LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Watamsisitizia Zele arudi kwa Trump kichwa chini na asikilize kile atachoambiwa na kusaini mkataba wa madini.
Akirudi tena kwa Trump kumpigia magoti (something to be expected), basi naamini hao jamaa wanacheza na script kwenye movie iliyokwishaandaliwa.

Mengine yote ni changa la macho, kutupumbaza, kupitisha muda na kupima joto la wakereketwa kama akina kp kipanya44 .

Zelenskyy yumo kwenye mfumo na ndiye asset namba moja wa CIA huko Ukreni - anafuata anachoambiwa na mabwanyenye zake.

Njia pekee ya kutamatisha vita vya Ukreni ni kumpatia Urusi anachotaka, huku Marekani na NATO wakipata kifuta-jasho cha sehemu ya mgao wa madini ya Ukreni.

Kama Ukreni hatojiunga na NATO kamwe, Putin atake nini kingine wakati zaidi ya 25% ya ardhi na mali ya Ukreni iko mikononi mwake?

Trump anamkomalia Ukreni kwenye madini ili kujiliwaza kutokana na Marekani kushindwa vita hivyo.

Hii ina maana kwamba kama Ukreni angeshinda, basi Marekani angepakalia hapo Ukreni kama bosi mpya!

So far, kila kitu kinaenda kulingana na mpango wao. Russia is overjoyed, Trump is happy, NATO is relatively okay, Ukraine cool and is about to be snatched from complete extermination, and the world safer once again!
 
Akirudi tena kwa Trump kumpigia magoti (something to be expected), naamini hao jamaa wanacheza na script kwenye movie iliyokwishaandaliwa.

Mengine yote ni changa la macho, kutupumbaza, kupitisha muda na kupima joto la wakereketwa kama akina kp kipanya44 .

Zelenskyy yumo kwenye mfumo na ndiye asset namba moja wa CIA huko Ukreni - anafuata anachoambiwa na mabwanyenye zake.

Njia pekee ya kutamatisha vita vya Ukreni ni kumpatia Urusi anachotaka, huku Marekani na NATO wakipata kifuta-jasho cha sehemu ya mgao wa madini ya Ukreni.

Kama Ukreni hatojiunga na NATO kamwe, Putin atake nini kingine wakati zaidi ya 25% ya ardhi na mali ya Ukreni iko mikononi mwake?

Trump anamkomalia Ukreni kwenye madini ili kujiliwaza kutokana na Marekani kushindwa vita hivyo.

Hii ina maana kwamba kama Ukreni angeshinda, basi Marekani angepakalia hapo Ukreni kama bosi mpya!

So far, kila kitu kinaenda kulingana na mpango wao. Russia is overjoyed, Trump is happy, NATO is relatively okay, Ukraine is cool and saved from complete extermination and the world is safe once again!
Upo sahihi 100% ni script iliandikwa miaka mingi tangu 1991 USSR ivunjwe na kisha Russia nayo imalizwe kabisa.

Huu mpango waendelea kufeli na Marekani khasa lengo lao ni kuitawala Dunia nzima ili kuizuia China kufanya hivyo na si Russia.

Kuna mengi ya kujifunza hapo kwa wale wanozungumzia huu mgogoro wa Ukraine na si kushabikia bila kuchambua kwa makini maana wahusu Dunia nzima ambayo yaathirika na mgogoro huu.

Ukikumbuka mazungumzo kati ya Trump na Macron wiki ilopita Trump alisema nanukuu "We must have an agreement with Ukraine on critical minerals and rare earths,". Yaani lazima tuwe na makubaliano juu ya madini muhimu ya Ukraine. Macron nae akasema nchi kubwa za Ulaya yaani European Superpowers wameipatia Ukraine msaada ambao uko katika mfumo wa ufadhili, mkopo, na mkopo wenye dhamana, ambao namnukuu Macron akisema, "which are likewise to be recouped—one way or another" yaani itarudishwa kwa njia moja au ingine.

Hapo kwenye mkopo wenye dhamana ni mabadilishano ya "security guarantees" na "natural resources" ambazo nimezitaja hapo juu nilioongelea madini wanoyahitaji hawa "EU superpowers".

Hii ni aina ingine ya "Scramble for Africa" kugombania rasilimali lakini ni jambo linofanyikia kwenye bara lao wenyewe la Ulaya.

Hivyo Zele jana jinsi ni kutafuta "balance" ya kusaini mkataba na Trump na kusuluhisha mgogoro na Russia au kuwasikiliza NATO ambao usalama wao kiuchumi na kirasilimali uko mashakani endapo vita itaisha na Russia atakuwa mshindi kwa kuchukua asilimia karibu 25 ya Ukraine yenye rasilimali zote muhimu kupatikana Duniani.

Kwa watu kama sie ambae tumekuwa tukiungalia huu mgogoro na kuelewa "inner insights" bila kueleza sana twatambua kuwa hapo mlengwa ni bara la Ulaya na uchumi wake na kwamba Russia kwa kipindi chote cha mgogoro uchumi wake umeimarika na haujatetereka sana ukizingatia ingekuwa ni nchi ingine legelege. Pia asilimia kubwa ya rasilimali wanozitaka hawa wa West zote zipo kwenye maeneo yote ambayo Russia ameyachukua.

Pia hii yaonyesha kuwa Ukraine sasa matumizi yake yameisha na bara la Ulaya kwa kukosa rasilimali walozitaka imewalazimu kutumia neno tishio la Russia kusema wakata fedha za ndani na zile za misaada ya kimandeleo ili kupeleka fedha hizo kwenye bajeti ya ulinzi.

Hivyo tungoje kusikia maamuzi ya Security Summit ya leo pale London, mie nasubiria hapa Kibaigwa.

Kuna mengi ya kujifunza kwenye mgogoro huu.
 
Upo sahihi 100% ni script iliandikwa miaka mingi tangu 1991 USSR ivunjwe na kisha Russia nayo imalizwe kabisa.

Huu mpango waendelea kufeli na Marekani khasa lengo lao ni kuitawala Dunia nzima ili kuizuia China kufanya hivyo na si Russia.

Kuna mengi ya kujifunza hapo kwa wale wanozungumzia huu mgogoro wa Ukraine na si kushabikia bila kuchambua kwa makini maana wahusu Dunia nzima ambayo yaathirika na mgogoro huu.

Ukikumbuka mazungumzo kati ya Trump na Macron wiki ilopita Trump alisema nanukuu "We must have an agreement with Ukraine on critical minerals and rare earths,". Yaani lazima tuwe na makubaliano juu ya madini muhimu ya Ukraine. Macron nae akasema nchi kubwa za Ulaya yaani European Superpowers wameipatia Ukraine msaada ambao uko katika mfumo wa ufadhili, mkopo, na mkopo wenye dhamana, ambao namnukuu Macron akisema, "which are likewise to be recouped—one way or another" yaani itarudishwa kwa njia moja au ingine.

Hapo kwenye mkopo wenye dhamana ni mabadilishano ya "security guarantees" na "natural resources" ambazo nimezitaja hapo juu nilioongelea madini wanoyahitaji hawa "EU superpowers".

Hii ni aina ingine ya "Scramble for Africa" kugombania rasilimali lakini ni jambo linofanyikia kwenye bara lao wenyewe la Ulaya.

Hivyo Zele jana jinsi ni kutafuta "balance" ya kusaini mkataba na Trump na kusuluhisha mgogoro na Russia au kuwasikiliza NATO ambao usalama wao kiuchumi na kirasilimali uko mashakani endapo vita itaisha na Russia atakuwa mshindi kwa kuchukua asilimia karibu 25 ya Ukraine yenye rasilimali zote muhimu kupatikana Duniani.

Kwa watu kama sie ambae tumekuwa tukiungalia huu mgogoro na kuelewa "inner insights" bila kueleza sana twatambua kuwa hapo mlengwa ni bara la Ulaya na uchumi wake na kwamba Russia kwa kipindi chote cha mgogoro uchumi wake umeimarika na haujatetereka sana ukizingatia ingekuwa ni nchi ingine legelege. Pia asilimia kubwa ya rasilimali wanozitaka hawa wa West zote zipo kwenye maeneo yote ambayo Russia ameyachukua.

Pia hii yaonyesha kuwa Ukraine sasa matumizi yake yameisha na bara la Ulaya kwa kukosa rasilimali walozitaka imewalazimu kutumia neno tishio la Russia kusema wakata fedha za ndani na zile za misaada ya kimandeleo ili kupeleka fedha hizo kwenye bajeti ya ulinzi.

Hivyo tungoje kusikia maamuzi ya Security Summit ya leo pale London, mie nasubiria hapa Kibaigwa.

Kuna mengi ya kujifunza kwenye mgogoro huu.
Ukiishusha hii habari ya kilichojiri Summit ya London nitag tafadhali!
 
Ukiishusha hii habari ya kilichojiri Summit ya London nitag tafadhali!
Dokezo ni kwamba watamwambia Zele arudi kwa Trump na mpango watokubaliana wao yaani UK, France na Zele.

Lakini mpango huo kama utahusu kupeleka majeshi yao Ukraine "peacekeeping force" utabuma kwani Russia tayari wamepinga jambo hilo.

Majasusi wa Russia wameishasoma picha kwamba ikiwa majeshi hayo ya NATO yataingia Ukraine na kuweka mitambo yatakuwa karibu kabisa na Russia na pia endapo mmoja ataanza uchokozi basi kile kipengele cha Article 5 cha NATO kwamba mmoja akishambuliwa wote wataingia kitakuwa activated, hivyo wote kuwa karibu zaidi kumshambulia Russia kwa pamoja.

Hivyo bado tusubiri kitachojiri kwenye hii security summit.
 
Dokezo ni kwamba watamwambia Zele arudi kwa Trump na mpango watokubaliana wao yaani UK, France na Zele.

Lakini mpango huo kama utahusu kupeleka majeshi yao Ukraine "peacekeeping force" utabuma kwani Russia tayari wamepinga jambo hilo.

Majasusi wa Russia wameishasoma picha kwamba ikiwa majeshi hayo ya NATO yataingia Ukraine na kuweka mitambo yatakuwa karibu kabisa na Russia na pia endapo mmoja ataanza uchokozi basi kile kipengele cha Article 5 cha NATO kwamba mmoja akishambuliwa wote wataingia kitakuwa activated, hivyo wote kuwa karibu zaidi kumshambulia Russia kwa pamoja.

Hivyo bado tusubiri kitachojiri kwenye hii security summit.
Pengine kuna kitu nakikosa kuelewa!

Kwa nini Russia asimalize mchezo ili hizi sarakasi zote ziishe?

Kwa nini anafanya maamuzi ambayo ni kama yanawapa fursa na kuwafungulua mlango mwengine maadui zake na mfano mzuri ni kama hapo juu maelezo uliyoyaelezea.

Kwa nini asimalize mchezo? Kwa nini anacheza mchezo ambao unahatarisha usalama wake wakati uwezo anao?
 
Pengine kuna kitu nakikosa kuelewa!

Kwa nini Russia asimalize mchezo ili hizi sarakasi zote ziishe?

Kwa nini anafanya maamuzi ambayo ni kama yanawapa fursa na kuwafungulua mlango mwengine maadui zake na mfano mzuri ni kama hapo juu maelezo uliyoyaelezea.

Kwa nini asimalize mchezo? Kwa nini anacheza mchezo ambao unahatarisha usalama wake wakati uwezo anao?
Russia hajamaliza SMO yake kwa 100 % isipokuwa NATO wameshindwa kuivunja Russia na kuifanya iwapigie magoti.

Ni kama vile kawadhalilisha kiaina hivyo ni lazima watafute plan ingine.

Hapo naona utaanza kuelewa.
 
By the way Hammaz, mkutano wafanyikia Katika jumba maarufu la Lancaster House lililopo katikati ya jiji la London.

Viongozi karibu wote wa EU/ NATO ndani ya nyumba.
Kama hali ndiyo hiyo ina maana vita kati ya NATO na Russia bado inaendelea na wala hakijadiliwi kilochotokea kati ya Trump na Zelensky (nchi za Ulaya).
 
Kama hali ndiyo hiyo ina maana vita kati ya NATO na Russia bado inaendelea na wala hakijadiliwi kilochotokea kati ya Trump na Zelensky (nchi za Ulaya).
Wao wajitahidi kuficha hicho lakini ni kwamba Zele alitimuliwa pale WH baada ya kuleta longolongo na kukataa kutia Saini makubaliano.

EU/ NATO wao vita ni lazima ili wapate rasilimali zilizopo Ukraine.

Lakini hawawezi vita hiyo bila Marekani.
 
Russia hajamaliza SMO yake kwa 100 % isipokuwa NATO wameshindwa kuivunja Russia na kuifanya iwapigie magoti.

Ni kama vile kawadhalilisha kiaina hivyo ni lazima watafute plan ingine.

Hapo naona utaanza kuelewa.
Kwa hali jinsi ilivyo unafikiri hiyo vita itaisha kwa namna gani?

Au itaisha kwa namna kama Trump alivyopitisha mapendekezo yake dhidi ya Zelensky na EU kwa ujumla?
 
Wao wajitahidi kuficha hicho lakini ni kwamba Zele alitimuliwa pale WH baada ya kuleta longolongo na kukataa kutia Saini makubaliano.

EU/ NATO wao vita ni lazima ili wapate rasilimali zilizopo Ukraine.

Lakini hawawezi vita hiyo bila Marekani.
Lakini mpango wa Trump unawaweka kando EU ujue?!

Mpango wa Trump ni kama USA na Russia tu bhaas!

EU watakubali huu mpango ilihali nao walichangia kwenye kumkopesha Bw. Zelensky?
 
Kwa hali jinsi ilivyo unafikiri hiyo vita itaisha kwa namna gani?

Au itaisha kwa namna kama Trump alivyopitisha mapendekezo yake dhidi ya Zelensky na EU kwa ujumla?
Vita itaisha kwa kumsikiliza Trump na hiyo haina longolongo.

Na kasema Marekani haitatoa guarantee yoyote kwa usalama wa Ukraine endapo itaendelea kutumiwa na NATO kupigana na Russia.

Rudi nyuma tena angalia masharti ya Russia kumaliza vita:

No NATO membership, hakuna Ukraine kuwa na silaha kali za NATO, hakuna jeshi la muundo wa NATO na pia kuondoa unazi kwa upande wa Zele na watu wake.

Hii ni sehemu ingine ya historia ya wanazi ambao bado waamini wao ndo super race na wakikuambia weye hamaz kaa chini, nyanyuka, tembea, lala weye wapaswa kutii na ndo waiita hiyo "international system" au RBO (rules based order).

Russia wasema hapana, Dunia yapaswa kuwa yote sawa hakuna mbabe na ndo waiita bipolar World au world order na ilo fair.

Hapo ndipo penye mzozo.

Ukiangalia mfumo wa kimataifa au internationa political system, huu mfumo wa unipolar world order watoa nafasi kwa taifa moja lenye nguvu kuhodhi kila kitu duniani Uchumi, jeshi, jamii na kadhakika.

Russia akataa hiyo wasema mfumo bora ni bipolar ambapo mataifa makubwa yagawana rasilimali za dunia kwa sababu mataifa makubwa duniani wamefeli kuushikilia mfumo wa Multipolar ambao rasilimali za dunia zagawiwa sawa.

Hivyo kujibu suali lako Marekani keshachukua sehemu kubwa ya rasilimali zilizopo kwa sasa pale Ukraine na makampuni makubwa ya kimarekani yataingia pale na kuwekeza hivyo kuinyanyua tena Ukraine lakini Russia pia katoa guarantee kwa hataingilia biashara za wamarekani lakini atamchunga Ukraine asiwekeze mambo kama silaha kali za NATO.

Patakuwa ni mfano wa Korea Kaskazini na Korea Kusini yaani DMZ kuchungana milele.
 
Lakini mpango wa Trump unawaweka kando EU ujue?!

Mpango wa Trump ni kama USA na Russia tu bhaas!

EU watakubali huu mpango ilihali nao walichangia kwenye kumkopesha Bw. Zelensky?
Ni kweli walichangia lakini walokuwa nyuma ya michango ni weapons manufacturers, wahandisi na wataalam wengine wote hawa wahitaji malipo yatatoka wapi?

Ndo maana hili ni tatizo kwa EU.
 
Lakini mpango wa Trump unawaweka kando EU ujue?!

Mpango wa Trump ni kama USA na Russia tu bhaas!

EU watakubali huu mpango ilihali nao walichangia kwenye kumkopesha Bw. Zelensky?
Hapo hata mimi napata kigugumizi cha fikra.

Nadhani Trump katika hii vita anaitazama zaidi katika jicho la kiuchumi na fursa ambazo zitaisaidia USA dhidi ya kitisho cha China.

EU bila ubavu wa USA ni sawa na Samaki nje ya maji.Kupitia SMO nchi kubwa za Ulaya UK,Germany & France zimejikuta katika mtikisiko mkubwa wa kiuchumi na kusababisha heka heka nyingi katika siasa za ndani.

Ni wazi Zelensky hana njia nyepesi ana chaguo moja kubwa kumpigia magoti Trump na kumkabidhi madini adimu na fursa nyingine nyingi ambazo USA atazitamani.
 
The entire world other than the authoritarians are standing with Ukraine and condemning Trump and Vance. The Trump United States is now aligned with the Axis of Evil - Russia, China, North Korea, and Iran!

BREAKING: TRUMP STANDS ALONE: After Trump and Vance's disgraceful Oval Office ambush of President Zelensky, major world players just came out to DEFEND Ukraine and Zelensky:

- Polish Prime Minister Donald Tusk: “Dear Zelensky, dear Ukrainian friends, you are not alone.”

- President of Lithuania Gitanas Nausea: “Ukraine, you’ll never walk alone.”

- Denmark Prime Minister Mette Frederiksen: “Dear Zelensky, Denmark proudly stands with Ukraine and the Ukrainian people.”

- French President Emmanual Macron: “There is an aggressor: Russia. There is a people being aggressed: Ukraine. We were all right to help Ukraine and sanction Russia three years ago and to continue doing so. We, that’s the Americans, the Europeans, Canadians, Japanese, and many others... Because they are fighting for their dignity, their independence, for their children, and for the security of Europe.”

- President of Moldova Maia Sandu: “The truth is simple. Russia invaded Ukraine. Russia is the aggressor. Ukraine defends its freedom—and ours. We stand with Ukraine.”

- Swedish Prime Minister Ulf Kristersson: “Sweden stands with Ukraine. You are not only fighting for your freedom but also for all of Europe’s. Slava Ukraini! ”

- Incoming German Chancellor Friedrich Mer: “Dear Zelenskyy, we stand with Ukraine in good and in testing times. We must never confuse aggressor and victim in this terrible war.

- Crotia’s Prime Minister Andrej Plenković: “Croatia knows from its own experience that only a just peace can last. The Croatian Government stands firm in its belief that Ukraine needs such a peace - a peace that means sovereignty, territorial integrity, and a secure Europe.”

- Finland’s Prime Minister Petteri Orpo: “Finland and the Finnish people stand firmly with Ukraine. We will continue our unwavering support and work towards a just and lasting peace.”

- Estonian Prime Minister Kristen Michal: “We stand united with
Zelenskyy and Ukraine in our fight for freedom. Always. Because it is right, not easy.”

- Ireland’s Deputy Prime Minister Simon Harris: “Ukraine is not to blame for this war brought about by Russia’s illegal invasion. We stand with Ukraine.“

- Latvia’s President Edgars Rinkevics: “Ukraine is a victim of the Russian aggression. It fights the war with the help from many friends and partners. We need to spare no effort for just and lasting peace. Latvia stands with Ukraine”

- Prime Minister of the Netherlands Dick Schoof: ”The Netherlands supports Ukraine as firmly as ever. Now more than ever. We want a lasting peace and an end to the war of aggression started by Russia. For Ukraine and its people, and for Europe.”

- Prime Minister of Luxembourg Luc Friedsen: “Luxembourg stands with Ukraine. You are fighting for your freedom and a rules based international order. ”

The West stands with the heroic Zelensky. Trump sides with the evil Putin. What has America become?

Please like and share!

- Ed Krassenstein on X
 
🇪🇺 The number is impressive: participants in the European leaders' meeting in London

🇬🇧British Prime Minister Keir Starmer;
🇺🇦 Ukrainian President Volodymyr Zelensky;
🇮🇹Italian Prime Minister Giorgia Maloni;
🇫🇷French President Emmanuel Macron;
🇩🇪German Chancellor Olaf Scholz;
🇪🇸Spanish Prime Minister Pedro Sanchez;
🇵🇱 Polish Prime Minister Donald Tusk;
🇨🇿 Czech Prime Minister Petr Fiala;
🇸🇪Swedish Prime Minister Ulf Kristersson;
🇨🇦 Canadian Prime Minister Justin Trudeau;
🇹🇷Turkish Foreign Minister Hakan Fidan;
🇳🇴Norwegian Prime Minister Jonas Gahr Støre;
🇩🇰 Danish Prime Minister Mette Frederiksen;
🇳🇱 Dutch Prime Minister Dick Schoof;
🇷🇴and. on. Romanian President Ilia Boloian;
🇪🇺European Commission President Ursula von der Leyen;
🔹 NATO Secretary General Mark Rutte.

Interestingly, while the Trump administration is almost openly calling for Zelenskyy to be protected because he is allegedly obstructing a peaceful settlement, the Ukrainian president occupies a place of honor among respect Europian leades
1740933907101.jpg
 
🇪🇺 The number is impressive: participants in the European leaders' meeting in London

🇬🇧British Prime Minister Keir Starmer;
🇺🇦 Ukrainian President Volodymyr Zelensky;
🇮🇹Italian Prime Minister Giorgia Maloni;
🇫🇷French President Emmanuel Macron;
🇩🇪German Chancellor Olaf Scholz;
🇪🇸Spanish Prime Minister Pedro Sanchez;
🇵🇱 Polish Prime Minister Donald Tusk;
🇨🇿 Czech Prime Minister Petr Fiala;
🇸🇪Swedish Prime Minister Ulf Kristersson;
🇨🇦 Canadian Prime Minister Justin Trudeau;
🇹🇷Turkish Foreign Minister Hakan Fidan;
🇳🇴Norwegian Prime Minister Jonas Gahr Støre;
🇩🇰 Danish Prime Minister Mette Frederiksen;
🇳🇱 Dutch Prime Minister Dick Schoof;
🇷🇴and. on. Romanian President Ilia Boloian;
🇪🇺European Commission President Ursula von der Leyen;
🔹 NATO Secretary General Mark Rutte.

Interestingly, while the Trump administration is almost openly calling for Zelenskyy to be protected because he is allegedly obstructing a peaceful settlement, the Ukrainian president occupies a place of honor among respect Europian leadesView attachment 3256180
Balkan States?

Estonia, Latvia, Lithuania, Moldova, Georgia. Slovenia, and alike?

Where is Finland?
 
Back
Top Bottom