LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
kwani wangepungukiwa na nini?..
Screenshot_20250302-200034.jpg
 

Hammaz,​


Uk PM's Starmer pledge 1.6bn pounds deal of funding to Ukraine.

Three main stuff.

1. Keep military aid flowing to Ukraine.

2. Boosting Ukraine defence capability.

3. Coalition of willing to defend Ukraine defence system.

But, msaada wa Marekani bado wahitajika.

Yaani ni kwamba bado jamaa wataitaka vita hadi Russia avunjwe.

Take Note:

Russia hawezi kukubali NATO/ UK au France troops ziende Ukraine.

Lakini hapohapo Marekani kama watasaini dili na Zele nao watakuwa na makampuni yao pale Ukraine (upande wa magharibi) na raia wa Marekani watakuwepo pale hivyo kuhitaji security guarantee kutoka kwa Marekani ambayo ni lazima ataitoa.

EU/NATO watataka kutumia hiyo security guarantee kuweka mitambo yao kw auzingatia aloyasema Starmer hapo juu ili uwe mwanvuli wa kuweka mitambo ya nguvu pale kisha Russia akichokozwa ajaribu mapigo na kisha wammalize.

Hivyo bado Russia hawawezi kukubali hiyo ya vikosi kuingizwa Ukraine kwa kuzingatia intelligence analysis zilifanywa na majasusi wao.
 
Haya U.S.A kishasema hataki kufadhili leo slovakia katangaza nia yake kuwa hatochangia vita viendelee bali itumike njia ya maelewano na kasema kama kuna nchi ipo tayari kifadhili waendelee march 6 wakikutana, wana slovakia wanayo mengi moja wapo bomba la gas wanataka liendelee kusambaza gas kutoka urusi kupitia ukraine mpaka slovakia hadi europe ........

Hitimisho zelensky siku zake za kuishi zinaweza kuwa si nyingi kama asipo jiuzuru au kukubali matakwa ya urusi huu upepo ni dhahili urusi ipo vizuri sana kiuchumi, kisiasa za kidunia na kivita miaka mitatu imedhihilisha urusi haihitaji dunia ili iweze kuishi bali dunia inamuhitaji urusi ili tuweze kuishi kwa usalama zaidi.
Mambo mawili makubwa la kwanza ni urusi ndio nchi pekee iliyokataa ushoga hadharani.
Urusi ndio nchi pekee gas au mafuta yakipanda bei hawana habari.
Hii inadhihilisha kwanini? ni moja ya nchi tano duniani zenye veto power kwamba wao wanaweza pinga jambo lolote lisilo na masilahi kwao au lisilo na masilahi kwa nchi yoyote duniani hata kama kwao halina masilahi.
"Maono yangu" ,
Nimalizie kwa sasa strategy ya marekani ni kujipanga upya, hili pigo hawezi kubali lipite hivi hivi yupo kwenye kipindi cha kurudisha pesa zake na kuwekeza zaidi mipango yake ya ndani. hawezi kata misaada alale tu na pesa ndani na haya mambo anayozuia kuna jambo la siri linaandaliwa kwa kukava image yake siku za mbeleni.
 

Attachments

  • 20250302_201711.jpg
    20250302_201711.jpg
    155.2 KB · Views: 2
Nimalizie kwa sasa strategy ya marekani ni kujipanga upya, hili pigo hawezi kubali lipite hivi hivi yupo kwenye kipindi cha kurudisha pesa zake na kuwekeza zaidi mipango yake ya ndani. hawezi kata misaada alale tu na pesa ndani na haya mambo anayozuia kuna jambo la siri linaandaliwa kwa kukava image yake siku za mbeleni.
Hapa Pana madini.
 

US speaker suggests Zelenskyy might need to resign​


Sunday 2 March 2025 16:34, UK


2 Mar, 2025 15:28

 
U.K. Prime Minister Keir Starmer said on March 2 that a number of European nations, including the U.K. and France, are developing a 'coalition of the willing' that will include "planes in the air and boots on the ground" in an effort to negotiate a successful ceasefire in Ukraine.
 

Hammaz,​


Uk PM's Starmer pledge 1.6bn pounds deal of funding to Ukraine.

Three main stuff.

1. Keep military aid flowing to Ukraine.

2. Boosting Ukraine defence capability.

3. Coalition of willing to defend Ukraine defence system.

But, msaada wa Marekani bado wahitajika.

Yaani ni kwamba bado jamaa wataitaka vita hadi Russia avunjwe.

Take Note:

Russia hawezi kukubali NATO/ UK au France troops ziende Ukraine.

Lakini hapohapo Marekani kama watasaini dili na Zele nao watakuwa na makampuni yao pale Ukraine (upande wa magharibi) na raia wa Marekani watakuwepo pale hivyo kuhitaji security guarantee kutoka kwa Marekani ambayo ni lazima ataitoa.

EU/NATO watataka kutumia hiyo security guarantee kuweka mitambo yao kw auzingatia aloyasema Starmer hapo juu ili uwe mwanvuli wa kuweka mitambo ya nguvu pale kisha Russia akichokozwa ajaribu mapigo na kisha wammalize.

Hivyo bado Russia hawawezi kukubali hiyo ya vikosi kuingizwa Ukraine kwa kuzingatia intelligence analysis zilifanywa na majasusi wao.
European union wana mitambo gani ya kumtisha Mrusi?
 
U.K. Prime Minister Keir Starmer said on March 2 that a number of European nations, including the U.K. and France, are developing a 'coalition of the willing' that will include "planes in the air and boots on the ground" in an effort to negotiate a successful ceasefire in Ukraine.
These short-tempered warmongers will determine when it's too late that Trump had been right all along.

It's obvious they are about to make yet another tactical mistake - the first one being conning Zelenskyy into waging war that should never have happened in the first place.

If this is some kind of Trump's card, trying to hypocritically forge peace with Russia all the while inciting chaos through her allies, then he's surely headed for an unforgettable regrettable surprise.

I hope this is just my supposition, considering his many unassuming speeches against the conflict. But if it's true, then he's the worst of the worst!
 
These short-tempered warmongers will determine when it's too late that Trump had been right all along.

It's obvious they are about to make yet another tactical mistake - the first one being conning Zelenskyy into waging war that should never have happened in the first place.

If this is some kind of Trump's card, trying to hypocritically forge peace with Russia all the while inciting chaos through her allies, then he's surely headed for an unforgettable surprise.

I hope this is just my supposition, considering his many unassuming speeches against the conflict. But if it's true, then he's the worst of the worst!
The reality remains that Ukraine was manipulated by US (when Trump authorized to send Javelin) to bait Russia into invading Ukraine and then arming the Ukrainian military but not committing US forces in front-line.

Or I would give a second thought that Ukraine was staged by US via Obama first to be used a canon fodder and in the end Russia went in Crimea first in 2014 after the coup leaders started the massacre there towards Russian speaking people.

So, when it came to Luhansk and Donetsk the Russian speaking people were being persecuted and they asked motherland for help, Russia decided to go in the action which was miscalculated badly.
 

Influential Russian MP says 'Europe has no plan' after today's summit​


An influential Russian parliamentarian has dismissed today's European leaders summit in London, saying the continent has "no plan".

Konstantin Kosachev said Ukraine's only hope for peace was through Moscow and the US deepening their ties.

Sunday 2 March 2025 23:20, UK

 
Back
Top Bottom