ataondoka Whitehouse na kuacha vita hii ikiendelea!?., nadhani hakuna binadam wa kawaida alitegemea hili!
Trump amekua ni Kwa faida ya zelensky na Ukraine yake.
Wala Trump Hana msaada wowote kwa Urusi.
Urusi haisumbuliwi na binadamu yoyote wa USA atakae kua Rais wa USA.
Urusi imeweza kuwafanyia ujeuri Marais wote wa USA tokea Putin akiwa madarakani.

Tuachane na habari za zamani USSR ilipozivamia chekoslovakia na Afghanistan.
Tuangalie Putin TU alivyowatesa Marais wanne wa USA.

Urusi iliipiga Georgia na kukomboa majimbo ya Southern Ossetia na Abkhazia bush akiwa Rais.

Urusi ilichukua Crimea Obama akiwa Rais.

Urusi inaipiga Ukraine na imechukua Donbas Biden akiwa Rais.

Urusi inaendelea kuipiga Ukraine na kuchukua maeneo zaidi Trump akiwa Rais.

Tumsubiri nani aje kua Rais wa USA ndio ataidhibiti Urusi labda.?
Tuambie.
 
Trump amekua ni Kwa faida ya zelensky na Ukraine yake.
Wala Trump Hana msaada wowote kwa Urusi.
Urusi haisumbuliwi na binadamu yoyote wa USA atakae kua Rais wa USA.
Urusi imeweza kuwafanyia ujeuri Marais wote wa USA tokea Putin akiwa madarakani.

Tuachane na habari za zamani USSR ilipozivamia chekoslovakia na Afghanistan.
Tuangalie Putin TU alivyowatesa Marais wanne wa USA.

Urusi iliipiga Georgia na kukomboa majimbo ya Southern Ossetia na Abkhazia bush akiwa Rais.

Urusi ilichukua Crimea Obama akiwa Rais.

Urusi inaipiga Ukraine na imechukua Donbas Biden akiwa Rais.

Urusi inaendelea kuipiga Ukraine na kuchukua maeneo zaidi Trump akiwa Rais.

Tumsubiri nani aje kua Rais wa USA ndio ataidhibiti Urusi labda.?
Tuambie.
Ndoto ya Putin ilikuwa ni kuiteka Ukraine ndani ya siku 3..,kama ulingalia mkutano kati ya zelensinky na trump wote wakikubaliana katika hili,Tena Trump alienda mbele zaidi na kusema huenda hata siku 3 zisingefika😁😁

Hivyo mpaka hapa Putin kafeli.., kutoka kuiteka Ukraine ndani ya siku 3 mpaka mwaka wa 4 Sasa🏃🏃
 
Uzuri pamoja na Trump kuwakingia kifua wanazidi kuchinjwa tu 🥱 🥱 🥱
1740834302422.jpg
 
TAIWAN nawaita tena.

Pataneni na ndugu yenu muwe kitu kimoja.

Xi akimuhakikishia tu Trump atarudi kuwekeza Marekani biashara ya microchips ambayo Trump anailalamikia Taiwan mpaka leo na wakaweka sawa mambo mengine kadhaa kati yao mtaenda na maji hamtakaa muamini.

Pataneni muishi kwa umoja.

Hamtopata ishara nyingine zaidi ya hii.
Oia Philippines wasome upepo vyema, wauelewe
 
Ndoto ya Putin ilikuwa ni kuiteka Ukraine ndani ya siku 3..,kama ulingalia mkutano kati ya zelensinky na trump wote wakikubaliana katika hili,Tena Trump alienda mbele zaidi na kusema huenda hata siku 3 zisingefika😁😁

Hivyo mpaka hapa Putin kafeli.., kutoka kuiteka Ukraine ndani ya siku 3 mpaka mwaka wa 4 Sasa🏃🏃
Kwenye hii vita Zelensky amefaulu sana kwa kupoteza zaidi ya 20% ya nchi yake na amefaulu sana kwa kupoteza rasilimali zilizoko Donbas na soon anaenda kufaulu kwa kupoteza madini yaliko kwenye maeneo ya Ukraine yaliyobaki chini ya Ukraine
 
Ndoto ya Putin ilikuwa ni kuiteka Ukraine ndani ya siku 3..,kama ulingalia mkutano kati ya zelensinky na trump wote wakikubaliana katika hili,Tena Trump alienda mbele zaidi na kusema huenda hata siku 3 zisingefika😁😁

Hivyo mpaka hapa Putin kafeli.., kutoka kuiteka Ukraine ndani ya siku 3 mpaka mwaka wa 4 Sasa🏃🏃
Kumbe wewe ni msomaji wa ndoto.
Basi na Mimi nasoma ndoto ya NATO kua walidhani wataishinda Urusi kupitia Ukraine Kwa kushirikiana Mataifa 59 kijeshi na kivikwazo lakini matokeo yake wamameamua kuungana na Urusi.
Sasa kama Ukraine ni mwamba apigane peke yake bila USA.
Hata Trump Jana kasema Ukraine bila USA Putin angeshaichukua Kiev mapema TU.
Lakini Sasa Urusi ni ya nne kiuchumi.
Haya leta ndoto nyingine nami nije na nyingine.
 
Kwenye hii vita Zelensky amefaulu sana kwa kupoteza zaidi ya 20% ya nchi yake na amefaulu sana kwa kupoteza rasilimali zilizoko Donbas na soon anaenda kufaulu kwa kupoteza madini yaliko kwenye maeneo ya Ukraine yaliyobaki chini ya Ukraine

Umemjibu vizuri sana ,wajinga kama hao ndio wanatakiwa kujibiwa namna hiyo.
 
Back
Top Bottom