Ukiangalia statistics kwenye site ya worldmeter US ndio mzalishaji mkubwaHaviwezi kuja endelea... Sababu hizo nchi za ulaya zinategemea uwepo wa Russia ili kufanya uzalishaji katika nchi zao. Urusi si ndio mzalishaji mkubwa wa gesi hapo ulaya..?? Na inasambaa nchi nyingi za ulaya..??
Hawana Cha kufanya.Daaah aisee kweli haya yanaangaliwa na NATO lakini wanaona kawaida?
Too low....Amalizane kwanza na Ukraine ambaye ni weak mbele ya kina Poland na Finland. Russia uwezo wake uko exaggerated tukubali tu, vita atashinda ila weakness ashaonesha.
Ila nadhani inachangiwa na kupigania mjini, uko kwingine aliwashinda walikuwa hawajajipanga na hawakuchukulia serious kama watavamiwa. Haya mambo ya urban warfare Israel ndio wameishi nayo muda mrefu na silaha zao ziko kwa ajili ya urban pamoja na desert warfare. Urusi silaha zake ni za kupigania porini kwenye vast lands maeneo ya Siberia uko. Akitoka hapa atafanya modifications ya silaha na kujipanga dhidi ya vitu kama IEDs vilivyosumbua Wamarekani Uarabuni. Una kifaru kina armour ya kuzuia HEAT shell kikipigwa na rocket kinahimili, ila mpishi wa Ukraine anakirushia chupa ya petrol kinawaka moto, hajatumia hata TSH. 2000.
Kupigana na jeshi linaloungwa mkono na raia ni kazi sana. Kwanza wanoko, ukipitisha vifaru CCTV zao mtaani wanasoma wanawaambia wanajeshi wao mko wapi mnapigwa ambush. Mpaka Urusi baadhi wakavaa sare za Ukraine kufanya infiltration ila mambo magumu bado
Ataibeba kwenye meli mpaka ulaya?Ukiangalia statistics kwenye site ya worldmeter US ndio mzalishaji mkubwa
View attachment 2131556
Hapa hakuna Mungu... Huyu ni shetani kazini... Putini lazima alipe..vyovyote iwavyo.. lazima achunwe ngozi akiwa hai..Yaani mtu anawaka kwenye kifua jamanii😢😢Mungu aweke muafaka mgogoro uishe
USA anasambaza Ulaya..??Ukiangalia statistics kwenye site ya worldmeter US ndio mzalishaji mkubwa
View attachment 2131556
Gharama iko kila upande..Sawa nafahamu. Aina ya lugha walizokuwa wakitumia rais wao (ukraine) mabalozi wao huko UN na Washington ndio zilikuwa na ukakasi.
Wqngejaribu kutumia lugha nzuri na ya kushawisha. Wewe unaona kabisa Mpinzani anasogeza majeshi na vifaa vya kijeshi we bado unashupaza shingo.
Acha alipe gharama.
Putin amechanganyikiwa alidhani mambo rahisi sana..Huwezi wapangia Ukraine nani awe Rais wao hicho ni kiherehere na ndicho Putin anafanya. Huyo Putin yuko wapi si yuko makazi yake Nova Ogaryovo amejificha na yuko Kremlin na vikao vya kuungwa mkono? Zelensky yuko field anapigana, aliyemwambia wanapigania ofisini mpaka wawe na settings za kurekodi hotuba wamekaa mezani nani. Zelensky is a hero na anaungwa mkono na raia.
Serikali yake aliyoiunda inaungwa mkono na raia zaidi ya sana, kila wizara ya ulinzi inachosema raia wanafuata. Zelensky katangaza Marshal law hakuna aliyepinga, wizara ya ulinzi imezuia wanaume aged 18-60 kuondoka mjini Kyiv hakuna raia aliyepinga wanaume wanasindikiza watoto na wake zao kwenye vituo vya treni wanarudi wenyewe kushika silaha. Wizara ya ulinzi imesema raia watengeneze Molotov cocktails na wamefanya. Mpaka wazee wanaunga mkono wajuu wao wapiganie nchi.
Putin hana uwezo wa kwenda mtaani bila maandalizi wala kukaa na wanajeshi wasio presidential security guards. Zelensky anaenda kukaa na wanajeshi wenye live munitions uko unakoita vichochoroni wakati Putin kawaambia wampindue na hawataki. Wakati huo polisi nchini Urusi wanakamata waandamanaji wanaoipinga vita. Nani anakubalika hapo?
Login with chrome browser.Mkuu samahani Nirushie inbox haifungukis
Hizo rasilimali muhimu zingekuwa zinapatikana Russia pekee sawa unfortunately OPEC ana members wengi,gas hata Tzn ipo ya kulisha Germany nzima for years achilia mbali mamia ya Nchi za Afrika,Arabs ,N and South America..
Brazil tuu kampinga kule UN,the same to Turkey
Hapa hakuna Mungu... Huyu ni shetani kazini... Putini lazima alipe..vyovyote iwavyo.. lazima achunwe ngozi akiwa hai..
Sorry mkuu. Hamid Kharzai aliyekuwa Rais wa Afganstani alikwa chagua la wananchi au chaguo la Marekani?Huwezi wapangia Ukraine nani awe Rais wao hicho ni kiherehere na ndicho Putin anafanya. Huyo Putin yuko wapi si yuko makazi yake Nova Ogaryovo amejificha na yuko Kremlin na vikao vya kuungwa mkono? Zelensky yuko field anapigana, aliyekwambia wanapigania ofisini mpaka wawe na settings za kurekodi hotuba wamekaa mezani nani. Zelensky is a hero na anaungwa mkono na raia.
Serikali yake aliyoiunda inaungwa mkono na raia zaidi ya sana, kila wizara ya ulinzi inachosema raia wanafuata. Zelensky katangaza Marshal law hakuna aliyepinga, wizara ya ulinzi imezuia wanaume aged 18-60 kuondoka mjini Kyiv hakuna raia aliyepinga wanaume wanasindikiza watoto na wake zao kwenye vituo vya treni wanarudi wenyewe kushika silaha. Wizara ya ulinzi imesema raia watengeneze Molotov cocktails na wamefanya. Mpaka wazee wanaunga mkono wajuu wao wapiganie nchi.
Putin hana uwezo wa kwenda mtaani bila maandalizi wala kukaa na wanajeshi wasio presidential security guards. Zelensky anaenda kukaa na wanajeshi wenye live munitions uko unakoita vichochoroni wakati Putin kawaambia wampindue na hawataki. Wakati huo polisi nchini Urusi wanakamata waandamanaji wanaoipinga vita. Nani anakubalika hapo?
Kwa vita hii ya Ukraine ameonesha ni dhaifu kupita kiasi,,suffurings alizopata ni kubwa na calcution zake hazijaenda kama alivyotarajia.
Binafsi nimemdharau maana amekula hasara kubwa Sana tofauti na nilivyotarajia mpaka anaomba msaada wa Nchi vibaraka..
Ukweli ni kwamba Ukraine angekuwa na silaha kama ilivyo Iran , Russia asingetia pua,amefaidika na timing tuu.
Alipe gharama gani..Sawa nafahamu. Aina ya lugha walizokuwa wakitumia rais wao (ukraine) mabalozi wao huko UN na Washington ndio zilikuwa na ukakasi.
Wqngejaribu kutumia lugha nzuri na ya kushawisha. Wewe unaona kabisa Mpinzani anasogeza majeshi na vifaa vya kijeshi we bado unashupaza shingo.
Acha alipe gharama.
Ukraine was corrupt under Viktor Yanukovych aliyekuwa team Russia, kama unavyoona Lukashenko wa Belarus. Ukraine ilikuwa inaongozwa na remnants wa USSR wezi na hawajui modern economy wala hawawajibiki kwa raia. Ikatokea raia wakachoka kuchezewa wakafanya maandamano Maiden square (ingawa yalisaidiwa na Western countries kwa kiasi fulani). Yanukovich anakimbilia Urusi na fedha za hazina ya serikali.It has been said that, Ukrine is the most corrupted country in the world.
lkn pia CIA wanaitumia sana Ukrine kama base yao kuipeleleza RUSSIA sasa Rusia haitaki huo ujinga either UKRINE ibaki na RUSSIA au iungane na USA ipate kichapo kikali.
UKRINE iamue yenyewe hatma yake.
How!!??"Ukrine is not fully functioning state"
Usiwe twisted na media za NATO, Russia wakiamua kuonesha kila kitu kinachoendelea Ukraine dunia italia yote. Kuna ka video jana akili trend kidogo ni noma. Unajua mpaka rais wa Ukraine anaamua kuomba po siyo mchezo. China kupitia Balozi wao kawaumbua UN kwa kuwaambia haungi mkono maazimio yeyote na Russia kajipiga kura ya VETO.This is very important na Putin atajutia View attachment 2131149View attachment 2131151View attachment 2131152View attachment 2131153