LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Suala la Russia kuichukua Kursk ilikuwa sio ya kuijadili, ilikuwa ni suala la muda, US hata angeendelea Biden kwa miaka 10 asingweza kuwazuia Russia, Trump ni msema kweli na hana unafiki katika maneno na matendo, ameona hii vita ni kupotez muda... Ndio maana Trump alimuambia zelensky pale ikulu, " pasipo US hii vita ingechuku wiki mbili tu", ni ukweli mchungu..
 

Putin issues warning to foreign mercenaries​

Any combatants committing crimes against civilians on Russian soil will be treated as terrorists, the president has said

Foreign mercenaries fighting for Kiev should be aware that they do not have the same legal protections under international law as regular Ukrainian combatants, Russian President Vladimir Putin said during a visit to Kursk Region.
Speaking at a meeting with the Russian General Staff and military commanders on Wednesday, the president stated that any Ukrainian soldier or foreign mercenary captured on Russian soil can be treated as a terrorist under Russian law.
“All people who commit crimes against the civilian population on the territory of the Kursk Region, confront our Armed Forces, law enforcement agencies and special services, are terrorists in accordance with the laws of the Russian Federation,”
Putin said. “This is how the Russian Prosecutor General’s Office and the Investigative Committee qualify their actions.”
Putin stressed that Russia “treats and will treat all people humanely,” including prisoners of war (POWs), but warned that mercenaries lack the same legal status as regular troops.
“I still want to remind you that foreign mercenaries are not protected by the 1949 Geneva Convention on POWs,” the Russian leader said.
 
Suala la Russia kuichukua Kursk ilikuwa sio ya kuijadili, ilikuwa ni suala la muda, US hata angeendelea Biden kwa miaka 10 asingweza kuwazuia Russia, Trump ni msema kweli na hana unafiki katika maneno na matendo, ameona hii vita ni kupotez muda... Ndio maana Trump alimuambia zelensky pale ikulu, " pasipo US hii vita ingechuku wiki mbili tu", ni ukweli mchungu..
Ila inaonekana jamaa walikua wamejichimbia kweli kweli,walikua na zana nzito na walikua Wana uhakika wa supply ya silaha na vifaa muhimu Kila wanapohitaji.
Na inadhaniwa Kuna askari wengi maalumu wa NATO.
Sehemu kubwa ya Hawa waukraine waliingia Kursk walikua ni wale askari Bora na hodari kabisa.
Haikua kazi rahisi kwa Hawa wanajeshi wa Urusi kuwa piga surprise ya kibabe namna hii na kuwakatia mawasilaiano ya upatikanaji wa silaha na misaada na Sasa kuwaacha wakitafuta namna ya kuokoa nafasi zao.
 
Ila inaonekana jamaa walikua wamejichimbia kweli kweli,walikua na zana nzito na walikua Wana uhakika wa supply ya silaha na vifaa muhimu Kila wanapohitaji.
Na inadhaniwa Kuna askari wengi maalumu wa NATO.
Sehemu kubwa ya Hawa waukraine waliingia Kursk walikua ni wale askari Bora na hodari kabisa.
Haikua kazi rahisi kwa Hawa wanajeshi wa Urusi kuwa piga surprise ya kibabe namna hii na kuwakatia mawasilaiano ya upatikanaji wa silaha na misaada na Sasa kuwaacha wakitafuta namna ya kuokoa nafasi zao.
Ila kwa vyovyote vile Askari wa Ukraine waliokuwa Kusk itakuwa wameshatoroka kwa njia yoyote ile na hata silaha zao za maana wameshazirejesha.. Pale Askari wa Russia watakuta tu vifaa vimetelekezwa.
Mnasema eti Askari elfu 10 wamezingirwa na wanasubiri kichapo. Russia itakuta vifaa chakavu tu.
NA HUENDA UKRAINE WALISHAONDOKA MUDA TU NA NDIO MAANA TUNAONA RUSSIA KAINGIA KIULAINI TU.
 
#Russian air defences on Tuesday repelled the largest Ukrainian drone attack on #Moscow in three years.

🇷🇺 #Russia's defence ministry said it shot down 337 #Ukrainian drones across the country.

🔴 Follow our #liveblog for the latest developments 🔗➡️ https://go.france24.com/sKB
Upo sahihi.
 
Ila kwa vyovyote vile Askari wa Ukraine waliokuwa Kusk itakuwa wameshatoroka kwa njia yoyote ile na hata silaha zao za maana wameshazirejesha.. Pale Askari wa Russia watakuta tu vifaa vimetelekezwa.
Mnasema eti Askari elfu 10 wamezingirwa na wanasubiri kichapo. Russia itakuta vifaa chakavu tu.
NA HUENDA UKRAINE WALISHAONDOKA MUDA TU NA NDIO MAANA TUNAONA RUSSIA KAINGIA KIULAINI TU.
Kwahiyo mabwana zako huko Washington na London wanavyotoa tahadhari kwamba jeshi la Ukraine lililoko Kursk limekatiwa njia zao wanakua hawajui unachokijua wewe au satellite zako zinaona kuliko zao?
 
Hii ceasefire proposal ni kama Ukraine na USA wamechinja mbuzi,kisha baada ya kila Moja kuchukua nyama nzurinzuri na kubakiza sehemu za kichwa,miguu na mautumbo,Sasa wanamwita urusi nae aje kuchukua sehemu ya nyama yake kwenye huyo mbuzi aliyechinjwa.,Sasa urusi anaangaika kuangalia achukue sehemu gani kati ya kichwa, sehemu za miguuni na mautumbo yaliyobakizwa.. kumbuka kwa upande wake Ukraine ameshachukua Cha kwake,ukiwa ni pamoja na

1.kuendelea kupatiwa silaha kutoka USA.
2.msaada wa kiintelijensia pia amerejeshewa.
3.satelite images

Na kwa upande wake USA kajipatia Dili la madini..,
Hapa ukiangalia Ukraine na USA kila Moja kuchukua Cha kwake,Ina maana urusi akikubali au asipokubali ceasefire Haina maana sana. Sanasana asipokubali basi atakuwa anazidi kuudumisha urafik wa Ukraine na USA 🏃🏃
Marekani haijawahi kukaa upande wa urusi,Ukraine imekuwa ikipata millitary intelligence,weapons,money,mercenaries n.k imabadilusha nini mpaka sasa?
 

Operation Pipeline in Sudzha in focus of foreign special services — anti-terror veteran​

MOSCOW, March 12. /TASS/. The president of the Association of Veterans of the Alpha Anti-Terror Squad, Sergey Goncharov, has told TASS that the infiltration of Russian assault troops into Sudzha through an unused gas pipeline was unique in many respects.
"It took the guys several days to crawl through the 15-kilometer-long pipe. I am not a chemist, but I can well imagine that there are residual gases present. All these men undertook this mission at great risk to their health, yet they succeeded. This operation is now being studied by special services around the world because it is truly exceptional," he stated.
Goncharov compared Operation Pipeline to the 1979 assault on Amin's palace in Afghanistan, during which Soviet special forces faced significantly greater numbers of enemy fighters. That assault concluded with a Soviet victory.
"This operation in Sudzha once again demonstrates that we possess not only military strength but also a significant advantage in the morale of our soldiers who are fighting there now," the Alpha group’s veteran added.

Meanwhile, the Russian army continues to eliminate the Ukrainian incursion into the Kursk Region. The Defense Ministry reported on March 11 that the battle group North's recent offensive operations liberated 12 settlements: Agronom, Bogdanovka, Bondarevka, Dmitriukov, Zazulevka, Ivashkovsky, Kolmakov, Kubatkin, Martynovka, Mikhailovka, Pravda, Yuzhny, and more than 100 square kilometers of territory in the Kursk Region.
WEWE HUOGOPI🇷🇺🇷🇺💪
 
Huko Kursk Iko hivi now🤣🇷🇺💪
20250313_080130.jpg
 
Kwahiyo mabwana zako huko Washington na London wanavyotoa tahadhari kwamba jeshi la Ukraine lililoko Kursk limekatiwa njia zao wanakua hawajui unachokijua wewe au satellite zako zinaona kuliko zao?
Wewe Mzee Mfupi hebu ukipata taarifa kuwa Russia imewaua askari wa Ukraine waliozungukwa huko kursk UTULETEE HUMU.
 
Hii ceasefire proposal ni kama Ukraine na USA wamechinja mbuzi,kisha baada ya kila Moja kuchukua nyama nzurinzuri na kubakiza sehemu za kichwa,miguu na mautumbo,Sasa wanamwita urusi nae aje kuchukua sehemu ya nyama yake kwenye huyo mbuzi aliyechinjwa.,Sasa urusi anaangaika kuangalia achukue sehemu gani kati ya kichwa, sehemu za miguuni na mautumbo yaliyobakizwa.. kumbuka kwa upande wake Ukraine ameshachukua Cha kwake,ukiwa ni pamoja na
Mkuu, kp kipanya44 , wewe hakika unachekesha sana. Mbona unajitoa ufahamu au kusahau kwamba huyo ^mbuzi^ ni wa Ukreni, na wala si wa Urusi?

Zelensky alishaambiwa mubashara kwamba yeye hana karata na wala hawezi kupambana na Urusi - hata akiwa na msaada wa Marekani na NATO. Hili nalo umesahau?

Namna pekee ya Ukreni kuwa salama ni kukubali ardhi yake imegwe na ikaliwe na Urusi, kuiachia Marekani rasilimali zake, na kuzikacha ndoto zake za kujiunga NATO.

Trump anachofanya sasa ni kuwaliwaza tu ili huo mkataba wa madini usainiwe. Kumbuka kwamba Russia na Marekani ndio walianza kukaa meza moja huko Saudia, na wala Ukreni na NATO hawajui kilichojadiliwa.

Mimi nina hakika kwamba kwenye ule mkutano, Urusi na Marekani walikubaliana kuifanya Ukreni kama ambavyo Afrika ilifanywa kutokana na mkutano wa Berlin 1884-5.

Kama Marekani sasa hana masihara na nchi kama Kanada jirani yake kabisa, sembuse Ukreni ambayo kimsingi ni Warusi walewale wanaochukiwa na Marekani?

Mwambieni Zelensky na NATO furaha yao ya kuona Ukreni kuendelea umwagaji damu wa watu wao, bila shaka inaelekea mwisho.
 
Mkuu, kp kipanya44 , wewe hakika unachekesha sana. Mbona unajitoa ufahamu au kusahau kwamba huyo ^mbuzi^ ni wa Ukreni, na wala si wa Urusi?

Zelensky alishaambiwa mubashara kwamba yeye hana karata na wala hawezi kupambana na Urusi - hata akiwa na msaada wa Marekani na NATO. Hili nalo umesahau?

Namna pekee ya Ukreni kuwa salama ni kukubali ardhi yake imegwe na ikaliwe na Urusi, kuiachia Marekani rasilimali zake, na kuzikacha ndoto zake za kujiunga NATO.

Trump anachofanya sasa ni kuwaliwaza tu ili huo mkataba wa madini usainiwe. Kumbuka kwamba Russia na Marekani ndio walianza kukaa meza moja huko Saudia, na wala Ukreni na NATO hawajui kilichojadiliwa.

Mimi nina hakika kwamba kwenye ule mkutano, Urusi na Marekani walikubaliana kuifanya Ukreni kama ambavyo Afrika ilifanywa kutokana na mkutano wa Berlin 1884-5.

Kama Marekani sasa hana masihara na nchi kama Kanada jirani yake kabisa, sembuse Ukreni ambayo kimsingi ni Warusi walewale wanaochukiwa na Marekani?

Mwambieni Zelensky na NATO furaha yao ya kuona Ukreni kuendelea umwagaji damu wa watu wao, bila shaka inaelekea mwisho.
Ukraine ameshapata medali zake muhimu alizokuwa anafukuzia kwa udi na uvumba

1.resume flowing of military equipment

2.getting integence sharing from USA

3.Access to satellite images from Russia

Kwa Ukraine hata akipigana miaka 10 Wala hiyo si tatizo kwao
 
Back
Top Bottom