Huyu Mwamba Alaudinov ni Afisa wa Jeshi la Chechnya. Alikuwa amestaafu, baada ya kuanza kwa SMO aliitwa haraka sana. Hasa kwa ajili ya kuwaondoa Ukraine katika eneo la Kursk. Yeye ndiye Kamanda wa Kikosi cha Wachechnya (Akhmat) kinachohusika na zoezi la kuwang'oa Waukraine huko Kursk.Huyu mwamba ndio alichora mchongo wa kupita kwenye Bomba kuwasambaratisha ma LGBTQ huko Kurskπ·πΊπ·πΊπ·πΊππ
View attachment 3265660
Propaganda hazipigani vita shekhe π π€© π€© π π€© π π€© π
Hao wapuuzi wanasema wa-Ukraine kama 70,000 wameuawa kwenye hii vita wakati warusi waliouawa ni zaidi ya laki mbili, unaweza kuwaamini hawa matapeli.
Yani kafanya siku moja tu Kurks yote imezamaHuyu mwamba ndio alichora mchongo wa kupita kwenye Bomba kuwasambaratisha ma LGBTQ huko Kurskπ·πΊπ·πΊπ·πΊππ
View attachment 3265660
ππππ Ebu acha kutuchekesha.yani Kurks inamalizika wew unatuletea habari gani.propaganda haiwezi kushinda vitaThe situation along Ukraine's northern Sumy region border with Russia's Kursk region remains under the control of the Ukrainian Defense Forces, according to Commander-in-Chief of the Ukrainian Armed Forces Oleksandr Syrskyi.
Wachechnya wana balaa sana.... nadhani wameacha kutembea na 'vilainishi' sababu ya 'mfungo' π Otherwise wangesafisha 'mitaro' ya LGBTQ+Huyu Mwamba Alaudinov ni Afisa wa Jeshi la Chechnya. Alikuwa amestaafu, baada ya kuanza kwa SMO aliitwa haraka sana. Hasa kwa ajili ya kuwaondoa Ukraine katika eneo la Kursk. Yeye ndiye Kamanda wa Kikosi cha Wachechnya kinachohusika na zoezi la kuwang'oa Waukraine huko Kursk.